Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naamini tutasonga mbele zaidi
Screenshot_2019-09-14-19-08-07.jpeg
 
Top four mumeudhuria tu ..bado hamjaingia

Leo nimeikubali Chelsea mko poa.hasa hamna mabishoo.

Ila Man U sijui nini kinatokea kwa wachezaji wa mbele kama Rashford yaani tungepata Mbili dakika za lala salama ule mpira ulienda mbele Rashford yuko nao ila anaslow ananyang'anywa.

Anyway nashukuru kiungo kilitulia na naona ole aliacha ujinga akaingiza Tuanzebe kuliko kawaida yake ya kutoa mtu muhimu na kuingiza katoto kaforward.
 
Wale waliokuwa Wanam compare Mctominay na Ndidi
-leo Dogo ana 100% tackle success
-31/38 pass completed
-4/6 take ons
-7 ball recoveries
-2 interception.

Dogo ndio amekuwa man of the match.
Haha Tominay kwa kukaba yuko vizuri sema kiungo cha juu na striking force bado zina makengeza
 
Back
Top Bottom