Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lingard
Atolewe hana analofanya uwanjan


Rashford pia hana analofanya Uwanjani ...
 
Magwaya na Bissaka watafanya nini leo mbele ya Barkley, Pulisic na Tammy?? Hahaha achilia mbali Geroud, Pedero, na Willian ..hii manure naona kabisa itaoga goli nying sana.

Ktk mech ya leo hao ndio wachezaji bora uwanjani pogba,perrera,scott na lingard wanaongeza idadi ya watu uwanjani msaada wao haupo labda tusubir kipind cha pili
 
Lukaku hata angebaki still angeendelea kuwa back up ya Rashford so kimpira hili ni tusi ila kiuhalisia hakuna kinachoshindikana

Romario to Ronaldinho..............Scolali
Ronaldinho to Messi...................Pep
Nestlerooy to Ronaldo/Rooney........SAF
Lukaku to Rashford up next.........Solksjær

Sioni anachofanya rashford ukiacha penat aliyopiga timu bado haina striker rashford hawez kumuweka bench lukaku ila kwa mapenz ya kishabik utaongea hivyo
 
Sioni anachofanya rashford ukiacha penat aliyopiga timu bado haina striker rashford hawez kumuweka bench lukaku ila kwa mapenz ya kishabik utaongea hivyo

Yeye na mwenzie Tony martial kama wapo kwenye mazoezi nachukia Mshambuliaji umeguswa kidogo Mguu, hujaumia mpira upo kwenye position yako unamwita refa na kuacha Mpira
 
IMG_20190811_193234.jpeg
IMG_20190811_193141.jpeg
IMG_20190811_193113.jpeg
IMG_20190811_193032.jpeg
 
Back
Top Bottom