radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
abraham ni mfungaji hodari kuliko rashford.
Ollachuga Oc
Kilichomponza rashford kaingia moja kwa moja timu ya wakubwa na kupata namba hajatumia nguv na kujifunza anapotea kama adnan januzaj
abraham ni mfungaji hodari kuliko rashford.
Ollachuga Oc
Mkuu gari lenu la mkaa limechanganya daa
Top four mumeudhuria tu ..bado hamjaingia![]()
Kumtumia James kama winger ya kulia inazidi kuonesha jinsi Ole asivyojua kumtumia.Leo nimeikubali Chelsea mko poa.hasa hamna mabishoo.
Ila Man U sijui nini kinatokea kwa wachezaji wa mbele kama Rashford yaani tungepata Mbili dakika za lala salama ule mpira ulienda mbele Rashford yuko nao ila anaslow ananyang'anywa.
Anyway nashukuru kiungo kilitulia na naona ole aliacha ujinga akaingiza Tuanzebe kuliko kawaida yake ya kutoa mtu muhimu na kuingiza katoto kaforward.
Kumtumia James kama winger ya kulia inazidi kuonesha jinsi Ole asivyojua kumtumia.
Analazimisha acheze namba asiyoimudu vizuri.
Hapo tu ndio ninaposhindwaga kumuelewa kocha wetuKumtumia James kama winger ya kulia inazidi kuonesha jinsi Ole asivyojua kumtumia.
Analazimisha acheze namba asiyoimudu vizuri.
mapaka fc jana mmeokota kamasi kutoka kwenye .....
Upuuzi mtupu kutoka kwa kocha wetu..sina imani sana na uwezo wake kwenye kuchanganua hata vitu basic kabisa..Kumtumia James kama winger ya kulia inazidi kuonesha jinsi Ole asivyojua kumtumia.
Analazimisha acheze namba asiyoimudu vizuri.
mkuu anachokifanya OGS kwa daniel james itakuwa ni faida kubwa sana kwa huyo dogo hapo mbeleni kama atakuwa serious, zile zama tulizowashuhuhudia wachezaji mfano wa ryan giggs, david beckham wanacheza upande mmoja tu maisha yao yote kisoka zimeshapitwa na wakati.Kumtumia James kama winger ya kulia inazidi kuonesha jinsi Ole asivyojua kumtumia.
Analazimisha acheze namba asiyoimudu vizuri.
Uyo magwaya alifanya nini mlipocheza na wolves?
Tammy anakuja taratibu mkuu..
Rashid ana goli ngap mpaka sasa?
Kila la kheri Chelsea![]()
na ndiye anayeleta utofauti mkubwa sana kati yetu na chelsea.Maguire ni sawa na beki yote ya Chelsea jumlisha na kipa wao
Hapo hata mimi nilishangaa kwanini mlimpeleka kule 2half.Kumtumia James kama winger ya kulia inazidi kuonesha jinsi Ole asivyojua kumtumia.
Analazimisha acheze namba asiyoimudu vizuri.
Kumtumia James kama winger ya kulia inazidi kuonesha jinsi Ole asivyojua kumtumia.
Analazimisha acheze namba asiyoimudu vizuri.
tumecheza mechi tano bwana OGS hajampa hata sekunde moja angel gomes.Fred McTominay Pogba
Ndo mido ninayotaka kuiona
Hopefully atapewa nafasi alhamisi..tumecheza mechi tano bwana OGS hajampa hata sekunde moja angel gomes.
alhamisi tunacheza europe hivyo basi nitafurahi kama dogo atapewa nafasi.
kinyume na hapo angel ataitafuta furaha sehemu nyengine.
yap, confidence inajengwa ndani ya uwanja na si jukwaani.Hopefully atapewa nafasi alhamisi..