HaahaaaKama sio mfuatiliaji wa mpira ukiiangalia Manchester United inaweza fikiri ni Yanga.



Top four mumeudhuria tu ..bado hamjaingiaKuna mechi tumecheza vizuri na hatukupata point 3 na mechi tumecheza vibaya tumepata point 3. Ushindi muhimu Sana huu hasa kuongeza morali ya wachezaji. Tumeshaingia top 4.



Top four mumeudhuria tu ..bado hamjaingia![]()
Tammy Abraham ni Rashford kumi.
Bisha.
Kila la kheri Chelsea![]()
Naona City leo ananyolewa na chupa bila maji
Kuhusu mikeka kuchanika ni siri ya watu
Haha Tominay kwa kukaba yuko vizuri sema kiungo cha juu na striking force bado zina makengezaWale waliokuwa Wanam compare Mctominay na Ndidi
-leo Dogo ana 100% tackle success
-31/38 pass completed
-4/6 take ons
-7 ball recoveries
-2 interception.
Dogo ndio amekuwa man of the match.
Uyo magwaya alifanya nini mlipocheza na wolves?Maguire ni sawa na beki yote ya Chelsea jumlisha na kipa wao
Tammy anakuja taratibu mkuu..Kipele kimepata mkunaji naona Leo.
Mwenye namba England ni nani wakati huyo Tammy anawekwa bench na Rashidi.





Kwa timu yenu hii mkipata droo vs Leicester ni mafanikio.
Nimeangalia game 3 za Leicester msimu huu, wanaonesha watasumbua.