Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Game ya Arsenal na spur imenifanya niwaze timu yangu sana. Yaani sisi msimu huu ndugu yetu ni Chelsea tu maana wote hatujielewi tunafanyaje nn uwanjani.
Pata picha tukikutana na Arsenal au Spurs na hao viungo wao tutapona kweli bado city na liver si tutapigwa hadi tuchakae.
OGS unafanya kazi nzuri ila kuna makosa ambayo yatamtafuna msimu huu wote na pengine yataweza sababisha kibarua chake kuota nyasi kwann Lukaku na Herrera hawajawa replaced hii zaidi ya dhambi na ukatili ametufanyia ss wapenzi wa Mpira na united fans kwa ujumla.
 
Ningekua solskjaer muda kama huu ningejitoa ufahamu nitafute free agent mmoja kati ya hawa watatu
1. Fernando llorente ni mchezaji mzuri kwa akili ya uzoefu pengine hii mipira ambayo inatoka pembeni angeweza kusaidia katika vichwa na finishing na lingine huyu jamaa unaweza kuwasaidia hawa madogo kina greenwood na martial wapate exposure na kujifunza kutoka kwa mzee huyu.
2. Hatem Ben arfa. Mtukutu huyu hakuna timu inamtaka kutokana na tabia zake chafu ila anarekodi nzuri sana uwanjani hasa katika kupandisha mashambulizi ningekua Solskjaer nisingeona aibu kusema namchukua huyu mtu muda huu ambapo sina mtu wa kupeleka mashambulizi mbele kwa kazi potelea mbali nidhamu yake cha muhimu nipate matokeo hadi January nisajili kina Bruno tu
3. Claudio Marchisio babu huyu ni fundi haswa kwa tunaomfahamu ameisha saivi ila msimu uliopita bado niliona ananguvu ya kucheza bado. Naamini akipewa nafasi atatusaidia sana tuondokane na hii aibu iliyombele yetu msimu huu. Marchisio akicheza na Pogba wanaelewana vizuri sana. Pengine hii ni karata ngumu ambayo bado kocha wetu anaweza kujitoa ufahamu nakuicheza.

Bila maamuzi magumu haya basi tutegemee msimu huu tutapigwa hadi tuchakae. Maana sioni hata tukiwa mid table club maana kuna watu wamejipanga kama Leicester ya Rodgers na Everton ya Marco Silva wanatimu Kali kuliko united.
Tufunge tusali maana hichi kikombe ni cha kwetu msimu tutegemee vichapo tu. Na kuotea vibonde kama Chelsea wenye hali mbaya kama sisi.
GGMU
 
Game ya Arsenal na spur imenifanya niwaze timu yangu sana. Yaani sisi msimu huu ndugu yetu ni Chelsea tu maana wote hatujielewi tunafanyaje nn uwanjani.
Pata picha tukikutana na Arsenal au Spurs na hao viungo wao tutapona kweli bado city na liver si tutapigwa hadi tuchakae.
OGS unafanya kazi nzuri ila kuna makosa ambayo yatamtafuna msimu huu wote na pengine yataweza sababisha kibarua chake kuota nyasi kwann Lukaku na Herrera hawajawa replaced hii zaidi ya dhambi na ukatili ametufanyia ss wapenzi wa Mpira na united fans kwa ujumla.

Spurs alipotea katikati
 
Tuanzebe ana uwezo kuliko huyo Rudiger, ana brain ya Lindelof halafu ana pace ya Smalling

Pia ni mzuri kwenye mipira ya, muda sio mrefu Lindelof atakuwa chaguo la 3 kwa mabeki wa kati

Lakini huyo Rudiger namuona ni kama Bailly flani hivi, juhudi nyingi akili chache

Mkuu we ni mwalimu kashasha? 🤣🤣🤣🤣umetisha
 
Spurs alipotea katikati

Sawa alikatika ila unavyoona hao viungo waliokatika wanaweza kuwazidi viungo wa Manutd zaidi ya Pogba tu.
Na spurs amekatika kwa sababu Ndombele hakuwepo Leo. Pata picha jembe lingekuepo hilo Arsenal wasingeelewa kwann katikati mipira haieleweki inapotea tu
 
Willian yupo fit, Kante ameshacheza akaumia tena, Rudiger ni afadhali hata Ninja wa Yanga. Huyo mwingine hata kumtaja jina kupoteza wino wa JF

Kutaja wachezaji ambao hawapo ni style za kizamani

Timu yenu ina wachezaji zaidi ya 23
Sasa mkuu Rudiger nani anamueka bench apo man U? Bissaka na Rudiger wanatofauti gani? Willian nan anamueka benchi kwa sasa apo Man u? Tuache unazi mkuu..

Kila la kheri Chelsea
 
Tukubar kwamba chelsea. Man u na asernal zote ni mbovu kwa sasa sema tukishinda kigemu kimoja wote tujigamba tuko vizur timu zote zinaitaj reform na reshufle ya maana
Apo Chelsea itoe ..sisi ni matatizo madogo madogo tu ya kuweka sawa ..mpka desemba tutaweza kuwa nafasi ya pili au ata kuongoza ligi kabisa..

Kila la kheri Chelsea
 
Angalau arsenal ushambuliz wao
Ni uhakika kupata goli

Jana ukiangalia zile goli za chelsea walizopata utacheka ufe za hovyo hovyo tu timu makini huwez kukutana ule uzembe wa bek

Arsenal mpira wanaocheza una mipango hata goli zao zinaonekana ila manchester united na chelsea ushambuliz na utengenezaj nafas za kufunga hovyo sana
Zile goli za jana ni za uwezo binafsi wa Tammy ..Rashid angeweza kufunga vile??

Kila la kheri Chelsea
 
Mkuu ila Rudiger ni bek mzur kwa timu yetu hamna wa kumuweka bench kile ki lindelof hata nusu ya rudiger hafik achilia mbali ki shaw na young

Timu yetu ina bek wawili tu maguire na bissaka nasubir kumuona tuanzebe akipata natasi waliobaki ni takataka
Angalau umeandika kiuchezaji kabisa.

Kila la kheri Chelsea
 
Wachezaj hapo ni Rudiger na kante waliobak ni uchafu willian zile nywele zinasababisha spid ya mbio kupungua upepo una mvuta ile ni new version ya fellain
Uchafu??? Tukiwapa Willian kwa sasa ivi ci anaingia moja kwa moja first XI ya Ole!! Willian anazeeka na mpira wake, ngoja awe fiti vizuri utaona umuhimu wake..

Kila la kheri Chelsea
 
Tuanzebe ana uwezo kuliko huyo Rudiger, ana brain ya Lindelof halafu ana pace ya Smalling

Pia ni mzuri kwenye mipira ya, muda sio mrefu Lindelof atakuwa chaguo la 3 kwa mabeki wa kati

Lakini huyo Rudiger namuona ni kama Bailly flani hivi, juhudi nyingi akili chache
Hahahaha Tuanzebe bench woma unamfamanisha na beki ambaye anaweza kuwa na namba ya kudumu kwenye club yeyote ile apo England!! Rudiger akija apo OT nani wa kumuweka bench?? Tuanzebe?? hahaha huu sasa ni unazi

Kila la kheri Chelsea
 
Game ya Arsenal na spur imenifanya niwaze timu yangu sana. Yaani sisi msimu huu ndugu yetu ni Chelsea tu maana wote hatujielewi tunafanyaje nn uwanjani.
Pata picha tukikutana na Arsenal au Spurs na hao viungo wao tutapona kweli bado city na liver si tutapigwa hadi tuchakae.
OGS unafanya kazi nzuri ila kuna makosa ambayo yatamtafuna msimu huu wote na pengine yataweza sababisha kibarua chake kuota nyasi kwann Lukaku na Herrera hawajawa replaced hii zaidi ya dhambi na ukatili ametufanyia ss wapenzi wa Mpira na united fans kwa ujumla.
Sisi Chelsea hatuwezi kuwa ndugu zenu maana sisi hatujafanya usajili wowote ule na Bado tuna potential ya kukimbiza tu kuliko ninyi ..

Mkuu unataka kisema usajili wa Bissaka na Maguire tumepigwa
 
Sisi Chelsea hatuwezi kuwa ndugu zenu maana sisi hatujafanya usajili wowote ule na Bado tuna potential ya kukimbiza tu kuliko ninyi ..

Mkuu unataka kisema usajili wa Bissaka na Maguire tumepigwa
Mpaka sasa Sajiri za man u zipo vzr , wawe wavumilivu waendelee kuondoa deadwoods taratibu na kuleta upgrades ,
 
Bolingo
Screenshot_20190902-091541~2.jpeg
 
Back
Top Bottom