Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Moja ya wachezaji tutakaojutia kuwapata na haikuwa ngumu kuwapata ni Joao Felix. Kwa huyo dogo, hakuna cha Mbape, Mesi, Ronaldo wala Neyma et al. AM watamuuza kwa hela ndefu sana. Dogo yupo smart balaah
Upo serious mkuu?.
 
Kama kwa sterling ni utoto kwanini kwa Rashford isiwe utoto.
Sterling kipindi hicho ana miaka 18..na alikuwa anakimbiza kwelikweli..


Rashford utoto ushamtoka,mtu ana miaka 21 utoto unatokea wapi na ameshacheza mechi za level ya juu kibao tu..ilibidi muda huu astandout kama mchezaji anayeeleweka..though kuna uwezekano wa yeye kuwa mkali zaidi kadri umri unavyosogea
 
Sterling kipindi hicho ana miaka 18..na alikuwa anakimbiza kwelikweli..


Rashford utoto ushamtoka,mtu ana miaka 21 utoto unatokea wapi na ameshacheza mechi za level ya juu kibao tu..ilibidi muda huu astandout kama mchezaji anayeeleweka..though kuna uwezekano wa yeye kuwa mkali zaidi kadri umri unavyosogea
Rashford akiwa na miaka 21 msimu wa 2018/19.
Kafunga goals 10 na assists 6. Huku akianza mechi 24 za EPL

Sterling akiwa na miaka 21, msimu wa 2014/15.
Alifunga goals 7 na assists 7 huku akianza mechi 34 za EPL

Kama Rashford ashakuwa mtu mzima kwa umri wa 21yrs. Hata Sterling alikuwa mtu mzima pia kwa umri huohuo.

Anyway.

Ni kweli Rashford anafanya makosa mengi uwanjani na inacost timu but kwa umri wake mara nyingi ni kitu cha kawaida.

Kosa ni la Man u kumtegemea.
 
Kosa ni la Man u kumtegemea.
hii ndio sentensi muhimu zaidi niliokuwa nikiisubiria kwenye huu mjadala wa rashford na sterling.
nyakati zile sterling analeta utoto mwingi uwanjani bwana suarez na aguero wanafunga magoli kadri wanavyojisikia.

ila ukiija kwa rashford kwa kuwa yeye ndio mbeba matumaini wa timu yetu hatakiwi aongozwe na mihemuko ya kitoto.
 
Kwenye hilo nadhani Jukwaa zima (United fans) tunakubaliana
hii ndio sentensi muhimu zaidi niliokuwa nikiisubiria kwenye huu mjadala wa rashford na sterling.
nyakati zile sterling analeta utoto mwingi uwanjani bwana suarez na aguero wanafunga magoli kadri wanavyojisikia.

ila ukiija kwa rashford kwa kuwa yeye ndio mbeba matumaini wa timu yetu hatakiwi aongozwe na mihemuko ya kitoto.
 
Victor Lindelof asaini mkataba mpya hadi 2024

Daniel James aungana na PP, Tony na Luke Shaw kwenye orodha ya wenye majeruhi. Ameumia ankle.

Greenwood, Axel na Romero wataanza mechi dhidi ya Astana ya Kazakhstan kesho 19/09/2019

VVD (beki bora Ulaya) atoa assist kwa Loriente na kusababisha Napoli kushinda goli 2-0 dhidi yao
 
Victor Lindelof asaini mkataba mpya hadi 2024

Daniel James aungana na PP, Tony na Luke Shaw kwenye orodha ya wenye majeruhi. Ameumia ankle.

Greenwood, Axel na Romero wataanza mechi dhidi ya Astana ya Kazakhstan kesho 19/09/2019

VVD (beki bora Ulaya) atoa assist kwa Loriente na kusababisha Napoli kushinda goli 2-0 dhidi yao
Aya ya mwisho umefanya uchokozi kwa wapinzani
 
Back
Top Bottom