Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Donaduma Gianlugi ni mzuri pia kwa kumuendeleza,anaweza kuja kuwa kipa bora sana.
Bado humujapata funzo kutoka Mino Raiola?
Donaduma Gianlugi ni mzuri pia kwa kumuendeleza,anaweza kuja kuwa kipa bora sana.
Thiago Alcantara
KDB
Bruno Fernandes
Ericksen
Van De Beek
Verati
James Madison
Saul Niguez
The list is very long Mkuu
Eriksen,de bryne,kante,verati n.kNitajie ni kiungo gani Duniani anayeweza kumreplace Pogba?
Hao hawawezi kufikia ubora wa Pogba
Ndo mana tunasema Pogba hamna kitu, yeye yupo limited,Uzuri pogba muweke namba 10 ktk 4-2-3-1 , au wanaita attacking midfielder ktk mech 10 atakupa assist 10+ , halafu uwe na clinical forward .
Maana atapiga Zile long balls ambazo nimewahi kuzishuhudia kwa Alex song akimpa Robin van persie ., Pia pogba ana piga mashuti , atapiga Faulo ,
Hapo ndipo utaushuhudia uwezo wa pogba , na ogopa sana Pogba akicheza hiyo namba .
Thiago Alcantara
KDB
Bruno Fernandes
Ericksen
Van De Beek
Verati
James Madison
Saul Niguez
The list is very long Mkuu
Uzuri pogba muweke namba 10 ktk 4-2-3-1 , au wanaita attacking midfielder ktk mech 10 atakupa assist 10+ , halafu uwe na clinical forward .
Maana atapiga Zile long balls ambazo nimewahi kuzishuhudia kwa Alex song akimpa Robin van persie ., Pia pogba ana piga mashuti , atapiga Faulo ,
Hapo ndipo utaushuhudia uwezo wa pogba , na ogopa sana Pogba akicheza hiyo namba .
ubora wa pogba upi?Hao hawawezi kufikia ubora wa Pogba
wewe unataka kudanganya kuwa pogba anamgusa veratti?Hata kama tunamchukia Pogba lazima tumpe heshima yake.
Kati ya hilo kundi ni wawili tu ndiyo wanaoweza kumsogelea Pogba na hao ni Kelvin De Bruyne na Christian Eriksen hao wengine ni kumtukana huyu fundi mweusi.
Na hiyo ndio weakness yake kubwa ambayo ina mgharimu , mech na Chelsea alipoteza sana mipira first half lkn akatoa assist mbili.Pogba mimi simpendi tabia zake za kupoteza mipira bila kukaba lakini kiwango chake nakiheshimu sana.
Uzuri pogba muweke namba 10 ktk 4-2-3-1 , au wanaita attacking midfielder ktk mech 10 atakupa assist 10+ , halafu uwe na clinical forward .
Maana atapiga Zile long balls ambazo nimewahi kuzishuhudia kwa Alex song akimpa Robin van persie ., Pia pogba ana piga mashuti , atapiga Faulo ,
Hapo ndipo utaushuhudia uwezo wa pogba , na ogopa sana Pogba akicheza hiyo namba .
Kwa hiyo suluhisho ahame timu?Alicheza huo mfumo kwenye timu gani ?
Timu alizocheza Juventus,France hawachezi huo mfumo
Pogba ana potential hata ya kushinda Balon D'or lakini yeye mwenyewe hajali ndio maana anaishia kulaumiwa kila siku
Huwa ana-relax sana uwanjani na wapinzani wameshamjulia wanampora mipira kirahisi sana
Eriksen,de bryne,kante,verati n.k
wewe unataka kudanganya kuwa pogba anamgusa veratti?
Pogba mimi simpendi tabia zake za kupoteza mipira bila kukaba lakini kiwango chake nakiheshimu sana.
Ed atakwambia hao hawatauza jezi kama Pogba.Thiago Alcantara
KDB
Bruno Fernandes
Ericksen
Van De Beek
Verati
James Madison
Saul Niguez
The list is very long Mkuu
Kumbe anapiga pasi ambazo song alikuwa anazipiga Mzee, halafu pale united sidhani kama kuna namba aipendayo ambayo hajachezeshwa. Mou kuna kipindi alijaribu kumbadilisha ktk maeneo tofauti tofauti pengine angeona ubora wake ila jamaa akawa hana consistency.Uzuri pogba muweke namba 10 ktk 4-2-3-1 , au wanaita attacking midfielder ktk mech 10 atakupa assist 10+ , halafu uwe na clinical forward .
Maana atapiga Zile long balls ambazo nimewahi kuzishuhudia kwa Alex song akimpa Robin van persie ., Pia pogba ana piga mashuti , atapiga Faulo ,
Hapo ndipo utaushuhudia uwezo wa pogba , na ogopa sana Pogba akicheza hiyo namba .
Hivi tangu afike Man U kuna kipindi aliwahi kuwa na consistency ya kucheza vizuri japo game tatu mfululizo hadi uheshimu kiwango chake? Au ndo hadithi zilezile za pogba Wa juve, cjui pogba Wa France!?Pogba mimi simpendi tabia zake za kupoteza mipira bila kukaba lakini kiwango chake nakiheshimu sana.
Daaa Mzee unampenda sana Agent P! Ha ha haEndelea kumkosea heshima Pogba kwa kumfananisha na hizo takataka