Wandugu Masanja
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 1,584
- 553
kweli safari hii Manshity watasikia kwenye bomba
we unapiga makelele...sisi tumefungwa game moja tumeshinda moja na bado tuna points nyingi zaidi yenu....jumapili mnacheza na liverpool at anfield..kama mmeshindwa kumfunga stoke na sunderland...mtaweza kumfunga liverpool? hii itakua game yenu ya tatu hamjashinda...hiyo ni record breaking 3 consecutive opening games without a win? pool old arsene wenger....mtammiss RVP sana mwaka huu