SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
Mamamae! Unaanzaje kuchukua EPL kwa mtindo huo...[emoji23] [emoji23] wachezaji kama YoungHuku ukimwangalia mwenzio akitoka mahrez anaingia bernado, akitoka sane anaingia silva,akichungulia bench unamwona aguero,fernadinho daaaaa[emoji23][emoji23]