Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huku ukimwangalia mwenzio akitoka mahrez anaingia bernado, akitoka sane anaingia silva,akichungulia bench unamwona aguero,fernadinho daaaaa[emoji23][emoji23]
Mamamae! Unaanzaje kuchukua EPL kwa mtindo huo...[emoji23] [emoji23] wachezaji kama Young
 
Hii sio draw kweli ? Maana hawa madogo wa London huwa wahuni sana hawa. [emoji87]
 
Man ni uchafu. Mbele ni upuuzi mtupu mipira inafikishwa mbele lakini wachezaj wa mbele wote ni so average. Hutushindi chochote na forward line kama hii.
Pogba anapoteza mipira mnoo
wan bissaka wanamchosha mtoto wa watu
Wan Bissaka ni kifaa asee... unaona kabisa kazi yake. Ila sasa huko mbele kwa hao watoto... very basic... average tupu! Pogba naye hajastep up!
 
Back
Top Bottom