Former Manchester United goalkeeper Edwin van der Sar has warned David de Gea that he is not irreplaceable at the club

Despite being named as the club's player of the year on four occasions, Van der Sar says the 28-year-old can be replaced if he decides to leave on a free transfer.
View attachment 1206377


"The decision needs to come at a certain point," he said.

"It takes a long time now, so it's a case of 'yes' or 'no', but I'm not a director of United.

"Other goalkeepers can also fill the gap. There are a few Premier League goalkeepers playing at the club who can also take the step up.

"I was 34 when I went to United. So there are lots of opportunities thereView attachment 1206376


Tayar wazee wameanza kuchukua de gea analeta pozi la ki shamba mzee baba van der sar kamchana

DeGea hana makosa sababu ya kwanza kusaini ni hiyari sio lazima then sababu ya pili Man Utd kwa kuweka mbele uzawa major honours kama EPL na UCL sahau kwa dunia ya leo.

Mchezaji kuwa unacheza tu miaka inasogea kwenye umri ambao sio wa mpira haiingii akilini, mchezaji anaejitambua atataka timu ya kushinda makombe makubwa

Jan Oblak licha ya kupewa mshahara wa pauni zaidi ya 180,000 aliliweka hadharani kwamba Atletico ambitions has to match his ambitions la si hivyo anaondoka

Manchester City na Chelsea wanafanikiwa sababu sio Club za kuweka uzawa mbele, sasa ubaki kwenye timu ambayo inataka wazawa halafu wazawa wenyewe kina Lingard na Rashford
 
Kwetu hatuna mechi ndogo..kila mechi ni kubwa.

Na ngoma ya leo ndo ngumu kabisa..hawa Leicester hawachelewi kutuzingua

GGMU
 
Binafsi ninamatumaini makubwa kuwa mechi hii unashindwa vizuri tu. Pamoja na record mbaya ya mechi 3 zilizopita, pamoja na majeruhi wengi, sasa ni ushindi tu. Am very optimistic
 
Binafsi ninamatumaini makubwa kuwa mechi hii unashindwa vizuri tu. Pamoja na record mbaya ya mechi 3 zilizopita, pamoja na majeruhi wengi, sasa ni ushindi tu. Am very optimistic
Tuombe iwe hivyo..maana tukipoteza tena points tutapoteana kabisa..
 
Rodgers anatupiga Leo. Kuna dalili zote zipo wazi kupigwa unless itokee miracle au bahati.
We have become a very weak side no consistency, no plan B, no ambition and jihad minded players, timu imekata ringi kwa lugha ingine.
Ila tuombe rebuilding ya timu ifanikiwe maana naona OGS akitimuliwa mapema sana hii form ya kupiga ikiendelea tena na tukiwa position mbovu ( nje ya top 4)

GGMU
 
Rodgers anatupiga Leo. Kuna dalili zote zipo wazi kupigwa unless itokee miracle au bahati.
We have become a very weak side no consistency, no plan B, no ambition and jihad minded players, timu imekata ringi kwa lugha ingine.
Ila tuombe rebuilding ya timu ifanikiwe maana naona OGS akitimuliwa mapema sana hii form ya kupiga ikiendelea tena na tukiwa position mbovu ( nje ya top 4)

GGMU
ondoa khofu brother mechi ya leo tunashinda kuliko CCM.​
rashford a.k.a rashidi wa pemba ndiye anayesababisha mechi zetu ziwe ngumu mara kwa mara kwa sababu hana consistence form ya kiuchezaji.
1568461212967.png
 
DeGea hana makosa sababu ya kwanza kusaini ni hiyari sio lazima then sababu ya pili Man Utd kwa kuweka mbele uzawa major honours kama EPL na UCL sahau kwa dunia ya leo.

Mchezaji kuwa unacheza tu miaka inasogea kwenye umri ambao sio wa mpira haiingii akilini, mchezaji anaejitambua atataka timu ya kushinda makombe makubwa

Jan Oblak licha ya kupewa mshahara wa pauni zaidi ya 180,000 aliliweka hadharani kwamba Atletico ambitions has to match his ambitions la si hivyo anaondoka

Manchester City na Chelsea wanafanikiwa sababu sio Club za kuweka uzawa mbele, sasa ubaki kwenye timu ambayo inataka wazawa halafu wazawa wenyewe kina Lingard na Rashford
Hata mimi ningekuwa mchezaji wa MUFC kwa kipindi hiki ningeondoka.
 
Back
Top Bottom