Kiujumla Rashford haja prove kuwa ni striker mzuri sana, ila kusema kwamba hawezi kufikisha goli 15 kwenye mechi zaidi ya 40 ni kumtukana

Elewa kwamba msimu huu atakuwa na game time kubwa sana tofauti na wakati ule yeye alikuwa kama back ya Lukaku

Lakini pia, he is just 21,kwahiyo anaweza kubadilika na kuwa goal scorer mzuri tu

Kwa wanaomjua Sterling wa Liverpool au yule wa msimu wa kwanza pale Man City watakubaliana na mimi kuwa alikuwa anapoteza nafasi nyingi sana za kufunga lakini kwa sasa ni moto wa kuotea mbali
Apo sasa inategemeana na kocha ..Rashid akitua kwenye mikono ya mtu kama Pep au Conte anaenza kuwa bora zaid..
 
Vituko anavyofanya Pogba unatamani hata auzwe tu timu ibaki na wachezaji wanaotamani kuwa pale.

Kiufupi Pogba analazimishwa kuwa pale tu,moyo wake haupo pale.

Timu yetu ni mbovu kwasababu iliona kabisa Pogba akili yake haipo pale lakini ikaacha kununua viungo watakaoweza kusimama Pogba atakapoleta mbwembwe.
Kulitakiwa kuwe na plan ya kuachana na Pogba toka msimu ulivyoisha.

Sasa hivi kwa viungo tulivyo navyo, hakuna replacement ya Pogba any soon.

Tatizo litakuwa na Ed ambaye anawaza faida ya kuwa na Pogba nje ya uwanja.
 
Kuna wakati naona bora asiuzwe (angalau kwa msimu huu) ili apate maumivu ya kucheza timu anaidhalikisha

He should be punished some how for the way he is treating United
Does he even care?

Bank account inasoma, anapata frequency ya kucheza kila week, endorsement nyingine zipo vizuri.
 
Mkuu hii timu ya Man united sio timu ya kuwa stable(nadhani utanielewa kwa apa) kwa msimu mzima, mimi naona kwa jins Rashid anavyocheza kufikisha goli 15 pekee itakuwa kazi sana ...siongei kiushabiki mkuu ..Rashid sio faita, labda itoke tu game imemkubali kama ile dhid ya Chelsea..
Rashford sio fighter? Unazungumzia mchezo gani mzee au golf hahahahahahaha rashford ana workrate kubwa sana
 
Kuna mkuu hapo anasema Maguire ni mzito hahahah mkuu Maguire sio mzito Kama ambavyo wachambuzi wanatuaminisha ...... Maguire ni mrefu sana so anavyokimbia simple vile anaonekana mzito ila hatua zake sio poa...same to pogba angaliaga pogba akiwa anakimbia anaonekana kama anajog tu ila kumfikia inakuwa kazi ngumu.....

Issue ya pogba Wakuu sijui tunalalamika nini aiseh...kama Pogba anafanya hayo yote na kisha kuendelea kutoa assist na kufunga magoli kadhaa sidhani kama kuna shida.... Maana hata Rooney aliwahi omba kwenda Chelsea so it's only about mimd games anazofanya ili apewe mshahara tu nothing else
Ishu ya Rooney ilikuwa ni mshahara na alikuwa clear ktk hilo. Huyu haeleweki anataka nini na mambo yake yanaweza kufanya morali ya wachezaji wengine kushuka au kugawa timu kutokana na mtu mmoja anayetaka kuwa juu ya timu.
 
Nimesikia huku vijiweni kuwa Sanchez anahitajika na Inter Milan. Nilichogundua Inter wanafanya kazi kubwa sana kuinoa Man United na kuifanya iwe imara zaidi kuliko hata Ed Woodward.
 
Mkuu hii timu ya Man united sio timu ya kuwa stable(nadhani utanielewa kwa apa) kwa msimu mzima, mimi naona kwa jins Rashid anavyocheza kufikisha goli 15 pekee itakuwa kazi sana ...siongei kiushabiki mkuu ..Rashid sio faita, labda itoke tu game imemkubali kama ile dhid ya Chelsea..
Rashford Na lingard wana work rate ya juu ndani ya kikosi cha Man U japo wana upungufu wao pia
 
Rashford sio fighter? Unazungumzia mchezo gani mzee au golf hahahahahahaha rashford ana workrate kubwa sana
Mkuu amini nakuambia na wewe ni shahidi, Rashid anakuwa bora pale game inapokuwa upande wenu ..game ikiwakataa basi Rashid uoni kitu anafanya ..labda bdo ni kijana mdogo kadiri anavyokuwa atakuwa bora ..ila akina CR7, Messi walianzia kwa umri huo wa 21,20..
 
Rashford Na lingard wana work rate ya juu ndani ya kikosi cha Man U japo wana upungufu wao pia
Me naona uhalisia wa uwanjani ndo bora zaid, izo stats hazileti matokeo yeyote zinabak tu kuwa ni takwimu ...Rashid na Lingard sio straika za kutegemea kuleta kombe lolote lile ..labda baad ta misimu miwil/mitatu kupita..
 
Hahahaha kiungo Matic mzee, Pogba Tuma maji leo Yuko vzuri kesho anazingua, kwa Beki man u mko vizuri sana ila magwaya sio mpambanaji(sio wa kuaminiwa) ila mbele ndo kabisa hauna kitu ..Rashid akifikisha goli 15 msimu huu SITAINGIA KWENYE HUU UZI MPAKA MSIMU UNAISHA. lingard ndo kabisa ..ata Tammy akitulia vizuri anaeza kuja mkimbiza ..uyo masho hana tofauti na pogba, wote Tuma maji tu ..

Kiufupi hii man u mutakimbiza kama gemu tisa/kumi hiv baada ya hapo munajua nini kitatokea..
Hii comment yako nahifadhi
 
Mkuu amini nakuambia na wewe ni shahidi, Rashid anakuwa bora pale game inapokuwa upande wenu ..game ikiwakataa basi Rashid uoni kitu anafanya ..labda bdo ni kijana mdogo kadiri anavyokuwa atakuwa bora ..ila akina CR7, Messi walianzia kwa umri huo wa 21,20..
Kuna siku huwa una point na hoja kabisa
 
Back
Top Bottom