StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 5,623
- 5,902
Fergie atabaki kuwa fergie tu.Nidhamu kwanza
Mimi kwa madudu ya Pogba nitaendelea kumlaumu Ole, Aguero mchezaji mkubwa na bora pale City juzi tumeona anakoromewa na kutolewa kwa kutokukaba. Ole yupo anaendelea 'kuchua' kiburi cha Pogba.
Kama kocha anasema penalty zipigwe na Rashford si dharau yeye kwenda kuomba kupiga?
Ole alitakiwa kujenga nidhamu kwanza katika timu ndio mengine yafuate.
Apa ndo ulipokosea mkuu, bora ungeandika mnafungwa..Gemu tunashinda hii
Cha kukusaidia hapo "" kwamba mkono ulizidi Wakati anatoa pasi ya goli""Mechi ya leo tumecheza vizuri
Tumetengeneza nafasi za kutosha japo tumeshindwa kuzitumia
Naona United iliyoboreka ukilinganisha na ile iliyopigwa na Wolves msimu uliopita
Bado sijaelewa kazi ya VAR, mchezaji wa Wolves alizidi mkono wakati anatoa pasi ya goli
Kukosa penati ni jambo linalovumilika kwa mchezaji katika soka, swali ni je Pogba ameng'ang'ania kupiga penati wakati si mteule wa kocha au?
Hapa naona vidudu mtu wengi wanazengea zengea, lakini amini nakwambia katika big six timu itakayochukua pointi angalau 1 nyumbani kwa Wolves basi hao ni wanaume
By the way, Uwanja uliinama
GGM
Kama sababu ni kukaba,si angechezeshwa namba 6,hahahaNamba kumi wa ovyo mwenye bahati kuchezea united eti anapendwa kisa tu anakaba sana...hahahaha
Hata kama tukifungwa mia..lukaku hakuwa mtu sahihi kubaki MAN U..ni bora alivyouzwa.Kuna mtu alinibishia sana kwamba lukaku kuuzwa ni sahihi nafikir kajionea leo
Martial hawez kuwa striker bado anasumbuka kucontrol mpira anapoteza hovyo mipira ni bora kubak na lukaku anaweza kukupa msaada mipira ya vichwa kuliko kubak na mtu wa kudrible
labda juu mbinguniMzaha mzaha tu,ushindi wa leo unatupeleka juu ya msimamo wa ligi kuu ya England.
Mechi ya leo tumecheza vizuri
Tumetengeneza nafasi za kutosha japo tumeshindwa kuzitumia
Naona United iliyoboreka ukilinganisha na ile iliyopigwa na Wolves msimu uliopita
Bado sijaelewa kazi ya VAR, mchezaji wa Wolves alizidi mkono wakati anatoa pasi ya goli
Kukosa penati ni jambo linalovumilika kwa mchezaji katika soka, swali ni je Pogba ameng'ang'ania kupiga penati wakati si mteule wa kocha au?
Hapa naona vidudu mtu wengi wanazengea zengea, lakini amini nakwambia katika big six timu itakayochukua pointi angalau 1 nyumbani kwa Wolves basi hao ni wanaume
By the way, Uwanja uliinama
GGM
Nawakumbusha tuu wolves hawajapiga shut hata moja golini yan kwa kifup de gea ameungana na sisi kuiangalia united ikicheza
sawa nabiiWaambieni..., beki imeimarika, points 3 tunachukua, udambwi udambwi upo na vipofu wanaona tena..
Kisha huyo akapita katikati yao akielekea mlimani
Still lingard is worse kulingana na options zilizo kwenye soko.Kazi yake ni kuongeza spidi ya kushambulia.Huyo makocha wote waliotangulia lazima wamuanzishe Van gaal,Mourinho n.k.Siyo wa kumbeza hata kidogo labda kwa wewe unayeangali sijui kutuliza sijui bla bla gani ila anawekwa kwa mkakati huo kwanza mengine baadae.Mcheki akipata mpira jinsi anavyoukokota fasta kuelekea lango la wapinzani.Hata mimi kabla nilikuwa bambeza ila baadae nikagundua kazi yake ni ya kipekee sana nikapiga zangu kimya.
Hata Arsenal wanatushinda kwenye striking force.Tatizo striker solskjaer alibugi hapo kupata natural striker ngumu sana
Hatukubahatisha.Ile game na chelsea mpaka nahisi tulibahatisha aiseee..defense iko poa ila oale mbele na kati kati aisee majanga siku tukikutana na city sijui itakuaje
Umegusa sehemu zote muhimu.Binafsi nina machache ya kuzungumza..
1.Sikubaliani na Kocha kumchezesha Martial kama striker..jamaa hajitumi vya kutosha..out of 3 open chances huwa anafunga moja..au asifunge kabisa! He's not good enough kumuamini..ni mara mia Rashford acheze pale mbele.!
2.Lingard hamna kitu pale kabisa!! Sijajua kwann mpk leo anacheza zaidi ya dk 70.
Adreas pereira ni bora kuliko yeye..maana hata kwny ggame ya Chelsea alitoa assist moja nzuri..huyu lingard dahh!! Hamna kitu.
3.Kocha amrudishe Daniel James kwenye position yake(hii ni mara ya tatu nasema)..dogo hayupo comfortable kwenye RW..hata yeye alishaaema amezoea kucheza LW!
4.Back 4 yetu iko vizuri pia DeGea yuko poa..sina shida nao.
5.Wakati umefika ss FRED arudi kikosini..tuone uwezo wake msimu huu..maana Scot anajitahidi ila hes not YET good enough to create a good partnership with POGBA.
6.Kuhusu pogba kukosa penalt;Takwimu zinasema Pogba ndo mchezaji aliyekosa penalties nyingi(4) tangu msimu uliopita uanze...je wakuu mnahisi ni wakati muafaka kumtumia Rashford kupiga penalt!?cuz sijawahi kuona akikosa so far..
Mwisho; Wolves ni wagumu sana wakiwa kwao..tumejitahidi kuoata point moja BUT we DESERVED MORE!! we deserved all 3 points basi tu Attackers wetu hawakuwa makini..
GGMU GGMU
Sorry never too late