Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama ni wazuri kwanini Waliondoshwa kwenye Timu?
Mimi hata sielewi makocha sometimes.
Mourinho kumuondoa Daley blind kulimcost sana last season hasa defenders wake waliposhindwa kuperform.

Zlatan majeraha na uzee ulisababisha aondoke.

Rojo yupo mpaka sasa sema majeraha yamempotezea kabisa ubora wake.

Fellain na Herrera tumwachie Ole atujibie hili
 
huyu Fraser si winga? kama ndio hatufai kwa sasa, mara nyingi namuonaga akutokea kushoto na United ina Martial, James, Rashford ni wazuri wakitokea kushoto.

namba ya Maddison kuna Mata, Lingard wote hao hawafui dafu kwa huyo mwamba anajua kutengeneza nafasi.
Fraser huwa anacheza free role pale Bournemouth
 
Ukiwa na striker mkali akakupa magoli, ule udhaifu hauonekani
Kuna wale wachezaji wanakuokoa hata kama mnacheza mpira mbovu.

Mou alikuwa nao akajua kuwatumia.

Ole hana hao wachezaji ndio maana kutoa draw ni mafanikio kwake.

Ukiwa na striker mkali akakupa magoli, ule udhaifu hauonekani.

Ila wewe una Rashford anajiangusha mechi nzima, hakupi matokeo. Kila mtu atahoji aina yako ya uchezaji.
 
Wanaotusumbua humu ni Ollachuga, Penison, Southern....., sometime Aaron, na wewe kiaina na wengine

Sidhani kama hao niliowataja wapo kundi moja na huyo jamaa
Nashangaa hata huo muda wa kum-quote jamaa anautoa wwai wakati watu humu baada ya kubaini ana matatizo ya kisaikolojia yaliyotokana na malezi tumempuuza.
 
mechi 16 anapata ushindi mech 3 tu.
Waaaiiiiiiiii Mou arudishiwe tu kibarua chake.
Yule msimamizi wa mazoezi alishasema anataka kufanya kazi na wanaume na siyo wavulana. Kwa kikosi chenu kwa sasa ambaye anaweza kuanza kwa Mou labda Matic na Maguire, Pogba waligombana. Sioni wengine wa kufanya kazi na Mou
 
20190901_124324_rmscr-1.jpg


Matic katoa "Like" kwa mtoa ushauri!
Oooohhh!
 
Back
Top Bottom