Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unarudi sokoni kocha Ole??

Dirisha lilifungwa wakati wachezaji wazuri wapo, hilo dirisha dogo ndo utawapata hao viwango?

Alikuwa wapi kabla ya dirisha halijafungwa?

Management iliridhia hiko kikosi kiingie kwenye michuano.
Manchester United back Ole Gunnar Solskjaer despite dismal form and are ready to give him funds in January to strengthen squad | @ChrisWheelerDM https://t.co/qSYLVxKKJy
 
Kufeli kwa LVG haimanishi makocha wengine pia watafeli. Hata hivyo LVG, alikuwa Old school, kuna makocha wazuri wanafundisha modern football, kama

Ten Hag
Jardim
Kuna yule aliyeko RB leipzig, Naingelsman
Hata Allegri sio mbaya
Luis enrique.

Atleast hao wameprove wanaweza kusuka kikosi na kikacheza mpira unaeleweka na kucompete kwenye top level,

Napenda sana OLE afanikiwe tena afanikiwe akiwa kocha wa Man u. But........
Mafanikio Ole Sendeka anayoweza kuyapata Old Trafford ni labda timu ishuke daraja.
 
hapo matial.pogba.rashford wote majeruhi na waliobaki kwenye hizo nafasi ni greenwod pereira ndo anategemea watacheza na beki za mancity au live
 
🙁🙁
20190924_100348_rmscr-1.jpg
 
Sikuwa nampenda huyu jamaa lakini bora yeye Ole ameprove failure kabisa huyo lampard hajasajili timu inafungwa lakini inaonekana kuna mpira inacheza kiasi chake unavutia ila Hii timu ya masai ole hovyo kabisa.
Hana mbinu za kubadili mchezo mfumo anaanza nao mpaka mechi inaisha ni huo huo habadiliki na hapo mshafungwa. Yani hii timi ingekua demu nishapiga chini
 
Sikuwa nampenda huyu jamaa lakini bora yeye Ole ameprove failure kabisa huyo lampard hajasajili timu inafungwa lakini inaonekana kuna mpira inacheza kiasi chake unavutia ila Hii timu ya masai ole hovyo kabisa.
Hana mbinu za kubadili mchezo mfumo anaanza nao mpaka mechi inaisha ni huo huo habadiliki na hapo mshafungwa. Yani hii timi ingekua demu nishapiga chini
kweli mkuu mi naomba na game zinazo fata tuchapwe mpaka wamfukuze
 
Kocha hana mbinu za kubadili mchezo afu ni mvivu na anamtegemea rashford
Hapo mkuu uko sawa kabisa.. Mie huwa najiuliza.. Sijui kwa nini Huwa anasita badili wachezaj hasa pale wana po kuwa chin ya kiwango


Mechi ya Leicester Pereira alipelea pakubwa tu.. Na hampa Sub

Mwenzie Lampard dakika kumi nantano baada ya kuona Emerson ana pelea akampa sub..

Ila kwa Ole yaan mpka mchezaj aumie.. Hata kama anaruka ruka tu uwanjan...

Tunajua kuna siku mchezaji ana amka vizur na siku anakuwa vibaya.. Sasa jamaa Ngu masai Ole hajali hicho ndicho nacho chukia kwa Ole..
 
Back
Top Bottom