Huku akifundisha timu ambazo hata yeye asingekuwepo Zina uwezo wa kuchukua ubingwa.

Mfano niambie Kuna wonders ngapi pep anaefanya kwa kuipa timu ubingwa ama ku improve kitu Fulani ambacho mwanzo watu waliona Kama Ni impossible. Mfano nakupa

-Sir Alex Ferguson aliipa ubingwa wa ulaya Aberdeen ambayo huko Scotland kwenyewe Ni kibonde, akizifunga timu Kama Madrid na Bayern.

-Lvg Akiipa Ajax ubingwa wa ulaya mara mbili na Vitoto vyake.
-Lvg huyo huyo akaondoa Ubabe wa kina Ajax, psv na Faynoord kwa kuipa ubingwa Az Alkmaar ambayo hata hawakuwa favourite.

-Mou kuipa Ubingwa wa ulaya Porto.
-Mou huyo huyo kuwapa ubingwa Chelsea (japo nae Hapa alispend vya kutosha)

-Ranieri na Leicester yake

-klop na ligi ya ujerumani alipokuwa Borussia

In short mkuu with evidence naweza kupa toka pep aje Man city hajawahi kupanga watoto/Team B asifungwe, Ashajaribu Sana Uefa ama Fa/Efl akipanga tu watoto anafungwa. Hii inaonesha kabisa philosophy zake zinahitaji world class players na sio kocha mzuri Kama watu wanavyomnadi.
Kikubwa cha ajabu alichofanya Pep ni kuleta Dominance kama ya PSG au Bayern au Juventus ligi kuu ya Uingereza kitu ambacho Fergie alishindwa maana mara ya kwanza alikutana na upinzani wa Wenger kisha wakaja Chelsea

Mourinho ni kocha bora wa pili duniani baada ya Pep ila ni kocha mwenye mpira mbovu usiovutia. Na Pep kuchukua UCL na Man City sio kitu kikubwa ambapo naimani sio muda tutashuhudia Manchester city chini ya Pep wakichua Ubingwa wa UEFA
 
Kikubwa cha ajabu alichofanya Pep ni kuleta Dominance kama ya PSG au Bayern au Juventus ligi kuu ya Uingereza kitu ambacho Fergie alishindwa maana mara ya kwanza alikutana na upinzani wa Wenger kisha wakaja Chelsea

Mourinho ni kocha bora wa pili duniani baada ya Pep ila ni kocha mwenye mpira mbovu usiovutia. Na Pep kuchukua UCL na Man City sio kitu kikubwa ambapo naimani sio muda tutashuhudia Manchester city chini ya Pep wakichua Ubingwa wa UEFA
Mkuu unaposema dominance ambayo hata fergie alishindwa cjaelewa ipo katka misingi ipi, kwa sababu man city epl kachukua mara mbili mfulurizo ila fergie alisha chukua mara tatu mfulurizo twice.
Sasa cijaelewa mbili inakuwaje dominance afu tatu isiwe.
 
LIVERPOOLMAN UNITED
Ligi 18
UCL 6
UEL 3
U Super Cup 4
Club World Cup 0
FA 7
Carabao 8
Ligi 20
UCL 3
UEL 1
U Super Cup 1
Club World Cup 1
FA 12
Carabao 5
JUMLA 46JUMLA 43
Ngao 16Ngao 21
Jumla ya Makombe + Ngao 62Jumla ya Makombe + Ngao 64

Nimeweka Mchanganuo Kama Nimekosea Naomba usinishambulie bali unisahihishe.

Nadhani aliposema kuwa 'Liverpool ni Most successful Club in England' itakuwa hajakosea interm of Makombe coz Liverpool ndiyo timu yenye Makombe mengi kuliko timu yoyote ya Kiengereza akiwa na Jumla ya Makombe 46 dhidi ya 43 ya Man United.

Lakini tukija mpaka kuhesabu Ngao za hisani basi Manchester United ndiyo timu yenye Trophies nyingi kuliko timu yoyote ya Kiengereza kwasababu inabebwa na Ngao 21.

Lakini kuhusu hayo Makombe 66 uliyoweka hapo Mkuu Naomba ufafanuzi ni Makombe gani labda? Au umechanganya na Yale muliyobeba preseason?

Google sometimes ina mislead

Natanguliza shukurani,

Yours sincerely,
King Ngwaba
Kama tunaamini Google tunapo search the fifth term president of Republic of Tanzania is John Pombe Magufuli


Tuiamini Google hivyo hivyo inapotupa data ambazo hatupendezwi nazo

Nimeangalia vilabu vyenye mafanikio makubwa Ulaya kwa kushinda trophies nimekutana na Barca - 89, Real Madrid - 86, Bayern Munchen - 69 na Man Utd - 66

Sasa sijui bwana Mkubwa Mfalme wewe source yako ya info ni ipi
Screenshot_20190822-194636.jpeg
 
Man City huyu alikuwa na uwezo wa kuchukua ubingwa kibabe kwa gap la Points 19 kama 2017/2018 bila ya Pep?

Na Pep anakuja kuvunja rekodi ya Ferguson ya treble ya EPL maana sioni wa kumzuia asichukue EPL ya 2019/2020

Siipendi Man City ila Pep ni kocha mwenye mafanikio na anaejua Ukocha pengine kuliko Kocha yeyote duniani

UEFA na Bayern alikuwa anaishia nusu fainali na ndio Club pekee aliyotoka baada ya kuachana na Barca

Mnapotaka kusema Ferguson ni bora kuliko Pep kwa kigezo cha Aberdeen mnasahau kwamba Ferguson amepoteza fainali mbili za UEFA zote na tena kwa mtu huyo huyo ambae ni Pep

Kama anabebwa na ubora wa Wachezaji mbona Valverde ameshindwa akiwa na Messi yule yule? Kuhusu kutumia pesa Man Utd muda wote ilikuwa na uwezo mkubwa kipesa kuliko Club zote ambazo Pep amefundisha na anafundisha sasa lipi ni lipi hapo?
Mkuu kwani kuchukua kombe mara 3 mfululizo unadhani amefanya SAF tu, zimefanya timu nyingi pale uingereza akina Arsenal wote wamefanya hivyo. Kwa hiyo hata Pep akichukua kombe la tatu hatavunja record yoyote

Record ya SAF iliyompa jina la Sir ambayo haijavunjwa ni ya treble yenye champions League ambapo Pep pamoja na oil money hatakuja kamwe kuivunja
 
Kama anabebwa na Pesa basi mnajitukana wenyewe sababu Club yenu ina pesa kuliko Barca, Bayern,Manchester city Club ambazo Pep amefundisha

Kwenye pesa mnanajifunga wenyewe sababu Club zote alizofundisha Pep zimezidiwa uwezo mbali tu na Manchester United

Mwenzenu pesa ndogo kulikoni nyie ila ubingwa lazima kama kanuni ila cha ajabu nyie naaminj mtaenda miaka kumi au zaidi bila ubingwa wakati muda wote huo nyie duniani mnacheza nafasi ya kwanza mkishuka sana nafasi ya tatu kimapato duniani huku domestically kimapato hamna mpinzani pale Uingereza
Unaweza ukawa na hela lakini ukawa nati

Timu zinazofundishwa na Pep zina willingness ya ku spend japo nazo zina hela ya kutosha

Hujawahi kuona baba Tajiri lakini watoto wanavaa nguo za ajabu ukilinganisha na watoto wa baba mwenye uchumi wa kati au wanasoma shule za Kayumba wakati baba mwenye uchumi mdogo anapeleka mtoto shule nzuri?
 
Wakuu kuna wachangiaji hawana staha humu

MKUYENGE
Musamila
Steve Mollel

Mbona tuna mashabiki wengine wa Liverpool, Chelsea, Arsenal

Wana staha tu! Mwangalie Ollachuga OC kabadilika anachangia kistaha na AARON naye yupo vizuri.

King Ngwaba, Don....

Wanachangia vizuri tu.



Hawa jamaa!

MKUYENGE
Musamila
SteveMollel

Tunaomba mjiheshimu na mtambue mna wakubwa wenu humu maana watu kunzisha uzi 2007 inaonyesha ni wakubwa. Kuweni na staha.
 
Kikubwa cha ajabu alichofanya Pep ni kuleta Dominance kama ya PSG au Bayern au Juventus ligi kuu ya Uingereza kitu ambacho Fergie alishindwa maana mara ya kwanza alikutana na upinzani wa Wenger kisha wakaja Chelsea

Mourinho ni kocha bora wa pili duniani baada ya Pep ila ni kocha mwenye mpira mbovu usiovutia. Na Pep kuchukua UCL na Man City sio kitu kikubwa ambapo naimani sio muda tutashuhudia Manchester city chini ya Pep wakichua Ubingwa wa UEFA
Pep ameleta dominance Uingereza kwa kuchukua kombe kwa kuizidi Liverpool point 1

PSG amechukua kombe mara 7/8 mfululizo, Juventus mwaka wa 7 mfululizo, Bayern naye miaka zaidi ya 6 halafu ufananishe na ligi ya Uingereza

Mzee acha kutulisha matango pori
 
Mkuu unaposema dominance ambayo hata fergie alishindwa cjaelewa ipo katka misingi ipi, kwa sababu man city epl kachukua mara mbili mfulurizo ila fergie alisha chukua mara tatu mfulurizo twice.
Sasa cijaelewa mbili inakuwaje dominance afu tatu isiwe.
The asker umemu ask vizuri sana huyo jamaa
 
Kama tunaamini Google tunapo search the fifth term president of Republic of Tanzania is John Pombe Magufuli


Tuiamini Google hivyo hivyo inapotupa data ambazo hatupendezwi nazo

Nimeangalia vilabu vyenye mafanikio makubwa Ulaya kwa kushinda trophies nimekutana na Barca - 89, Real Madrid - 86, Bayern Munchen - 69 na Man Utd - 66

Sasa sijui bwana Mkubwa Mfalme wewe source yako ya info ni ipiView attachment 1187782

Sijasema siiamini Google bali nimesema 'Sometimes ina mislead'

Halafu mimi sihitaji source kwa kitu ninachokijua.

Huo mchanganuo niliouweka basi Niko tayari kubishana na Tecknolojia yeyote itakayosema kinyume na hivyo hata kama tecknolojia haisemi uongo lakini hapo itakuwa imedabganya.

Halafu unaposema nikupe source hapo nikuelewe vipi wakati nilichoweka ndiyo uhalisia?

Weka hesabu yako hapo tupate hiyo 66.

Mimi nimeweka FACTS za kimahesabu (Namba hazidanganyi)! Sasa Facts Hupingwa kwa Facts.

Weka hesabu yako ya Makombe aliyonayo Man United hapa ili tujie What is right.

1) Ligi ?
2) CL ?
3) EL ?
4) CWC ?
5) SC ?
6) FA ?
7) Carabao ?

Ikitokea tofauti na niliyoweka mimi basi Nakuahidi kujipiga Ban ya Maisha.

Sihitaji Google kwa kitu ninachokijua.

On Google muna Makombe 66, lakini ukiyahesabu hayafiki. Unajua kwanini? Hizo blog unazogoogle zimechanganya Mpaka Yale Makombe ya Asia na Marekani ya preseason.

Nimekupa Namba (Mchanganuo) Naomba unipinge kwa Namba (Mchanganuo).
 
Alivyokuwa nayo saba sasa hivi ana mangapi na Manchester ana mangapi in total? Au umehisi tu kubwabwaja?

Liverpool ndo timu yenye makombe mengi Uingereza yote immediately baada ya kuwa crowned Super Cup!

Mzee heshimu watu hapa, usiniambie nabwabwaja dogo

Back to the topic, mimi nina source nyingi na nimeweka hapa machapisho, wewe source yako nini
 
Li
Pep ameleta dominance Uingereza kwa kuchukua kombe kwa kuizidi Liverpool point 1

PSG amechukua kombe mara 7/8 mfululizo, Juventus mwaka wa 7 mfululizo, Bayern naye miaka zaidi ya 6 halafu ufananishe na ligi ya Uingereza

Mzee acha kutulisha matango pori
ligi yenye competition ndio nzr mkuu sio spain,italy au wapi
 
Steve na wenzake ndio wale ikicheza man utd: na timu zao zikiwa zinacheza na vijitimu vingine, hawaangalii timu zao.

Hawa jamaa ni wengi sana wanaitazama man utd. Tafsiri ni kwamba man utd inawashabiki wengi sana duniani...

Hawa wanaifanya timu yetu ionekane inatazamwa na watu wengi sana ulimwenguni. kwa kifupi ni timu yenye mvuto mkubwa sana. Ikicheza aseno na lescister na huku man utd na everton wataacha zao watakuja kutazama nasi, sisi tunasema karibuni lkn kiweni na staha

man utd ingekuwa na mchezaji kama mess, neymar nk wakali wengine wale wanauza sana, makampuni kama Adidas nk yanaipenda timu hii kwenye eneo la biashara.

Sasa basi, wakija kwenye jukwaa letu, badala ya kuwa royal wanajifanya wajuaji na kulazimisha mambo. Badilikeni wakuu huu ni ushabiki tu.
 
Man City huyu alikuwa na uwezo wa kuchukua ubingwa kibabe kwa gap la Points 19 kama 2017/2018 bila ya Pep?

Na Pep anakuja kuvunja rekodi ya Ferguson ya treble ya EPL maana sioni wa kumzuia asichukue EPL ya 2019/2020

Siipendi Man City ila Pep ni kocha mwenye mafanikio na anaejua Ukocha pengine kuliko Kocha yeyote duniani

UEFA na Bayern alikuwa anaishia nusu fainali na ndio Club pekee aliyotoka baada ya kuachana na Barca

Mnapotaka kusema Ferguson ni bora kuliko Pep kwa kigezo cha Aberdeen mnasahau kwamba Ferguson amepoteza fainali mbili za UEFA zote na tena kwa mtu huyo huyo ambae ni Pep

Kama anabebwa na ubora wa Wachezaji mbona Valverde ameshindwa akiwa na Messi yule yule? Kuhusu kutumia pesa Man Utd muda wote ilikuwa na uwezo mkubwa kipesa kuliko Club zote ambazo Pep amefundisha na anafundisha sasa lipi ni lipi hapo?
Mkuu pep anaenda Bayern ndani ya miaka 4 wameingia fainali 3 za Uefa, kaingia fainali na Inter 2010, fainali na Chelsea 2012 mpaka kuja kuchukua na Dortmund, je kwa timu ilioingia fainali 3 ndani ya miaka 4 kuifikisha nusu fainali Ni Mafanikio?

Hapo man city kwenyewe pelegrini kaifikisha nusu fainali ya champions league Pep ameshindwa mpaka leo.

Na ubingwa wa ligi hata Kama angechukua na point trilioni 1 still ni ubingwa, hio Ni Kama sukari tu juu ya keki, na Fergie mara kibao alikuwa na uwezo wa kuvunja rekodi ya point, tumewahi pia kuchukua ubingwa unbeaten man U Kama kumbukumbu zangu zipo sahihi, Ila kawaida ya Fergie akishachukua ubingwa anapanga watoto wa academy mpaka league iishe. Unakuta watoto ndio wanaanza kutoa draw ama kufungwa.

Hapo Barcelona velverde Hana kina xavi na Iniesta Ila nikukumbushe Karibia rekodi zote za Pep kazivunja Enrique kipindi Cha MSN (Messi/suarez/Neymar) kuanzia magoli, ubingwa wa Uefa, Ligi etc) je na Enrique nae Ni kocha Bora zaidi kupata kutokea?

Na Hapa mkuu hatuongelei kupoteza mechi, pep alipigwa 7 na Bayern siwezi tumia hio mechi kumshusha na kusema Ni kocha mbaya, Ila Hapa tunaongelea ili uwe regarded best ever coach unahitaji kufanya extra ordinary things, vitu ambavyo watu walidhani haviwezekani,

Mfano Pep leo hii akiwapa man City Uefa, Atakuwa ameingia kwenye list ya makocha Bora zaidi sababu Atakuwa amefanya Jambo ambalo makocha wote waliokuja city wameshindwa na atapewa status ya ulegend pale.
 
Mzee heshimu watu hapa, usiniambie nabwabwaja dogo

Back to the topic, mimi nina source nyingi na nimeweka hapa machapisho, wewe source yako nini
Ungeanza kuwa na heshima usingevunjiwa heshima pia. Unaleta sources outdated then wataka ziwe valued. Ina maana hapo kwenye post yangu huoni link?
 
Kama tunaamini Google tunapo search the fifth term president of Republic of Tanzania is John Pombe Magufuli


Tuiamini Google hivyo hivyo inapotupa data ambazo hatupendezwi nazo

Nimeangalia vilabu vyenye mafanikio makubwa Ulaya kwa kushinda trophies nimekutana na Barca - 89, Real Madrid - 86, Bayern Munchen - 69 na Man Utd - 66

Sasa sijui bwana Mkubwa Mfalme wewe source yako ya info ni ipiView attachment 1187782
Weka idadi kamili ya kila kombe hapa!
Wewe umeenda kubeba articles bila hata kuangalia imepublishiwa lini...
 
Kikubwa cha ajabu alichofanya Pep ni kuleta Dominance kama ya PSG au Bayern au Juventus ligi kuu ya Uingereza kitu ambacho Fergie alishindwa maana mara ya kwanza alikutana na upinzani wa Wenger kisha wakaja Chelsea

Mourinho ni kocha bora wa pili duniani baada ya Pep ila ni kocha mwenye mpira mbovu usiovutia. Na Pep kuchukua UCL na Man City sio kitu kikubwa ambapo naimani sio muda tutashuhudia Manchester city chini ya Pep wakichua Ubingwa wa UEFA
Mkuu akiipa Uefa then Mimi nitakubali Ni katika makocha Bora zaidi, Ila tusubiri kwanza sababu bado hajaipa.
 
Back
Top Bottom