Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama dirisha la usajili litafungwa hatujafanya usajili zaidi ya kina Bissaka tutapigwa sana tu
Hizi imani sio
radika bado vipi umeona tunakoenda ?
Msimu tunaweza kupoteza 1/3 mechi zote za ligi timu haitengenezi nafasi nyingi za kufunga magoli hata chache wanazotengeneza hawazitumii mpaka wapate penalty majanga
 
Pogba uwezo wa kufunga mkubwa sana mkuu, Iniesta alikuwa anaweza sana kutoa assist lakini kwa Pogba Iniesta bado sema of course Iniesta ni moja ya Midfielders wakubwa waliowahi kucheza soka la kulipwa
sitaacha kuichukia Man u kama navyoichukia CCM kwamba inesta unataka kumfananisha na pogba ambae kazidiwa hadi na marehemu Jeba aliyefariki juzi tu apo.
 
Kama dirisha la usajili litafungwa hatujafanya usajili zaidi ya kina Bissaka tutapigwa sana tu
Hizi imani sio
radika bado vipi umeona tunakoenda ?
Msimu tunaweza kupoteza 1/3 mechi zote za ligi timu haitengenezi nafasi nyingi za kufunga magoli hata chache wanazotengeneza hawazitumii mpaka wapate penalty majanga
 
radika bado vipi umeona tunakoenda ?
Msimu tunaweza kupoteza 1/3 mechi zote za ligi timu haitengenezi nafasi nyingi za kufunga magoli hata chache wanazotengeneza hawazitumii mpaka wapate penalty majanga

Tusiposhuka daraja basi shetan la united linafanya kazi maana mech za away huyu bwana mdogo hana ujanja nazo kabisa yaani
 
6 games 2 win 2 draws 2 loose bado unaiamini hii timu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…