lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,198
- 28,079
Yule Rashford kapata ile Free-kick ya dakika za mwisho sasa alivyopiga unajiuliza huyu dogo kichwani anawadudu Funza yaani kabutua kama uwanja upo miles away na Alipo yeye
Hovyo sana Hii Timu
Ajabu ni kwamba kila inapotekea free-kick yeye hukimbilia kupiga utafikiri yeye ndio fundi sana wa hiyo kazi. |




Daniel James