Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu Zidane" kiingereza" kilimgomea akabaki na kispaniola ambacho kwa sasa kinamsumbua kwani "tenses" hazipandi tena pale Madrid, ila kwa sasa anafanya vizuri kwenye somo la lugha ya Kichina.
hata Zidane alijifunza kidhungu na sijui waliishia wapi katika madarasa yao.

na ubaya wetu sisi mashabiki mtu akijifunza kingereza tu basi anataka kazi United.
 
Natakka Ole asifukuzwe.

Abaki mpaka mwisho wa msimu.

Baada ya hapo tufanye assessment ya uwezo wake.
 
Masihi
IMG-20191004-WA0000.jpeg
 
Mimi nilisema humu na nitaendelea kusema united ni aseno mpya ndani ya epl na hawa watoto wakiwa matured tu hawatakubali kuendelea kukaa kwenye timu iliyooza watauzwa tu......yaleyale ya wenga alipokua aseno anakuza wakishakomaa wanamkimbia
Dk 90 timu inakosa hata Shot on target .

Eeeh! Halafu kocha na macho kama paka aliamini tiba ya United ni kumtoa Lukaku na kuacha hawa vikojozi.

Usenge wa Arsenal na Liverpool ulianza hivi hivi hadi tuje kurudi kwenye nafasi yetu ya zamani itachukua miaka mingi na kwa gharama kubwa.
 
Anawaza penati kweli???
This is OGS!
Solskjaer: “Very happy with the boys, we come away with a good performance. Should have been three points, a nailed on penalty. You cant even discuss it. Good performance against a good opponent on a very bad surface.”
View attachment 1223086


OGS ndiye anayejua ubora wa timu upo wapi, sisi mashabiki tutulie
 
Hahahhaha kwahiyo mnajiaminisha hivo , siku hizi mnatamba na James tu, nasikia Leo hamjapiga shoot on target hata 1 ni kweli?
Hahaha,naona nimemzungumzia pepe umeumia sana hadi unatapatapa. Kwahiyo kwa kutopiga shoot hata moja timu nzima leo ndo unataka kusema James ni sawa na Pepe tu? Angalia wanasoka wasije kukuchoma moto.😂😂
 
Daniel James
Angel Gomes
Mason Greenwood
Juan Mata
Fred
Marcus Rashford
Jesse Lingard

Man Utd failed to have a single shot on target against AZ
Sikujua kama nikimtaja kipepe unaumia hivi.😂😂

Tumetoa pesa ndogo sana kununua mchezaji bora mara 100 kumzidi pepe wenu mliyeuziwa kwa mapesa kibao. Kwani pepe amepiga mashuti mangapi hadi sasa na ana goli ngapi?😂😂
 
Yan jamaa anavo mdefend pepe.. Anakwambia ana pace sna kwhy mwalimu hajui kumtumia.. Ss m2 kua na pace ndo uwe unacheza ujinga useme eti mwalim hajui kumtumia wkt unaona kbs huu ni upumbav wa mchezaj kua wasteful...mpk ss pepe anazidiwa hata na yule dg Saka kwa utulivu na kucheza mpr maana anaruka ruka tu
Sikujua kama nikimtaja kipepe unaumia hivi.

Tumetoa pesa ndogo sana kununua mchezaji bora mara 100 kumzidi pepe wenu mliyeuziwa kwa mapesa kibao. Kwani pepe amepiga mashuti mangapi hadi sasa na ana goli ngapi?
 
Back
Top Bottom