Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,561
- 21,511
Lingard
Atolewe hana analofanya uwanjan
Rashford pia hana analofanya Uwanjani ...
Atolewe hana analofanya uwanjan
Rashford pia hana analofanya Uwanjani ...
Magwaya na Bissaka watafanya nini leo mbele ya Barkley, Pulisic na Tammy?? Hahaha achilia mbali Geroud, Pedero, na Willian ..hii manure naona kabisa itaoga goli nying sana.
Kazi kazi![]()
Yaan Ole sijui kwann akumuuza Pogba, ana utoto mwngi, anazidiwa hadi na ScotPogba bado utoto mwingi sana, The spider huyu jamaa naanza kumuelewa.
Lingard
Atolewe hana analofanya uwanjan
Rashford pia hana analofanya Uwanjani ...
Bas tambua hapo wachezaji 12-13 wa first 11 hawapo. Na tumecheza vzr away in EPL ,Nimeangalia second half
Bado Forward zetu hazina njaa
Andreas perreira apumzike tu
Mata aingie. Katikati kuna shida kubwa sana. | |
Lukaku hata angebaki still angeendelea kuwa back up ya Rashford so kimpira hili ni tusi ila kiuhalisia hakuna kinachoshindikana
Romario to Ronaldinho..............Scolali
Ronaldinho to Messi...................Pep
Nestlerooy to Ronaldo/Rooney........SAF
Lukaku to Rashford up next.........Solksjær
Wan bissaka mmepata MTU
Magwaya bado sijaona hiyo thaman ya £80m
Kiungo hamna mkuu
Timu hii inamkosa Ander Herrera
Sioni anachofanya rashford ukiacha penat aliyopiga timu bado haina striker rashford hawez kumuweka bench lukaku ila kwa mapenz ya kishabik utaongea hivyo
Wan Bissaka anatuonyesha jinsi gani, luke shaw alivyo average.Hatari kama ndiyo anatafuta kibarua cha kucheza soka, natumaini ole awaze vizuri na kumpa Dalot namba saba hii Wan Bissaka haina mpinzani kabisa
Wan Bissaka anatuonyesha jinsi gani, luke shaw alivyo average.
Nice debut thoYeye na mwenzie Tony martial kama wapo kwenye mazoezi nachukia Mshambuliaji umeguswa kidogo Mguu, hujaumia mpira upo kwenye position yako unamwita refa na kuacha Mpira