Kitendo cha kuwepo Rashford kwenye Line-up najua kuna watu wameshaanza kununa 😀
Kuna sehemu nimesoma Mason ana tonsilitis,Kitendo cha Mason (striker wetu hatari aliyepo) kutokuwepo kwenye line up (hata sub) kunanifanya nijiulize maswali mengi
Fred nadhani alipaswa kuanza. Labda kocha ameona game itakuwa physical ndio maana
Kitendo cha Mason (striker wetu hatari aliyepo) kutokuwepo kwenye line up (hata sub) kunanifanya nijiulize maswali mengi
Fred nadhani alipaswa kuanza. Labda kocha ameona game itakuwa physical ndio maana
City Aguero akifanya ujinga Pep anamkemea na hapo anakuwa na presha ya kuwekwa bench maana kuna Jesus nje. Kwetu Rashford anarukaruka na bado anapata nafasi na hana presha😂😂 MUFC ya Ole hii, ni bahati tu tunatembelea. |
Mr Shetani huyo Rashford leo ndiye atakae wainua
Nikimuonaga perreira huwa nakosa amani kabisa yaani sijui kicha wetu anaamini vipi dogo mzur zaidi ya fred huyu huu u academy utamkost hata kama perreira atafanya poa ila si sawa na fred
Chief analysis mbona km biased. Kufungwa goli goli kunaweza kuwa na taswira 2 au zaidi; Mosi, timu inacheza defensively, Pili, defense ya timu ni nzuri. Ukitaka kujua wanacheza defensively, angalia rate ambayo timu mpira umechezewa kwenye half yakeManchester wamefungwa gori nne tu mpaka sasa, yenyewe na liverpool ndio wamefungana kwa kuwa timu zilizofungwa magori machache mpaka hatua hii.
Maana yake ni kwamba, Man U sasa ni more defending kuliko wakati wa mourniho wala van-dagaa hasa ukiangalia idadi chache sana ya magori kulinganisha na washindani wake.
yale maneno ya attack attack kutoka kwa OGS yamepotea. Ole ni fraud.
Kuna sehemu nimesoma Mason ana tonsilitis,
Acheni lawama,mtu uwezo wake ndio huo umeishia hapo,mnataka afanye vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wake.Huyo ndio rashford bwana, hata dribbling hawezi kufanya..
Kazi kweli kweli .

dah anaingia hadi kwenye box hajui afanye nini