Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kweli safari hii Manshity watasikia kwenye bomba
we unapiga makelele...sisi tumefungwa game moja tumeshinda moja na bado tuna points nyingi zaidi yenu....jumapili mnacheza na liverpool at anfield..kama mmeshindwa kumfunga stoke na sunderland...mtaweza kumfunga liverpool? hii itakua game yenu ya tatu hamjashinda...hiyo ni record breaking 3 consecutive opening games without a win? pool old arsene wenger....mtammiss RVP sana mwaka huu
 
we unapiga makelele...sisi tumefungwa game moja tumeshinda moja na bado tuna points nyingi zaidi yenu....jumapili mnacheza na liverpool at anfield..kama mmeshindwa kumfunga stoke na sunderland...mtaweza kumfunga liverpool? hii itakua game yenu ya tatu hamjashinda...hiyo ni record breaking 3 consecutive opening games without a win? pool old arsene wenger....mtammiss RVP sana mwaka huu

what maters ni point! mna point 3 without a clean sheet! tuna point 2 with a clean sheet! sasa sijui kelele za nini gape la point moja! na leo mtashikishwa adabu! ..
 
Goodluck to the boys tonite!! All we want is 3points...Evans is back so he would partner vidic in defence, rafael and evra on either side...carrick back in midfield...we need goals boys....
 
RvP!!!! what a Goal!!! Pure Arsenal way!!!! Inauma sana kumuona huyu jamaa anafunga... But the guy is Class!!!
 
Nasikia BJ ame-log off ..... ..... mbona haleti matokeo si Manyu wanaongoza? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Manda naye kasepa kabaki ati Mtotowamjini anachungulia tu.

BTW nasikia tetesi RVP ataumia leo na kuwa out for four months .... ..
 
hAHAHAHAHAAHAAAAA!!!! Belind Jackob umenichokoza siku mbaya sanaa!!! yaaani hawa Southampton wanaangusha bonge la Burudani!!!! Sasa kama kawa kama dawa... wanapaki Basi....Hata wakitoa draw sio mbaya!!! Au RvP ana KIMAVI????
 
Nasikia BJ ame-log off ..... ..... mbona haleti matokeo si Manyu wanaongoza? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Manda naye kasepa kabaki ati Mtotowamjini anachungulia tu.

BTW nasikia tetesi RVP ataumia leo na kuwa out for four months .... ..


Hahahahahaaaaaa... Wapo kama hawapo!!!!
 
hahahahahaaaaa,,,,!!! S'ampton kama Arsenal vile....one two za maana!!!!
 
Wacha1, umeona kitu cha RVP kule kwetu? anyway, game bado linaendelea🙂)))

Kumbe humjui prof. kachukua £24 million kawauzia galasa .... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Haya mnabebwa hapa khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hata unaona Penalty anakosa .... ..... chezea prof weye .... ...
 
Naona RvP anai"miss" aina ya service aliyouwa anapata kutoka kwa Song alipokuwa Arsenal
 
Manyu msijali jitokezeni tu, mtabebwa kama kawaida yenu dakika za nyongeza khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Nasikia BJ ame-log off ..... ..... mbona haleti matokeo si Manyu wanaongoza? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Manda naye kasepa kabaki ati Mtotowamjini anachungulia tu.

BTW nasikia tetesi RVP ataumia leo na kuwa out for four months .... ..


hahaha mtoto mjini yupo kwenye silencer .. moja haikai mbili haikai! .. ndio tatizo lao hawa ... anasubiri washinde ndio aje..hapa... hahaha wakirudisha utamuona ...
 
THought it was team work kind of thing!!! Au mlikuwa mnapenda tu kuisema Arsenal ovyo!!! So what can we say abou Man Utd so far??? "NOT A ONE MAN TEAM???"
 
Back
Top Bottom