Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

teh teh teh stress za kufungwa
munaomchukia paul pogba munaonaje mukaanzisha kampeni ya kurudishwa jose mourinho, si mnakumbuka jamaa alimpa jina la virus hivyo basi kama itatokezea jose akarudi klabuni kivyovyote paul pogba atatafuta mlango wa kutokea.
 
Jaman nyie si ndo mlisema mnataka vijana wadogo wenye morale, mkawauza Lukaku, herera na mkamtupia virago sanchez, na mkasema mnataka kutengeneza timu ya miaka mitatu without any 👑....leo hii mmegeuka tena duuh
 
Hahahaha umenikumbusha babu sari Chelsea, timu ifungwe au ishinde yeye yuko bize anaandika kwenye kikaratasi. Sasa alikuwa anaandika nini ambacho hakifanyii kazi kila siku.
Yule kwenye karatasi, huyu yeye kwenye Medias... Anasifia ujinga tu. Anyways wacha Klopp na Pep wachukue makombe MUFC tunajenga timu. May be baada ya miaka 20 tukiendelea na OGS huenda tukawa tunagombea nafasi ya nne.
 
Glazers wameshapata wanachotaka.
Screenshot_20190924-153926_Chrome.jpeg
 
Yani kwa Club Record Revenue hii Glazer's Family waliyopiga!!! Jiandaeni kwa Maumivu lakini hakuna Mfanya Biashara atakayekubali kumfukuza Ed hata siku moja.

Jamaa anacheza Europa lakini anaiingizia Timu mihela ya kufa Mtu halafu afukuzwe kwasababu tu ya kelele za Mashabiki!!!

Maumivu yanakuja
 
Mi nasema na sitaacha kusema ed ni wenga mpya ndani ya united.....wanajali faida tu
Yani kwa Club Record Revenue hii Glazer's Family waliyopiga!!! Jiandaeni kwa Maumivu lakini hakuna Mfanya Biashara atakayekubali kumfukuza Ed hata siku moja.

Jamaa anacheza Europa lakini anaiingizia Timu mihela ya kufa Mtu halafu afukuzwe kwasababu tu ya kelele za Mashabiki!!!

Maumivu yanakuja
 
Huwezi mtegemea huyu mtoto akufikishe sehemu

Kuna makosa OGS anayoyafanya, mojawapo ni kuwategemea sana hawa watoto (Tony Martial+Rashy). Na ikamfanya auze Lukaku bila kuleta mbadala

Kosa lingine ni team selection, how in the world can Matic play ahead of Fred. Only OGS can answer this

Kosa lingine ni kushindwa kuleta creative midfielders pale United

Haya mambo ilibidi ayafanye summer iliyopita, dirisha linalofuata tuangalie namba nyingine kama left back na holding midfielders

Naona Ed leo ametoa taarifa ya United kuingiza mapato yaliyovunja record, £627.1m. Huko Glazers walipo watakuwa meno yote nje.
marcus rashford
amecheza nusu msimu chini ya louis van gaal
amecheza misimu mitatu chini ya jose mourinho
anaelekea kucheza msimu mmoja chini ya ole gunnar solskjaer.

lakini bado tunaambiwa jamaa ni mtoto kwa sababu ya umri wake.
 
Kumbuka chelsea katika misimu Minne iliyopita wametwa epl mara mbili, na man united misimu 7 iliyopita wameshika nafasi ya pili mara moja.

Msimu uliopita chelsea imetwaa Europa League na kushika nafasi ya nne epl man united msimu uliopita haijabeba kombe lolote.

Kikosi cha chelsea kimebakiza wachezaji takribani nane waliokipa mafanikio msimu uliopita na wote kiliowasajili msimu uliopita wameshazoea ligi.

Man united 1st 11 inawachezaji 5 tu ambao walikuwa regular starter msimu uliopita hivyo kuelewana bado sana.

Man united squad yake ndiyo chanya zaidi kuliko timu yoyote ya epl 22 years average hivyo unaweza kuona tofauti na chelsea.

Man united wana pressure kubwa zaidi ya kurudi kwenye zama zao ilihali chelsea hawana pressure hiyo hata wachezaji wale wachanga wanapambana kuprove kwa kocha ili asisajili watu wakuja kuziba mapengo yao.

Ni kweli chelsea hajasajili lakini hakuwa na uhitaji mkubwa kiasi hicho wa kusajili ukilinganisha na united.

Karibu kuangalia squad depth ya chelsea na man united
Chelsea vs man united
Gk
Kepa De gea
Sergio Romero
Lee Grant
Defenders.
Zouma Rojo injury
Rudiger bailly injury
Tomori Jones
Cesar shaw
Alonso dalot
Christensen young
Emerson lindelof
Baba Maguire

Midfielders.
Kante matic
Jorginho fred
Kovacic Tominay
Ross Barkley lingard
Willian pogba
Pulisic James
Mount Gomes

Attackers
Pedro Rashford
Tammy martial
Mich Greenwood

Unaweza kuona hapo strength ya chelsea iko kwenye midfield na striking force while strength ya man united iko kwenye defence peke yake.

Man united wanacheza vizuri kuanzia kwenye defence na defence midfield tatizo linaanzia kwenye attacking midfield na striking force.

Chelsea mapungufu yao yako kwenye defence tu.

My opinion chelsea inawachezaji wazuri wengi na wenye maturity ya kutosha ukilinganisha na united.
Sikuwa nampenda huyu jamaa lakini bora yeye Ole ameprove failure kabisa huyo lampard hajasajili timu inafungwa lakini inaonekana kuna mpira inacheza kiasi chake unavutia ila Hii timu ya masai ole hovyo kabisa.
Hana mbinu za kubadili mchezo mfumo anaanza nao mpaka mechi inaisha ni huo huo habadiliki na hapo mshafungwa. Yani hii timi ingekua demu nishapiga chini
 
Manchester United are lining up potential replacements for Ole Gunnar Solskjær according to Italian media

JUZI NILISEMA ARSENAL WANASUBIR NINI KUMTIMUA UNAI EMERY, WANATAKA MPAKA , ALEGLI AELEKEE OT


naona yanaenda kutimiaView attachment 1215153
Hizi ishu za replacement zinaanzaga hiv hiv kidg kidg hadi zinatimia...someone the door will be open soon..
Hlf Bro ushinde ile mech ijayo pale Home😊😊😊
 
Back
Top Bottom