Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Game ya kwanza vs Chelsea
Maguireeeeeeeeeee gooooooooaaal
it's OWN GOAL(in Peter Dury voice)
90'min
Manchester united 0 Chelsea 1
na litimu lenu la Cheltako libovu kama Coastal Union tu yaani ndani ya miezi 6 tu mtamchoka kocha wenu na.matusi juu
 
Dybala inaonekana ana 'wasiwasi' wa kwenda Old Trafford.

Kutokana na 'Style' yake ya uchezaji anaona patamshinda.


Paulo Dybala has said 'no' to joining Manchester United, according to reports.

La Gazzetta dello Sport claim Dybala has told Juventus directors he has no intention of signing for the Red Devils, and that he'd prefer either to stay with Juve or join a club which better suits his style of play.

Dybala's refusal to join United is holding up the swap deal which will send Romelu Lukaku to Italy in exchange.

Paris Saint-Germain and Inter have also been linked with summer swoops for Argentina forward Dybala.
 
Baily.. ni mzur.. ila miguu ya glass. Amekuwa beki wa hospitalini. Ila akiwa mzima.. hata huyo jones chamtoto.
Rojo alikuja vizur lakin injury inamuua.kiwango. anakosa kujiamini kama zamani. Jones huyu ni kiwango cha kawaida au cha chini... hawa ndio sabab ya man u kuwa na defence mbov. Wkt team zingine zinafanya usajili wa kuimarisha defence.. man u ikaendelea kuwakombatia hawa. Leo united ina defence ya aina gani?
Man u hawana world class defence kama akina rio na pacha wake vidic.

Kwani Phil Jones, Rojo na Bailly wanatofautiana nini ?
 
Kwani Phil Jones, Rojo na Bailly wanatofautiana nini ?
Hawa wote sio mabeki wabaya kihivyo wakiwa wako fit shida yao kubwa wanajitupia sana kichwa kichwa bila kutumia akili ndo maana wanaumia mara nyingi
 
Hawa wote sio mabeki wabaya kihivyo wakiwa wako fit shida yao kubwa wanajitupia sana kichwa kichwa bila kutumia akili ndo maana wanaumia mara nyingi
Sasa mchezaji anajitupia tu bila safety precautions anamsaada gani kwa timu.

Possibility ya kuumia kila mechi ipo au kuumiza wenzake mazoezini
 
Wewe james Delicious unawashwawashwa hadi huku
Hatujuani humu kaa utulie usiniletee utando wako wa makalio humu......Stress zako za maisha usiniletee hapa,samahani sana Dada nimeshaoa mke wa pili sitaki naona unatafuta mume kwanguvu sana, utachezewa uachwe shauri yako ila shobo zako kwangu sitaki.
 
Hawa wote sio mabeki wabaya kihivyo wakiwa wako fit shida yao kubwa wanajitupia sana kichwa kichwa bila kutumia akili ndo maana wanaumia mara nyingi
Ukweli ni kwamba pamoja na uzuri wao hawamfikii Chris Smalling unless tuwe na chuki binafsi dhidi Smalling.
 
Game ya kwanza vs Chelsea

Maguireeeeeeeeeee gooooooooaaal

it's OWN GOAL(in Peter Dury voice)

90'min

Manchester united 0 Chelsea 1

Mtachanganyikiwa sana, bado wengine wawili wanakuja (hahahahahahaha nacheka kama mazuri)
 
Back
Top Bottom