Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu vitu vingine unaongea kama una uhakika lakini huna uhakika

Kauli ya hivi karibuni iliyotolewa na Ed kuhusu DOF/SD/Technical Director ni hiyo hapo chini, sasa wewe hizo story zako sijui umezitoa wapi

Sasa anavyosema United wana review structure ya football side kwa uelewa wako ndio anamaanisha United isahau mambo ya DOF? View attachment 1217903View attachment 1217904
Mkuu issue Ni kwamba Ed anataka yes Man, wamemu Approach van de sir Aje awe Dof wetu na akatutolea nje, sababu Ni ile ile anataka Uhuru akija football matters zote aachiwe yeye kitu ambacho Ed hataki.





Hivyo mkuu bila Hawa wamiliki kutoka tutasubiria Sana kuhusu Dof, Kama Fergie mwenyewe hasikilizwi ujue timu imetekwa.
 
Umri wake
Kweli hiki kifuta jasho.

Nimeona Honda ametuma maombi ya kuichezea MUFC bila malipo yoyote. Kwa aina ya wachezaji tulionao huyu si anatufaa kabisa pia mambo ya Ole ya DNA huyu si ndio mwenyewe kabisa?
 
Huyu ni mchezaji niliamini sana angepewa nafasi msimu huu angetusaidia.

Kesho mkitufunga tunateremka chini vibaya sana.
Mm mpaka kesho naamini Sanchez bado ni hatari sana

Basi kuna mambo yalisababisha afeli hapo OT

MAANA kule Chile bado anafanya vzr

Leo Conte kaanza kumtumia dk 20 & 22 anaweka goli 2
 
Halafu kuna watu wanafananisha De Bruyne na kirusi Pogba
Watu wanaomlinganisha Pogba na KDB huwa wanaamini hata Pogba angekuwa hapo alipo KDB naye angetisha kama KDB. Wanaamini Pogba anaangushwa na aina ya wachezaji waliomzunguka😂😂
 
Back
Top Bottom