barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Ukweli ni chelsea walikatika dk 20 mkazitumia. Waliwatawala sana, kazi bado mnayo kwa kikosi hiki...Matokeo mazuri.
Ila midfield ifanyiwe kazi zaidi.
Forward iwe na uchu wa magoli.
Huyu Chelsea angekula hata 6.

