Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi mchezaji anaweza chukuliwa na timu nyingine kwenye hatua kama hii.?
fuatilia hadithi ya usajili wa mikel obi kuelekea chelsea, takribani timu tatu zilishafikia makubaliano ya kumsajili.

Sir Alex Ferguson thought he had won the race for the talented Nigerian's signature in 2006, and he was even pictured in a United shirt, only for him to join Jose Mourinho at Stamford Bridge instead.
Mikel's future was resolved in June 2006 when Chelsea agreed to pay United £12 million for him, and a further £4 million to Lyn.
1564848198087.png

 
B.Fernandes,,,Huyu Jamaa n Genius Team itayompata watalamba dume.. N fund dimba la kati.. Yan Ed hapa hata Mia angetoa tu.. Maana Paulo Maji kujaa Maji Kupwaa atabiriki ka inavosemekana et ana injury wakat anataka kusepa kwa Zizzou.. Daaah Ed atutamuelewa manina zake. Una huyu una Dybala una Martial Una Sanchez wa Chile nielewen Sanchez wa chille pale ukutan una jones ooh sorry una smalling ooh shiiit soory una Linderof ewaaaa una Maguire ewaaa una young aaaaagh ili nalo limefikaje aaagh una AWB una Shaw aseeee league ianze tu ila kina Young wasimloge Ole maana hawakawii kupangwa
 
Dunia ipo mkononi saiv!

Tanzania tuna matatizo sana!
Naamini hizo habari si za kweli ,
kwa sababu Man u hawajapokea bid yoyote inayomuhusu Pogba.

Sasa Pogba agome(asingizie kuumwa)kusafiri kwa sababu ipi.
Atakuwa anataka auzwe bure? Na kwa timu ipi?. Aston villa? Benifica ? ,
maana hakuna timu iliyoomba huduma yake mpaka sasa zaidi ya maneno maneno tuu kutoka RM.
 
Back
Top Bottom