Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Sijawahi mchukia mtu.Punguza chuki dhidi ya Rashford.
Kacheza kama main striker mechi Mbili tuu.
Bado ana umri mdogo( 21). Anachoitaji ni good coaching.
Tayari kashaonesha anaweza ni swala la improvement tuu.
Wajibu wake ni kutupa magoli thats it.
Suala la miaka halimpi sababu ya kutotupa magoli CR7 kwa umri wa miaka 21 alishakuwa hot kuliko Rashy.
mkuu unataka ukaombe kazi man U?