kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,350
Unamapenzi sana na Pogba. Ila nakuhakikishia pogba ndani ya Man U anaweza pata replacement, ni bodi tu ndo haiko kimpirampira.Kwasasa ni kiungo gani Duniani mwenye uwezo wa kumfikia Pogba?
Kuna wachezaji hawana replacement huo ndiyo ukweli..
1) Messi
2) Pogba
3) Hazard
4) Mbappe
5) Kante
