Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Mpira unajua kustaajabisha sana. Usishangae kesho MUFC ikapigwa tano na Newcastle halafu MUFC ikaja kumchabanga sita bila Liverfools.
Una ndoto nzuri sana lukesam
Mpira unajua kustaajabisha sana. Usishangae kesho MUFC ikapigwa tano na Newcastle halafu MUFC ikaja kumchabanga sita bila Liverfools.
Ikitokea ivi itakuwa furesh sana ..wale liver uwezo wa kuwamudu munao kabisa ..kesho pigweni ili mupate khasira za kuwaburuza Liverpool ..mimi nitawaunga mkono ..mkipenda na mguu kabisa![]()
Kama hufahamu wanamkubali ole Sana, Wana video kibao wapo pamoja 😂😂Hao ni Madons wakubwa sana pale kweny e Jiji la Manchester, Wanapokuwa nyuma ya Bench la Ferguson alikuwa hawezi kuleta ujinga kama anaoufanya Ole.
Sasahivi nadhani wameachana na kuifatilia Timu coz hawajazoea shida.
Ole wao Southampton ..kitakachowapata leo Mungu ndo anajua..Kila la kheri SOUTHAMPTON



Wewe VAR si ilikupa mbeleko.Kwahiyo baada ya wewe kushindwa unataka Wakubwa zako Wakupigie sio?
Tena wa mbeleko la VAR
Mpira una mmaajbu mkuu,kila kitu ni kama ndoto. Leicester alishindwa kuifunga MUFC ila nyie mmebahatisha ushindi mwishoni kabisa.



Sisi mpka sasa vs Soton tuna goli mbili(+2) na bado game haijaanza...Wewe mtoto mchawi sana..Soton watakunyoosha na wewe muda sio mrefu



Acha wogammempa kichwa sana tatizo new ronaldo kumbe ni new benteke
Ile timu ya chelsea auOle wao Southampton ..kitakachowapata leo Mungu ndo anajua..
Kila la kheri Chelsea![]()
Hao ni Madons wakubwa sana pale kweny e Jiji la Manchester, Wanapokuwa nyuma ya Bench la Ferguson alikuwa hawezi kuleta ujinga kama anaoufanya Ole.
Sasahivi nadhani wameachana na kuifatilia Timu coz hawajazoea shida.
Kama hufahamu wanamkubali ole Sana, Wana video kibao wapo pamoja
Hahahahahahaha asee mimi bana ..Sisi mpka sasa vs Soton tuna goli mbili(+2) na bado game haijaanza...
Ole wenu ninyi wenye Pogba Lingard na Marshal ...mpka sasa mumeshapigwa (-1) goli na game bado..
Kila la kheri Nu Casto![]()




tammy abraham fundi anapachika goli la 7.Hahahahahahaha asee mimi bana ..
Nishamnywa mtu tatu ukooo
Kila la kheri Chelsea![]()
Angalia ubao unasoma ngapi mkuu..Ile timu ya chelsea au



tammy abraham fundi anapachika goli la 7.
marcus rashford kichwa cha panzi anasubiria penalty muda huu
Rashid keshafika kwenye Peake yake mkuu ..yeye goli kumi kwa msimu zinatosha kabisa...tammy abraham fundi anapachika goli la 7.
marcus rashford kichwa cha panzi anasubiria penalty muda huu
ahsante sana kwa masahihishoLa nane hilo mkuu
Hahahaha mkuu nilisema na msimamo wangu ni ule ule ..Rashid akifikisha GOLI 15 msimu huu kwenye all competition, yani Europa, EFL, EPL, FA na mengineyo basi mimi NAJIPIGA BAN kuingia hili jukwaa mpka msimu wa mpya 2020/2021..ahsante sana kwa masahihisho
ule ushindani kati ya rashford na tammy abraham bado unaendelea?
Ollachuga Oc