Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dogo anajitahidi sana,ni mzuri ila sio wa kumuingiza muda 'maji yamekorogeka' kama Ole anataka kumpa nafasi amuanzishe, Rashford acheze pembeni.

Ila ndio hivyo,sio mtu wa kumtegemea akabadili matokeo kama ilivyo kwa majirani zetu. Ole sub zake ni kama anafanyaga kukamilisha ratiba tu.
Ni kweli anachelewa sana kufanya kufanya sub

Kama sub ya Pereira ilibidi ifanyike kipindi cha pili kilipoanza

Greenwood akipewa muda mrefu uwanjani, ni mkali kuliko Rashford
 
Kuna mfumo ambao unahitaji wachezaji wasio na quality ?
Mfumo anaoutumia unahitaji.kuwa na wachezaji.wenye quality kubwa sana ambao yeye hana.

Anapaswa kuwa.na mentality ya kupata matokeo na siyo kujenga style of play tu ambayo haimsaidii chochote kwenye kupata.matokeo.
 
Kwa mpira tunaocheza na matokeo tunayopata anaweza asimalize huu msimu
Kiukweli OGS kuna kitu nakiona anakifanya pale United hasa hasa kwenye style of playing

Ila bado sijamuelewa kwenye baadhi ya maamuzi yake, mfano kumuondoa Lukaku bila kuwa na mpango wa replacement, kusema kwamba hela ilikuwepo lakini sokoni hakukuwa na wachezaji sahihi wa kusajili na kwenye suala la favouratism kwa wachezaji wa kingereza

Kuna mambo anapaswa ajitathmini. Lakini, kuna kitu naona anakijenga embu tumpe muda waungwana
 
Nasubiria game against liverpool abebeshwe virago kama mou
Ole anafurahisha sana, hiyo statement utafikiri ana kikosi kukuubwa.
Huko kwa majirani zetu, mambo yakiwa magumu unaona Bernardo Silva anapasha. Sisi mambo magumu unaona kinda Greenwood anapasha.


 
Kwa mpira tunaocheza na matokeo tunayopata anaweza asimalize huu msimu
Sidhani mkuu

Nadhani huyu jamaa atapewa muda zaidi ya makocha wote waliopita baada ya SAF

Hiyo style ya kufukuza fukuza imeshafeli

Lakini pia nikimcheki jamaa anaonekana hana wasiwasi, atakuwa amehakikishiwa kupewa muda ajenge timu

Unless akaribie kuishusha timu daraja jambo ambalo haliwezi kutokea
 
Kwa namna tunavyocheza tunaweza kuwa bora tukicheza na vigogo kuliko tunavocheza na walalahoi

Timu zinazocheza mpira, zina nafasi ya kuchezea kichapo kuliko timu zinapaki basi ili kupata matokeo

Timu yetu inapata shida kui break down defence iliyo compact, lakini ina enjoy kucheza na timu zinazofunguka
 
Kwa namna tunavyocheza tunaweza kuwa bora tukicheza na vigogo kuliko tunavocheza na walalahoi

Timu zinazocheza mpira, zina nafasi ya kuchezea kichapo kuliko timu zinapaki basi ili kupata matokeo

Timu yetu inapata shida kui break down defence iliyo compact, lakini ina enjoy kucheza na timu zinazofunguka
umeanza kujipa MATUMAINI sio
 
Glazers first priority ni fedha, msimu huu kama United anakosa Champions League fedha za Adidas zinapungua

Moyes alipewa 7 years contract na licha ya kukingiwa kifua na SAF but matokeo yalivyokuwa mabovu hakumaliza hata msimu mmoja

OGS ni baby face so hata akikasirika/akiwa na wasiwasi sura yake haibadiliki yuko hivyo

OGS amefanya risk kubwa sana kuanza season akiwa na kikosi kidogo na ukizingatia tactical hayuko vizuri
Sidhani mkuu

Nadhani huyu jamaa atapewa muda zaidi ya makocha wote waliopita baada ya SAF

Hiyo style ya kufukuza fukuza imeshafeli

Lakini pia nikimcheki jamaa anaonekana hana wasiwasi, atakuwa amehakikishiwa kupewa muda ajenge timu

Unless akaribie kuishusha timu daraja jambo ambalo haliwezi kutokea
 
He claims himself the team is rebuilt for each match but actually we are sighed every match.
Most of time he expresses optimism as his main shadow to rest on.
As it seeems, this will be a bad season since sir Alex
If this kind of performance will still happen, soon Sucking is around the corner regarding the coming fixture is so tighten
One of the toughest thing players had at utd in AF era was Babu mkuda/conservative na mkali kweli kweli regardless of players' superstarness..... OGS anawanyenyekea wachezaji wampende atakipata anachokitaka.
 
One the toughest thing players at utd had in AF era was Babu mkuda/conservative na mkali kweli kweli regardless of players' superstarness..... OGS anawanyenyekea wachezaji wampende atakipata anachokitaka.
Sure..
Ogs anajipendekeza pendekeza sana kwa Pogba.

Tangu achukue timu toka kwa Mou, basi ni kujipendekeza tu Pogba ampende mana anajiaminisha kibarua chake kipo mkononi mwa pogba.
Yan mpaka mi huku tz najua Ole anajipendekeza kwa pogba.
Ku-run timu au club itakua ngumu
 
Glazers first priority ni fedha, msimu huu kama United anakosa Champions League fedha za Adidas zinapungua

Moyes alipewa 7 years contract na licha ya kukingiwa kifua na SAF but matokeo yalivyokuwa mabovu hakumaliza hata msimu mmoja

OGS ni baby face so hata akikasirika/akiwa na wasiwasi sura yake haibadiliki yuko hivyo

OGS amefanya risk kubwa sana kuanza season akiwa na kikosi kidogo na ukizingatia tactical hayuko vizuri
Hili suala kwa kiasi kikubwa litajibiwa na muda

Ni kweli kwamba Glazers wanaangaalia mshiko kwanza, lakini kama wamekubali wazo la kujenga mafanikio badala ya kutaka kununua mafanikio watampa muda zaidi OGS

Moyes ilikuwa ni mwanzoni. Lakini kwa sasa wameona fukuza fukuza is not working hivyo wanalazimika kutumia approach nyingine kwenye kuendesha timu

Kuna mambo mengi wamekubali kubadili pale United ndio maana naamini hata kwenye ku deal na makocha watabadili approach,

Angalia tunavyosajili kwa sasa, angalia clearing ya deadwoods inavyofanyika, angalia reshafle ya academy (akina Quinton Fortune wameletwa na wanasajili watoto wadogo lakini kwa hela ndefu mfano dogo Mejibri £8million n.k).

Pia angalia integration ya watoto wa academy kwenye timu ya wakubwa. Kundi kubwa kuingizwa timu ya wakubwa kwa wakati mmoja si jambo la kawaida, kwa sasa kuna Chongy, Gomes, Greenwood, Jimy Garner, Tuanzebe karudishwa nyumbani n.k.Kuna vitu vimebadilika.

Lakini ingekuwa ni kutaka mafanikio ya haraka na OGS anajua hana muda wa kuvumiliwa nakuhakikishia asingeruhusu akina Sanchez, Lukaku waondoke. Na asingekubali/angelalamika hadharani kutotolewa hela ya usajili
 
Dof yupo wapi amsaidie kusajili typical united player
Glazers first priority ni fedha, msimu huu kama United anakosa Champions League fedha za Adidas zinapungua

Moyes alipewa 7 years contract na licha ya kukingiwa kifua na SAF but matokeo yalivyokuwa mabovu hakumaliza hata msimu mmoja

OGS ni baby face so hata akikasirika/akiwa na wasiwasi sura yake haibadiliki yuko hivyo

OGS amefanya risk kubwa sana kuanza season akiwa na kikosi kidogo na ukizingatia tactical hayuko vizuri
 
Kolidou mwenye thaman ya 200+ kam rais wa napol anavoropoka kachomoa betry uko dakka za mwisho na kuipa juve ushind kama zouma t awana utofaut
Yule Rais wao naye nilimdharau sana, eti kama Maquire ameuzwa £80m basi Koullibaly atakuwa na thamani ya £150m au zaidi

Chizi sana yule jamaa
 
Mkuu kuna taarifa zimenifikia hapa. Inasemekana yule beki wetu maridadi mwenye kiwango cha kumuweka Harry bench amemtandika Kepa booonge la goli.

Zouma moja
Maguire hajapata kitu.
Sasa mkuu Zouma akitulia vizuri Magwaya mbona atasugua tu benchi.

Kila la kheri Chelsea
 
Back
Top Bottom