Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Mkuu unasubiri mechi ya 5 ipi? Mbona ameonesha uwezo wake katika mechi zaidi ya 100,akiwa Shefield, Hull, Leicester, Three Lions na sasa United?Namzungumizia nilivyomuona ktk ile mechi ,hizi statistics zitawaponzen, maana kwa statistics mustafi anakimbizanaga na kina vvd lkn ndio beki mbovu na aliyetemwa pale arsenal msimu huu, sasa ww kimbilia statistics wakati wahafidhina tunaangalia movement n.k ,Maguire ni mzito ,hiyo weakness yake ndio inanipa wasiwasi , subir baada ya mech 5 tu , nitakupa tathmin fupi.