MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,106
- 4,618
shutup wewe chakoriiMkuu unaongea kama vile una enjoy anavyofanya, hivi huo anaoufanya ni usumbufu au uwendawazimu
Nakushauri tu, you should distance yourself from these kind of people
shutup wewe chakoriiMkuu unaongea kama vile una enjoy anavyofanya, hivi huo anaoufanya ni usumbufu au uwendawazimu
Nakushauri tu, you should distance yourself from these kind of people
Labda akaunti imekuwa hackedAmevutiwa na kilichoandikwa na ameona huo ushaur upo na uhai hiv, ka"like" akiwa na akil timamu mana kafungua comments acheki watu wanasemaje kuhus tim.
Word bruv!People tupo kwenye reform ya timu..hatuna kikosi kipana..wachezaji waliopo ni wakawaida so tunahitaji muda kutengeneza timu..
tumpe kocha muda..
People tupo kwenye reform ya timu..hatuna kikosi kipana..wachezaji waliopo ni wakawaida so tunahitaji muda kutengeneza timu..
tumpe kocha muda..




Spurs anakunyoa kule ..wee Cheka tu apa ..kama ukishindwa kumfunga spurs Shelfied United sidhani kama utaweza kwakweliHahahhaha Leo hajamalizia .....



Kwenye gemu nne Tammy ana goli Nne ..Rashid ana goli ngapi?? Tuanzie apoAmepanic, akasahau
Anawaza timu ambazo ulimwambia anaweza kuchukua points 6, ameambulia points 4
Je kwenye zile ulizomwambia atakula kichapo itakuaje![]()






Tunawasumbua kumbeWanaotusumbua humu ni Ollachuga, Penison, Southern....., sometime Aaron, na wewe kiaina na wengine
Sidhani kama hao niliowataja wapo kundi moja na huyo jamaa







Tafuta Jukwaa la Tammy Abraham na RashfordKwenye gemu nne Tammy ana goli Nne ..Rashid ana goli ngapi?? Tuanzie apo
Kila la kheri Chelsea![]()
Willian yupo fit, Kante ameshacheza akaumia tena, Rudiger ni afadhali hata Ninja wa Yanga. Huyo mwingine hata kumtaja jina kupoteza wino wa JFTunawasumbua kumbe
Sasa ngoja Rudger,Cheek,Kante na Willian warudi ..itabidi lile jukwaa la Chelsea liamie uku...
Uyo jamaa ni mpumbavu mmoja ivi awezi kuwa kundi moja na sisi wasumbufu![]()
Game ijayo unacheza na Leicester ... mamamae!![]()
Tukubar kwamba chelsea. Man u na asernal zote ni mbovu kwa sasa sema tukishinda kigemu kimoja wote tujigamba tuko vizur timu zote zinaitaj reform na reshufle ya maana
Willian yupo fit, Kante ameshacheza akaumia tena, Rudiger ni afadhali hata Ninja wa Yanga. Huyo mwingine hata kumtaja jina kupoteza wino wa JF
Kutaja wachezaji ambao hawapo ni style za kizamani
Timu yenu ina wachezaji zaidi ya 23
Tunawasumbua kumbe
Sasa ngoja Rudger,Cheek,Kante na Willian warudi ..itabidi lile jukwaa la Chelsea liamie uku...
Uyo jamaa ni mpumbavu mmoja ivi awezi kuwa kundi moja na sisi wasumbufu![]()
Tuanzebe ana uwezo kuliko huyo Rudiger, ana brain ya Lindelof halafu ana pace ya SmallingMkuu ila Rudiger ni bek mzur kwa timu yetu hamna wa kumuweka bench kile ki lindelof hata nusu ya rudiger hafik achilia mbali ki shaw na young
Timu yetu ina bek wawili tu maguire na bissaka nasubir kumuona tuanzebe akipata natasi waliobaki ni takataka
Tuanzebe pia mzuri kwenye mipira ya juuTuanzebe ana uwezo kuliko huyo Rudiger, ana brain ya Lindelof halafu ana pace ya Smalling
Pia ni mzuri kwenye mipira ya, muda sio mrefu Lindelof atakuwa chaguo la 3 kwa mabeki wa kati
Lakini huyo Rudiger namuona ni kama Bailly flani hivi, juhudi nyingi akili chache