Apo sawa lakini ukweli ni kwamba Chelsea tuna vijana ambao wanaingia moja kwa moja tena bila kupingwa kwenye first XI ya Ole ...
Mcheki Mount, ata Rashid anapigwa bench apa jpo yeye ana uzoefu na ligi.
Mcheki Kova apo ata Pogba anaeza pigwa benchi.
Mcheki Tammy ..Marshal apa anaeza kaa bench
Kwa upande Beki muko vizuri ..ila Magwaya anakalishwa vizuri tu na Zouma

Apo kati ndo usiseme Joghihno, Kante nani wa kuwaweka benchi apo Man u? Jibu ni hatuna..
Kepa anaeza mkompiti vizuri tu De gea na soon anachukua kipa namba moja Uspain..
Kila la kheri Chelsea

