D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Utabiri umekamilika kasoro namba 5.aisee mutu unataka kufurahi?
je unataka kununa?
je unataka kujificha uvunguni kwa sababu ya kuandika comment iliokwenda kinyume na matarajio yako?
jibu ni rahisi, fukua makaburi ya mwezi JULY ndani ya thread hii.
View attachment 1223733
Pepe huyu anayepaisha mipira hadi kuwaumiza mashabiki na mpira??
Daah
Hahahahaaaaaaa
Anataka ajibinafsishe huu uziheeeee mkuu mbona tunafukuzana tena kunani?sisi ni wadau wa soka so popote kambi,
kheeeee khe kheee
PTER duuuh
Hahahahaaaaaaa
Naona huyo bwana ameshindwa kuelewa au ameamua kutonielewa. Udhaifu wetu mkubwa tangu mwanzo niliona upo katika eneo la kiungo na kutengeneza magoli, nadhani wewe na yeye wote mmeona wachezaji niliowahitaji hapo wangenenepesha kiungo chetu(Bruno na Dybala) unaweza kutafuta ukajionea Bruno msimu huu pekee kwenye primeira liga ana goli 4 na assist 4 katika michezo sita tu. Europa ana goli mbili katika mechi mbili. Sijui kama kuna mchezaji wa kiungo wa MUFC amefanya haya. Sasa jiulize kama tungempata huyu leo hii ningeweza kusema timu ni mbovu? Hata hivyo sio kosa mtu kubadilika, leo naweza kuwa na maoni haya na kesho nikabadilika kutokana na hali. Huwezi kuwa na maoni yaleyale kila siku kwa kitu ambacho kiko kwenye maendeleo,utakuwa mjinga. |
Spurs kala nini msimu huu ?
Spurs kala nini msimu huu ?
Zile saba bado zinawachanganya hawa na niliwatabiria ubingwa. Lloris kavunjika sijui kama watafurukuta tena. Pochettino naona naye sijui amepatwa na nini, Sissoko anacheza kama beki?😂 |
Zile saba bado zinawachanganya hawa na niliwatabiria ubingwa.
Lloris kavunjika sijui kama watafurukuta tena. Pochettino naona naye sijui amepatwa na nini, Sissoko anacheza kama beki?
Zile saba bado zinawachanganya hawa na niliwatabiria ubingwa.
Lloris kavunjika sijui kama watafurukuta tena. Pochettino naona naye sijui amepatwa na nini, Sissoko anacheza kama beki?😂