Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu mtatusamehe sana , tena sanaaaaa


Kesho tunazihitaji hizo point 3 ni muhimu sana kwetu.....

Nafikiri tumeelewana
Taarifa za ndani zinasema kuanzia jana Maguire hajaongea na mtu kabisa huko Carrington, anavunjavunja vitu tu. Sijui anajiandaa kufanya nini.
 
lingard kawaroga hata asipokuwa na mpira ni hatari c aanzie nje pale anaposima ole ndo atakuwa hatari zaidi ya hivi wanavyomuona

Naona umenileta kwenye uzi Boss?

Mimi sikuhizi nimeachana ushabiki wa Mpira mguuni na nimekuwa Mshabiki wa Wachezaji wakali wasipokuwa na Mpira 😀😀

Nina machine zangu mbili Jesee Lingard na Jordan Henderson ambao ukitaka kuona ubora wao basi usiwape pasi yani wazurure tu bila ya Mpira mguuni
 
nataman muingie kwenye hyo red portion na msitoke mpk may
Screenshot_2019-09-29-14-47-56.jpeg
 
Manchester united, chama langu.

Kocha wangu yuko bize ananiaminisha kwamba anakikosi kilichojaa quality players, kama haitoshi anasema bado anamfundisha rashidi makame kuwa goal scoring machine, kwa kipindi chote hiki niwe mpole maana anaijenga timu,

Licha ya yote sikomi kuishabikia
GGMU
 
Kwa sasa game yoyote kwa United ni ngumu, hata dhidi ya Newcastle.... Ni siri iliyo wazi kuwa United hawapo kwenye good form na wana wachezaji majeruhi ambao ni muhimu

Lakini ni kosa kubwa kuidharau United itakapokuwa inacheza na timu kubwa (top six) kwani hizi timu zinafunguka na kuacha nafasi inayoweza kuruhusu game ya United/OGS (counter attacking football)

Kuna watu wanajiuliza Chelsea walipigwaje na United hii, nashindwa kuelewa wanashindwaje kupata majibu

United ina creative players wachache na inacheza zaidi counter attacking football. Aina hii ya mchezo inawatesa sana wanapokutana na timu ndogo zinazocheza "kwa ku pack bus" kwa kuwa wanashindwa kutengeneza nafasi na kufunga magoli

Tatizo la United la kuwa na washambuliaji butu halijaisha, tatizo la kuwa na majeruhi bado lipo, tatizo la United kuwa na kiwango kibaya bado lipo lakini watu wanafanya makosa sana kuidharau United mbele ya Gunners wenye washambuliaji wazuri, midfield ya kawaida na beki isiyoridhisha.

Kuna watu watasubiri kesho tufungwe halafu waje wa quote huu Uzi, ninawaambia NO PROBLEM, ninawasubiri. Lakini kuweka kumbukumbu sawa Sijasema United ana 100% ya kushinda, ila ninampa asilimia kubwa ya kushinda
Vipi zinazo fata baada ya arsenal(hii sina uhakika kama tutashinda)
 
Kama alishindwa kumvunja Jack Wilshare mwenye enka mpaka za mgongo hawezi kuvunja watu wagumu PEPEPEASAKA
Taarifa za ndani zinasema kuanzia jana Maguire hajaongea na mtu kabisa huko Carrington, anavunjavunja vitu tu. Sijui anajiandaa kufanya nini.
 
Kwa sasa game yoyote kwa United ni ngumu, hata dhidi ya Newcastle.... Ni siri iliyo wazi kuwa United hawapo kwenye good form na wana wachezaji majeruhi ambao ni muhimu

Lakini ni kosa kubwa kuidharau United itakapokuwa inacheza na timu kubwa (top six) kwani hizi timu zinafunguka na kuacha nafasi inayoweza kuruhusu game ya United/OGS (counter attacking football)

Kuna watu wanajiuliza Chelsea walipigwaje na United hii, nashindwa kuelewa wanashindwaje kupata majibu

United ina creative players wachache na inacheza zaidi counter attacking football. Aina hii ya mchezo inawatesa sana wanapokutana na timu ndogo zinazocheza "kwa ku pack bus" kwa kuwa wanashindwa kutengeneza nafasi na kufunga magoli

Tatizo la United la kuwa na washambuliaji butu halijaisha, tatizo la kuwa na majeruhi bado lipo, tatizo la United kuwa na kiwango kibaya bado lipo lakini watu wanafanya makosa sana kuidharau United mbele ya Gunners wenye washambuliaji wazuri, midfield ya kawaida na beki isiyoridhisha.

Kuna watu watasubiri kesho tufungwe halafu waje wa quote huu Uzi, ninawaambia NO PROBLEM, ninawasubiri. Lakini kuweka kumbukumbu sawa Sijasema United ana 100% ya kushinda, ila ninampa asilimia kubwa ya kushinda
Na nyinyi LACCA angekuwepo nyinyi aiseeeeehhhh dah tungewaWATFORD hapohapo oldtoilet
 
Kwa sasa game yoyote kwa United ni ngumu, hata dhidi ya Newcastle.... Ni siri iliyo wazi kuwa United hawapo kwenye good form na wana wachezaji majeruhi ambao ni muhimu

Lakini ni kosa kubwa kuidharau United itakapokuwa inacheza na timu kubwa (top six) kwani hizi timu zinafunguka na kuacha nafasi inayoweza kuruhusu game ya United/OGS (counter attacking football)

Kuna watu wanajiuliza Chelsea walipigwaje na United hii, nashindwa kuelewa wanashindwaje kupata majibu

United ina creative players wachache na inacheza zaidi counter attacking football. Aina hii ya mchezo inawatesa sana wanapokutana na timu ndogo zinazocheza "kwa ku pack bus" kwa kuwa wanashindwa kutengeneza nafasi na kufunga magoli

Tatizo la United la kuwa na washambuliaji butu halijaisha, tatizo la kuwa na majeruhi bado lipo, tatizo la United kuwa na kiwango kibaya bado lipo lakini watu wanafanya makosa sana kuidharau United mbele ya Gunners wenye washambuliaji wazuri, midfield ya kawaida na beki isiyoridhisha.

Kuna watu watasubiri kesho tufungwe halafu waje wa quote huu Uzi, ninawaambia NO PROBLEM, ninawasubiri. Lakini kuweka kumbukumbu sawa Sijasema United ana 100% ya kushinda, ila ninampa asilimia kubwa ya kushinda
Mkuu Mc cane ushindi wenu kesho unategemea sana upumbavu wa emery maana tayari beki zetu zimerudi

Na kama kiungo akipanga vzr sioni mkitoboa ila kama atakuja na approach ile ile kama ya Liverpool basi mtatupiga kirahisi maana mpaka sasa emery hajui kuzicheza mechi kubwa

Hivi hapa atajifanya ana mipango buku kesho anakuja na utumbo ,ila akipanga kiungo vzr ceballos Gunduz lt11 , Mechi itakuwa ngumu sana kwenu.

By the way, man u siwabezi kama wengi wanavyoichukulia ,

Mechi ni 50/50
 
Back
Top Bottom