Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

DEAL DONE: ALLY MANGWEA ATUA RASMI MANCHESTER UNITED




Hatimaye Manchester United na Leicester City wamekubaliana dau la Pauni 80 milioni kwa beki wa kati Ally Mangwea.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 26 anatarajiwa kufanyiwa vipimo pale Manchester United wikiendi hii.
Anakuwa mchezaji wa tatu kusainiwa katika klabu ya Manchester United katika dirisha hili, wengine wakiwa ni Aaron Wan-Bissaka na Daniel James ambao walitua wakitokea Crystal Palace na Swansea kwa mfuatano huo.
Tangu amejiunga na Leicester City akitokea Hull City mwaka 2017, Maguire amecheza mechi 69.
Usajili huo unamaanisha kwamba Mangwea amekuwa beki ghali zaidi duniani akipiku kiasi cha Pauni 75 milioni ambacho Liverpool waliilipa Southampton ili kumnasa Virgil Pascal Wawa Januari, 2018.
United walikuwa wakimtafuta Mangwea kwa muda mrefu lakini walishindwa kumnasa miezi 12 iliyopita hiyo ni kwa kuwa mchezaji huyo alikuwa na dau kubwa zaidi wakati Man United walikuwa tayari kutoa Pauni 70 milioni.

Povu
 
Beki bora duanian amekuja kuchange akiwa liverpool. Akiwa south amptom na celtic nani alijua ni beki bora? Nani alimfaham?
Kuhusu VVD akiwa soton tayari maskauti walishafahamu uwezo wake

Kwakukumbusha tu ,vilabu vya top 6 ukitoa man u vilipambana kumpata VVD ,

Man city

Chelsea

Arsenal

Liverpool

Mwisho wa siku Liverpool akataka kucheza faul ,soton wakalalamika , lile dili likawa kama limekufa ,lkn Liverpool walishakubaliana nae kwa siri.

January wanaenda kumchukua huku pep akifika £65m, Arsenal aliishia £50m

Hivo VVD uwezo wake ulithibitika Soton, sema kwakuwa walikuwa wanafungwa hukujua uwezo wake
 
Nopenope nope. Popularity haikuwa kubwa kias hicho. Lakin amekuja kuwa bora zaid under clopp.
He was decent.. lakin clopp kamfanya bora zaid.
Kuhusu VVD akiwa soton tayari maskauti walishafahamu uwezo wake

Kwakukumbusha tu ,vilabu vya top 6 ukitoa man u vilipambana kumpata VVD ,

Man city

Chelsea

Arsenal

Liverpool

Mwisho wa siku Liverpool akataka kucheza faul ,soton wakalalamika , lile dili likawa kama limekufa ,lkn Liverpool walishakubaliana nae kwa siri.

January wanaenda kumchukua huku pep akifika £65m, Arsenal aliishia £50m

Hivo VVD uwezo wake ulithibitika Soton, sema kwakuwa walikuwa wanafungwa hukujua uwezo wake
 
Beki bora duanian amekuja kuchange akiwa liverpool. Akiwa south amptom na celtic nani alijua ni beki bora? Nani alimfaham?
Mkuu kumfananisha magwaya na vvd ni kosa kubwa sana. Tuseme tu ukweli magwaya ni average player ila utaifa wake ndo unam'beba plus media za apo england ndo kabisa.
 
Mkuu kumfananisha magwaya na vvd ni kosa kubwa sana. Tuseme tu ukweli magwaya ni average player ila utaifa wake ndo unam'beba plus media za apo england ndo kabisa.
Hata VVD ingawaje ni mzuri, bado promo za media zinapitilizwa. Ukiona mchezaji ambaye Madrid au Barca hawana interest naye, jua bado ana jambo la kuprove.
 
Hata VVD ingawaje ni mzuri, bado promo za media zinapitilizwa. Ukiona mchezaji ambaye Madrid au Barca hawana interest naye, jua bado ana jambo la kuprove.
Hivi VVD kashaufikia ubora wa Rafael Varane ?
 
Nadhan my point sio kumfananisha harry na vvd. My point ni kwamba vvd ametokea huko akiwa average. Kaja liverpool kawa mkali. Maguire ametokea licester..yes bado hajafikiwa kiwango chake..lakin aunder kocha mzur atafika. Maybe zaid..it all depends na mwalim yukoje.
Mkuu kumfananisha magwaya na vvd ni kosa kubwa sana. Tuseme tu ukweli magwaya ni average player ila utaifa wake ndo unam'beba plus media za apo england ndo kabisa.
 
Jose Mourinho aelezea anavyoumia kwa kuona mafanikio yake hayaheshimiwi Manchester United


"Labda kosa langu nilifungwa sana au kwa kuwa nilikuwa msema kweli"
:
Meneja wa mpira wa miguu mara nyingi ni mtu mpweke. Upole na hisia zake.huendana na maamuzi yake. Unaweza kuwa na wafanyakazi na watu wanaofanya kazi na wewe lakini neno la msingi ni uamuzi, mmoja tu anayesimamia maamuzi. “Kwa hivyo labda ni kosa langu kwa sababu tabia ya kujifunga mwenyewe kwenye gwanda. Halafu pia kosa langu kwa sababu kile watu wanaona ni dakika 90. :
Namna unavyoendelea kwenye mchezo, njia unavyoonekana kwenye kamera. Watu ambao wananiona kwenye mitaani walisema:

“Ah! unaonekana mdogo. Ah nilidhani ulikuwa mnono kidogo, unaonekana mwembamba. Ee wewe ni mrefu zaidi, tulidhani ulikuwa mchanga”.

“Kwa hivyo nadhani TV ilibadilisha mitazamo. “Mimi ndivyo nilivyo Situmii vitu vya ziada Ninaona watu wakiigiza. Situmii. Kila kitu ni cha asili. :


Ninapokuwa kwenye benchi halafu ukaona sijashangilia goli ni la asili, ninajikita kwenye kile kinachokuja.Ni asili wakati mimi hunyakua chupa za maji na kuzitupa.Ni asili wakati mimi nikipiga chupa .. Unachoona ni nini .. Ikiwa nina sababu ya kutabasamu, mimi hutabasamu. Ninapenda tabasamu.
:
................. ------------------------------------------------------------------------
 
Jamani eeh..ss maguire ndo tushamchukua..wanaoponda na waponde..Maguire anaongeza kitu kwny Defense yetu ukilinganisha na CBs tulionao..

Kama tumiebiwa..poa tu cuz hela ni yao(man utd) wenyewe..haikupunguzii/kukuongezea chochote
 
@
IMG_20190803_152552_102.jpeg
 
Jamani eeh..ss maguire ndo tushamchukua..wanaoponda na waponde..Maguire anaongeza kitu kwny Defense yetu ukilinganisha na CBs tulionao..

Kama tumiebiwa..poa tu cuz hela ni yao(man utd) wenyewe..haikupunguzii/kukuongezea chochote
Boss anasema tutaongeza mmoja ama wawili wengine, sherehe haijaisha bado.
 
mnahangaishwa na nini sijui kama wewe unasoma shule za kata huwez kuonekana lkn soma Za wenye vipaji Hata kama huna utakuja tu magwaya mtamgwaya tu
 
Sasa haya ni maneno muafaka kwa mwana michezo kweli???
Mkuu kucheza Barca au Madrid sio kwamba ndo dream ya wachezaji au usipocheza izo club mbili kubwa basi hauna kiwango cha kutisha. Mbona izo club zina average player wengi tu.? labda ungesema timu kama ndogo ndogo Arsenal au Spurs thier players most of them ndo wanandoto za kufika barca au pengine madirid

Ila club kubwa kama Chelsea, Liverpool au Manure na upcoming giant Man city wengi wa wachezaji wao washafika kwenye dream zao. Wachache kama akina Paul Pobga au Edern Hazard(kama alivyotimiza ndoto yake) ndo bado wana amini dream zao ni kucheza Madirid au Barca.

Mf VVD kutokutakiwa na madirid sio kwamba ni average player. Tayari kashafika kwenye peak yake na sasa yupo kwenye kinyang'anyiro cha Ballodi'or ..kwa apo Manure magwaya anaweza kuwa bora kwa ndani ya club.
 
BREAKING NEWS!!

Maguire ameshatua Carrington kufanyiwa vipimo..nahc kesho ndo MAN U wataweka official.

MAGUIRE IS IN CARRINGTON to undergo Medical before joining the rest of the squad for Premier league preparations.
Hivi mchezaji anaweza chukuliwa na timu nyingine kwenye hatua kama hii.?
 
Back
Top Bottom