SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
Bado tu tunaendelea kujipa matumaini kuwa Ole Sendeka atatufikisha top 4
Chelsea ni mbovu lakini sidhani kama ndugu zetu Mwantesa Utd tutaenda popote chini ya Rashid Makame
Fumueni body ya timu nzima kuanzia Edwood Ward
Fumua kikosi chote na kusajili hata zaidi ya wachezaji wa8
Bila hivyo hata ashuke malaika bado tu mtakuwa mnatwanga maji kwenye kinu
Umefanana na mimi shabiki kindakindaki wa Chelsea nilikuwa napiga zangu zoezi tu sababu najua kabisa timu yangu ndiyo inajengwa upya so nilishajiandaa na lolote kuliko hawa ndugu zangu wanaojitesa bure tu hapa
Hahaha,mkuu mbona timu yako ni nzuri tu, uhakika wa kumaliza juu ya MUFC upo. Una wachezaji wa kazi na sio mabishoo tulionao sisi. |
Kimeo changu flani tu wanaita J6+ broInasikitisha ila mwanangu nimeikubali camera iliyotumika kupiga picha hapo tukiachilia mbali screen hiyo iliyo angavu kabisa. ni ya simu gamni
Hahaaa...we Jamaa ulivyokuwa unateseka na Mourinho sikupatii picha kabisa kuwa sasa hivi uko ktk hali gani kwa hasiraTusiposhuka daraja basi shetan la united linafanya kazi maana mech za away huyu bwana mdogo hana ujanja nazo kabisa yaani
MA hapo majeruhi kibaoOle anazidiwa mpaka na lampard aiseeee....vitoto vyake vinaupiga balaa
Inasikitisha ila mwanangu nimeikubali camera iliyotumika kupiga picha hapo tukiachilia mbali screen hiyo iliyo angavu kabisa. ni ya simu gamni
Nimecheka kwa sauti kubwa sana, daaah we Jamaa bhana
Wewe unajua mwananguTuliwaonya humu kuhusu kumfukuza mourinho wengine tuliundiwa had magenge ya kutusema wenzenu tuliona shida ni bodi sio kocha huwez miaka 7 ukakaa na young akiwa namba 2 au 3 huna 7 wala 11 halafu bodi ipo kimya tu
Kaja sosha mchomoa betr uza lukaku toa sanchez toa herrera
Ukiulizwa vipi anakwambia natafuta mchezaji wa damu ya united
Hivi hawa wakina KDB na bernado silva walikuwa wakiipenda city?
Aguero alikuwa anaipenda man city
Silva alikuwa anapenda man city
Mpira ni pesa mapenz yaliondoka na wakina scholes na giggs
Hata kule mess mkataba wake unaongea pamoja na kukulia palepale
Sosha si kocha huwez kuuza top striker kama hujapata mbadala
Yule klopp alichomoa taratibu sana masalia mabovu kule liverpool hakufika na kufukuza wakina milner na orig hata sturidge alivumiliwa kapata mbele patamu kamuachia
Lakini bado hawajawa na consistency ya uhakika kama Man City au Liverpool, so sikuwa na haja ya kujipa presha niliona ni vyema nikapunguze sumu kwa mazoezi
Hahaha,mkuu mbona timu yako ni nzuri tu, uhakika wa kumaliza juu ya MUFC upo. Una wachezaji wa kazi na sio mabishoo tulionao sisi.
Kufeli kwa LVG haimanishi makocha wengine pia watafeli. Hata hivyo LVG, alikuwa Old school, kuna makocha wazuri wanafundisha modern football, kamaUnamaanisha kocha wa namna gani, maana tulikuwa na LVG
wenzetu wanafungwa dhidi ya liverpool na man utd.Matone ya mvua yameshaanza kutupata.
MkuuDaemusin Ole alikosea sana kuamini kuwa kikosi chake kingeweza kumpa matokeo ya kufikia malengo aliyojiwekea ya top four hili lilikuwa kosa kubwa sana.bwana PTER baada ya kumalizika mechi ya man utd dhidi ya chelsea jose mourinho alizungumza maneno yafuatayo.
Chelsea were not compact defensively, too much space to play, not enough aggression on the ball, the defensive line, the midfield, the attack, they were not compact.
I think United will find it much more difficult to play against teams with low compact blocks, if the block is low blocks, it will be really difficult for them without pure striker"
wolverhampton 1 vs man utd 1
man utd 1 vs crystal palace 2
southampton 1 vs man utd 1
man utd 1(penalty) vs leicester city 0
man utd 1 vs astana 0
westham 2 vs man utd 0.
ukiondoa mechi ya chelsea hakuna mechi nyengine tuliofanikiwa kufunga goli zaidi ya moja.
baadhi ya wakati huwa namlaumu bila ya sababu ya msingi marcus rashford kumbe tatizo si yeye na wala lukaku hakuwa tatizo.
mtoto akiwa anakojoa kitandani anayepaswa kulaumiwa kwanza ni mzee kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.
Sio mbaya sana ..bado tunajenga litimu ..Siku likifumuka mutaelewa tu ..Mshajazwa mbili kwanza. Poleni
Duh! Nani huyu???View attachment 1213639
Kwa staili hii kupata ushindi ni ndoto
Aisee iko vizuri nimechek betri naona ina 3000+ inakaa zaid ya masaa 7 data zikiwa on huku ukitumia? Imgekuwa 4000mAh ningeisaka
bwana PTER baada ya kumalizika mechi ya man utd dhidi ya chelsea jose mourinho alizungumza maneno yafuatayo.
Chelsea were not compact defensively, too much space to play, not enough aggression on the ball, the defensive line, the midfield, the attack, they were not compact.
I think United will find it much more difficult to play against teams with low compact blocks, if the block is low blocks, it will be really difficult for them without pure striker"
wolverhampton 1 vs man utd 1
man utd 1 vs crystal palace 2
southampton 1 vs man utd 1
man utd 1(penalty) vs leicester city 0
man utd 1 vs astana 0
westham 2 vs man utd 0.
ukiondoa mechi ya chelsea hakuna mechi nyengine tuliofanikiwa kufunga goli zaidi ya moja.
baadhi ya wakati huwa namlaumu bila ya sababu ya msingi marcus rashford kumbe tatizo si yeye na wala lukaku hakuwa tatizo.
mtoto akiwa anakojoa kitandani anayepaswa kulaumiwa kwanza ni mzee kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.
Duh! Nani huyu???View attachment 1213639
Kwa staili hii kupata ushindi ni ndoto
bwana PTER baada ya kumalizika mechi ya man utd dhidi ya chelsea jose mourinho alizungumza maneno yafuatayo.
Chelsea were not compact defensively, too much space to play, not enough aggression on the ball, the defensive line, the midfield, the attack, they were not compact.
I think United will find it much more difficult to play against teams with low compact blocks, if the block is low blocks, it will be really difficult for them without pure striker"
wolverhampton 1 vs man utd 1
man utd 1 vs crystal palace 2
southampton 1 vs man utd 1
man utd 1(penalty) vs leicester city 0
man utd 1 vs astana 0
westham 2 vs man utd 0.
ukiondoa mechi ya chelsea hakuna mechi nyengine tuliofanikiwa kufunga goli zaidi ya moja.
baadhi ya wakati huwa namlaumu bila ya sababu ya msingi marcus rashford kumbe tatizo si yeye na wala lukaku hakuwa tatizo.
mtoto akiwa anakojoa kitandani anayepaswa kulaumiwa kwanza ni mzee kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.