Hiyo kulipa mia mia ndio naisikia kwako ,ni kama zile story za Arsenal ina bajeti ya £45m
Mbona unatapatapa mkuu,tumefika kwa Jitu mwitu msitu saa ngapi? Si tunamzungumzia James hapa.
Kwanza nyie Pepe si mnalipa mia mia mpaka hela itimie? Kama vipi amueni kugoma,msilipe tena.
Martinelli on his trials with United: "Between 2015 & 2017 I went there 4 times & trained on average about 15 days. I saw all the professionals. I asked to take a picture with Evra, Fellaini & other guys. Pogba knew I was Brazilian & asked if everything was fine & where I played"mshambuliaji chaguo la tatu arsenal ana magoli mengi kuliko mshambuliaji tegemezi wa man utd rashfordView attachment 1223368
Sikujua kama nikimtaja kipepe unaumia hivi.
Tumetoa pesa ndogo sana kununua mchezaji bora mara 100 kumzidi pepe wenu mliyeuziwa kwa mapesa kibao. Kwani pepe amepiga mashuti mangapi hadi sasa na ana goli ngapi?
Pepe ana magoli mangapi had sasa!?Kumfananisha NICO PEPE na kajemsi ni MATUMIZI MABAYA YA AKILI...katika PEPE 1 kuna jemsi 100.
Pepe huyu anayepaisha mipira hadi kuwaumiza mashabiki na mpira waliokaa jukwaani??Kumfananisha NICO Pepe na kajemsi ni MATUMIZI MABAYA YA AKILI...katika PEPE 1 kuna jemsi 100.
heeeee mkuu mbona tunafukuzana tena kunani?sisi ni wadau wa soka so popote kambi,Nyie watu wa arsenal si muende kwenye page zenu uko
1Pepe ana magoli mangapi had sasa!?
Ila pulisica ndio mchezaji?Mzee umekula maharage ya wapi. James anajitambua uwanjani na yuko focused, sio kama pepe anakimbia kimbia bila sanduku la posta, anarukaruka kama kuku amekatwa kichwa.
Miguu haina nguvu ya kupiga mashuti pale hamna mchezaji wa maana ni kanyaboya
tulimuona james jana alivyopiga hatrickMzee umekula maharage ya wapi. James anajitambua uwanjani na yuko focused, sio kama pepe anakimbia kimbia bila sanduku la posta, anarukaruka kama kuku amekatwa kichwa.
Miguu haina nguvu ya kupiga mashuti pale hamna mchezaji wa maana ni kanyaboya
haahaa Rashida banaView attachment 1223667
hii ndio kazi anayoiweza bwana huyu.
Huyu ole kila akilala anaota rashford amefunga hat trick ndio maana anaendelea kumuaminiEti ndio aliingia kuokoa jahazi,unabaki unacheka tu ingawa roho inauma.
Ole angekuwa muungwana aachie ngazi,huoni anachokikusudia kwenye kikosi chake huyu bwege,
penati mbona az alinyimwa ile fred kamuangusha jamaa wakati wa corner ? ole hana aibu aachie ngazi au asubiri kufukuzwa habebekiAnawaza penati kweli???