Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

This is OGS!
Solskjaer: “Very happy with the boys, we come away with a good performance. Should have been three points, a nailed on penalty. You cant even discuss it. Good performance against a good opponent on a very bad surface.”
View attachment 1223086


OGS ndiye anayejua ubora wa timu upo wapi, sisi mashabiki tutulie 😌 😌 😌
If that is a good perfomance for him, i think you all know him and his team can't do better. Next game 0-0 or 1-1
 
Yan jamaa anavo mdefend pepe.. Anakwambia ana pace sna kwhy mwalimu hajui kumtumia.. Ss m2 kua na pace ndo uwe unacheza ujinga useme eti mwalim hajui kumtumia wkt unaona kbs huu ni upumbav wa mchezaj kua wasteful...mpk ss pepe anazidiwa hata na yule dg Saka kwa utulivu na kucheza mpr maana anaruka ruka tu
Nimeona maumivu yake maana kuquote ujumbe mmoja mara tatu sio jambo la kawaida.😂

Mchezaji wa mapesa yote yale ana goli moja la penalty lazima uumwe.😂
 
Sikujua kama nikimtaja kipepe unaumia hivi.

Tumetoa pesa ndogo sana kununua mchezaji bora mara 100 kumzidi pepe wenu mliyeuziwa kwa mapesa kibao. Kwani pepe amepiga mashuti mangapi hadi sasa na ana goli ngapi?
Hahahah mm.sijaumia ila nimeuliza nasikia hamjapiga shuti hata moja on target ,sikuangalia game, nikauliza James alikuwepo? Na magwaya wa 80, na Fred wa 60

Hayo ya pepe mm sijayaona , maana had sasa ana goli 1 & 2 assist ,

Mwisho wa msimu njoo mfananishe na James ,
 
Yan jamaa anavo mdefend pepe.. Anakwambia ana pace sna kwhy mwalimu hajui kumtumia.. Ss m2 kua na pace ndo uwe unacheza ujinga useme eti mwalim hajui kumtumia wkt unaona kbs huu ni upumbav wa mchezaj kua wasteful...mpk ss pepe anazidiwa hata na yule dg Saka kwa utulivu na kucheza mpr maana anaruka ruka tu
Wewe mpira utakuwa unaangalia peke yako au,
 
Hahahah mm.sijaumia ila nimeuliza nasikia hamjapiga shuti hata moja on target ,sikuangalia game, nikauliza James alikuwepo? Na magwaya wa 80, na Fred wa 60

Hayo ya pepe mm sijayaona , maana had sasa ana goli 1 & 2 assist ,

Mwisho wa msimu njoo mfananishe na James ,
Si useme tu ana goli moja la penalty😂😂

James ana magoli matatu mazuri mno mkuu,na hapo timu yetu ni mbovu kiungo kimelegea,jiulize timu ingekuwa sawa si angekuwa messi hadi muda huu?😂😂
 
Si useme tu ana goli moja la penalty

James ana magoli matatu mazuri mno mkuu,na hapo timu yetu ni mbovu kiungo kimelegea,jiulize timu ingekuwa sawa si angekuwa messi hadi muda huu?
Hahahhaha kwa hiyo sio goli?

Kwan unadhan penalty hawakosi, ?

Tufanye hivi tusubiri end of the season tufanye mlinganisho,
 
Viatu vya samaki pole sana Chifu, hapa umeandika kwa hisia za machungu sana.
Dk 90 timu inakosa hata Shot on target .

Eeeh! Halafu kocha na macho kama paka aliamini tiba ya United ni kumtoa Lukaku na kuacha hawa vikojozi.

Usenge wa Arsenal na Liverpool ulianza hivi hivi hadi tuje kurudi kwenye nafasi yetu ya zamani itachukua miaka mingi na kwa gharama kubwa.
 
Viatu vya samaki pole sana Chifu, hapa umeandika kwa hisia za machungu sana.
Dk 90 timu inakosa hata Shot on target .

Eeeh! Halafu kocha na macho kama paka aliamini tiba ya United ni kumtoa Lukaku na kuacha hawa vikojozi.

Usenge wa Arsenal na Liverpool ulianza hivi hivi hadi tuje kurudi kwenye nafasi yetu ya zamani itachukua miaka mingi na kwa gharama kubwa.
 
OLE tactically hamna kitu timu ipo hovyo hovyo timu haionyeshi ku imrove chchote the same bullshit football no pressing, poor touches
 
Hahahhaha kwa hiyo sio goli?

Kwan unadhan penalty hawakosi, ?

Tufanye hivi tusubiri end of the season tufanye mlinganisho,
Hata mwanangu hapa ukimtengea anafunga.😂

Nyota njema huonekana asubuhi. Kama ni kusubiri hadi mwisho wa msimu basi tusema hata MUFC inaweza kuwa bingwa,sio?
 
Hata mwanangu hapa ukimtengea anafunga.

Nyota njema huonekana asubuhi. Kama ni kusubiri hadi mwisho wa msimu basi tusema hata MUFC inaweza kuwa bingwa,sio?
Sasa mech 7 tayari ushatoa conclusion?

Anza na huyu wa £60m ana misimu miwili sijui bado anahaha...https://twitter.com/TheSunFootball/status/1180056541833117696?s=19

Kwahiyo tayari wewe ushaona James umemaliza usije kushangaa asifike hata magoli 5

Maana hata magwaya kwa 80 ni robbery ,
 
Sasa mech 7 tayari ushatoa conclusion?

Kwahiyo tayari wewe ushaona James umemaliza usije kushangaa asifike hata magoli 5

Maana hata magwaya kwa 80 ni robbery ,
Mbona unatapatapa mkuu,tumefika kwa Jitu mwitu msitu saa ngapi? Si tunamzungumzia James hapa.😂😂

Kwanza nyie Pepe si mnalipa mia mia mpaka hela itimie? Kama vipi amueni kugoma,msilipe tena.
 
Back
Top Bottom