Pogba angepigwa bei mapema maana mimi naona hata akibaki msimi ujao atacheza kwa kujisikia tu...

Daka Bruno Fernandez,then tafuta decent holding midfielder..kazi kwisha

Hatuwezi kuwa na wachezaji ambao akili zao zipo valuvalu...
Kuna tetesi zinaendelea kwamba agent kiungo Savic Wa Lazio anafanya mazungumzo na Man U. So kama angepatikana BF + Savic ingekuwa Bonge la usajili
 
Kuna tetesi zinaendelea kwamba agent kiungo Savic Wa Lazio anafanya mazungumzo na Man U. So kama angepatikana BF + Savic ingekuwa Bonge la usajili
Yeah man..kumkumbatia huyu kirusi ni upumbavu wa hali ya juu

Mtu anataka kusepa,piga bei,,pumbavu zake,aende Hispania akavae vae hereni aone jinsi wahispania watakavyomwashia moto
 
HII TIMU IMESHAJICHOKEA TOKEA NYAKATI ZA MWISHO ZA FERGUSON.

  1. liverpool / man city
  2. liverpool / tottenham / man city
  3. tottenham hotspurs
  4. chelsea / arsenal / man utd
usajili wa ndombele na ikitokezea kukamilika kwa usajili wa giovani le celso ndio kutazidisha utofauti wa vikosi kati yetu na totteham hotpurs.

usajili wa daniel james pamoja na wan bissaka haujaleta athari yoyote kwa wapinzani wetu.
naruhusu mjadala
 
Hahahahahahahahah.........Ni aibu sana kung'ang'ania mchezaji ambaye hana Consistently, He don't play for badge, Mchezaji mvivu ,Altitude mbovu,Endeleeni kujenga ya kumzunguka yeye tu hamna namna.
Ni nyuma ya pazia ile Man U wwtamuuza Pogba hata Riola asingesema kitu. Wwnachojaribu kufanya ni kutengeneza hardship situations ili wamuuze kwa hela nzuri zaidi. Pia kuna mdau humu alitoa point ya msingi sana kwamba Man U wanachelewesha makusudi kumuuza jamaa ili wahakikishe wamenunua replacement za jamaa kwa bei isiyo ya kukomoana sana kisha ndo waje wamuuze ili wasikamiwe sokoni kutokana na mauzo ya huyo Virus
 
SAKATA LA PAUL POGBA NA MINO RAIOLA
  1. huenda jamaa amedhamiria kweli kuondoka kutokana na kutokuridhishwa na muelekeo wa man utd.
  2. martial, rashford na wajinga wengine mishahara yao imeongezeka hadi kufikia paundi laki mbili na hamsini kwa wiki na ukiangalia huduma wanayoitoa uwanjani ni ndogo ukilinganisha na paul pogba,
  3. paul anajua fika united hawawezi kumuondoa kiurahisi kwa sababu ndiye injini akiwa uwanjani na hata nje ya uwanja(marketing)
  4. kituko ni kwamba united wana uwezo wa kumuongezea mshahara wake hadi kumzidi sanchez lakini huko anakotaka kwenda sidhani kama wapo tayari kumlipa mshahara wake wa sasa.
nasubiria mkataba wa kufuru wa paul pogba ndani ya man utd.

hivi mumeshaisahau fax machine ilivyofanya kazi kwa david degea?
 
HII TIMU IMESHAJICHOKEA TOKEA NYAKATI ZA MWISHO ZA FERGUSON.

  1. liverpool / man city
  2. liverpool / tottenham / man city
  3. tottenham hotspurs
  4. chelsea / arsenal / man utd
usajili wa ndombele na ikitokezea kukamilika kwa usajili wa giovani le celso ndio kutazidisha utofauti wa vikosi kati yetu na totteham hotpurs.

usajili wa daniel james pamoja na wan bissaka haujaleta athari yoyote kwa wapinzani wetu.
naruhusu mjadala

Tunahitaji kusajili

Kwa sasa kipaumbele inabidi awe beki wa kati (Maguire). Kwa mabeki wa kati waliopo sokoni kwangu mimi huyo yupo nyuma ya Koulibally tu. Yupo juu ya Umtiti. Pia yupo juu ya De Legt, ambaye bado hatujajua kama anaweza kustahimili mikiki ya EPL. Lakini kubwa zaidi De Legt ni mchezaji wa Raiola moja kati ya mawakala grid sana. Mfano akija United sitashangaa akicheza vizuri mwakani Raiola akamtafutia timu nyingine. De Legt na Umtiti wote hawana pace, na hiyo ni kasoro pekee aliyonayo Harry Maguire. After all hata akina VVD hawana pace.

Kipaumbele kingine inabidi kiwe viungo watatu wa kati ambapo tukimpata BF, Lo Celso/Mdison/Ericksen na defensive mid yoyote mwenye roho mbaya. Pogba anapaswa kwenda, na kiukweli siku akiondoka nitafurahi kuliko siku aliyoondoka David Moyes

Usajili wa winger wa kulia ni muhimu, lakini tukisubiri kwa sababu za kibajeti sitahuzunika sana. Lakini tungempata Nicolas Pepe ningefurahi sana.

Big Rom tunaweza kumuuza kwa kuwa pale hakubaliki (OGS na mashabiki), na yeye ameshaweka akili na moyo wake Inter Millan. Lakini akiondoka Rom lazima tutafute foward wa maana na sio tumtegemee Rashid Fuoni. Walahi itakula kwetu.

Usajili wa Wana Bissaka na Daniel James si wa kuubeza mkuu. AWB atasaidia kubadili kabisa defence yetu, TRUST me, japo huwa simkubali sana kwenda mbele. DJ ni habari nyingine kaka, apewe muda, ila dogo ni mzuri sana especially kwenye counter attack na ku track adui. Pia ni mpiga krosi mzuri tena kwa miguu yote.

Kipaumbele kwa sasa kiwe beki wa kati na Mid 3. Winger wa kulia n.k tunaweza nunua msimu ujao
 
Tunahitaji kusajili

Kwa sasa kipaumbele inabidi awe beki wa kati (Maguire). Kwa mabeki wa kati waliopo sokoni kwangu mimi huyo yupo nyuma ya Koulibally tu. Yupo juu ya Umtiti. Pia yupo juu ya De Legt, ambaye bado hatujajua kama anaweza kustahimili mikiki ya EPL. Lakini kubwa zaidi De Legt ni mchezaji wa Raiola moja kati ya mawakala grid sana. Mfano akija United sitashangaa akicheza vizuri mwakani Raiola akamtafutia timu nyingine. De Legt na Umtiti wote hawana pace, na hiyo ni kasoro pekee aliyonayo Harry Maguire. After all hata akina VVD hawana pace.

Kipaumbele kingine inabidi kiwe viungo watatu wa kati ambapo tukimpata BF, Lo Celso/Mdison/Ericksen na defensive mid yoyote mwenye roho mbaya. Pogba anapaswa kwenda, na kiukweli siku akiondoka nitafurahi kuliko siku aliyoondoka David Moyes

Usajili wa winger wa kulia ni muhimu, lakini tukisubiri kwa sababu za kibajeti sitahuzunika sana. Lakini tungempata Nicolas Pepe ningefurahi sana.

Big Rom tunaweza kumuuza kwa kuwa pale hakubaliki (OGS na mashabiki), na yeye ameshaweka akili na moyo wake Inter Millan. Lakini akiondoka Rom lazima tutafute foward wa maana na sio tumtegemee Rashid Fuoni. Walahi itakula kwetu.

Usajili wa Wana Bissaka na Daniel James si wa kuubeza mkuu. AWB atasaidia kubadili kabisa defence yetu, TRUST me, japo huwa simkubali sana kwenda mbele. DJ ni habari nyingine kaka, apewe muda, ila dogo ni mzuri sana especially kwenye counter attack na ku track adui. Pia ni mpiga krosi mzuri tena kwa miguu yote.

Kipaumbele kwa sasa kiwe beki wa kati na Mid 3. Winger wa kulia n.k tunaweza nunua msimu ujao
Hapa umeongea boss
 
HII TIMU IMESHAJICHOKEA TOKEA NYAKATI ZA MWISHO ZA FERGUSON.

  1. liverpool / man city
  2. liverpool / tottenham / man city
  3. tottenham hotspurs
  4. chelsea / arsenal / man utd
usajili wa ndombele na ikitokezea kukamilika kwa usajili wa giovani le celso ndio kutazidisha utofauti wa vikosi kati yetu na totteham hotpurs.

usajili wa daniel james pamoja na wan bissaka haujaleta athari yoyote kwa wapinzani wetu.
naruhusu mjadala
Mkuu ni kitu gani kinakupa wasiwasi kumhusu huyu Daniel James??
 
HII TIMU IMESHAJICHOKEA TOKEA NYAKATI ZA MWISHO ZA FERGUSON.

  1. liverpool / man city
  2. liverpool / tottenham / man city
  3. tottenham hotspurs
  4. chelsea / arsenal / man utd
usajili wa ndombele na ikitokezea kukamilika kwa usajili wa giovani le celso ndio kutazidisha utofauti wa vikosi kati yetu na totteham hotpurs.

usajili wa daniel james pamoja na wan bissaka haujaleta athari yoyote kwa wapinzani wetu.
naruhusu mjadala
Daniel James anakuja kuwa bonge la Forward

Nilikuwa sijamcheki ila nilipoangalia mechi zake kadhaa (Cut Clips) aisee natabiri anakuja kuwa bonge la mchezaji maana anakipaji fulani nae halafu jumlisha na pace alionayo
 
Tunahitaji kusajili

Kwa sasa kipaumbele inabidi awe beki wa kati (Maguire). Kwa mabeki wa kati waliopo sokoni kwangu mimi huyo yupo nyuma ya Koulibally tu. Yupo juu ya Umtiti. Pia yupo juu ya De Legt, ambaye bado hatujajua kama anaweza kustahimili mikiki ya EPL. Lakini kubwa zaidi De Legt ni mchezaji wa Raiola moja kati ya mawakala grid sana. Mfano akija United sitashangaa akicheza vizuri mwakani Raiola akamtafutia timu nyingine. De Legt na Umtiti wote hawana pace, na hiyo ni kasoro pekee aliyonayo Harry Maguire. After all hata akina VVD hawana pace.

Kipaumbele kingine inabidi kiwe viungo watatu wa kati ambapo tukimpata BF, Lo Celso/Mdison/Ericksen na defensive mid yoyote mwenye roho mbaya. Pogba anapaswa kwenda, na kiukweli siku akiondoka nitafurahi kuliko siku aliyoondoka David Moyes

Usajili wa winger wa kulia ni muhimu, lakini tukisubiri kwa sababu za kibajeti sitahuzunika sana. Lakini tungempata Nicolas Pepe ningefurahi sana.

Big Rom tunaweza kumuuza kwa kuwa pale hakubaliki (OGS na mashabiki), na yeye ameshaweka akili na moyo wake Inter Millan. Lakini akiondoka Rom lazima tutafute foward wa maana na sio tumtegemee Rashid Fuoni. Walahi itakula kwetu.

Usajili wa Wana Bissaka na Daniel James si wa kuubeza mkuu. AWB atasaidia kubadili kabisa defence yetu, TRUST me, japo huwa simkubali sana kwenda mbele. DJ ni habari nyingine kaka, apewe muda, ila dogo ni mzuri sana especially kwenye counter attack na ku track adui. Pia ni mpiga krosi mzuri tena kwa miguu yote.

Kipaumbele kwa sasa kiwe beki wa kati na Mid 3. Winger wa kulia n.k tunaweza nunua msimu ujao
Idea nzuri lakini ni ngumu kusajiri hao wote
 
Mkuu ni kitu gani kinakupa wasiwasi kumhusu huyu Daniel James??
Usajili wa Wana Bissaka na Daniel James si wa kuubeza mkuu. AWB atasaidia kubadili kabisa defence yetu, TRUST me, japo huwa simkubali sana kwenda mbele. DJ ni habari nyingine kaka, apewe muda, ila dogo ni mzuri sana especially kwenye counter attack na ku track adui. Pia ni mpiga krosi mzuri tena kwa miguu yote.
simchukii daniel james kwa asili yake alipozaliwa bali ni kwa kiwango chake cha wastani alichonacho kinachongezwa udambwi udambwi na media za kiingereza wakiongozwa na legend ryan giggs, binadamu tunatofautiana sana kiuelewa inawezekana wenzangu mumenizidi mno hivyo basi pengine mtazamo wangu juu ya daniel james ni dhaifu.

kwa mujibu wa situation ilivyo ndani ya manchester united uwezekano wa kusajili winga mpya haupo hivyo basi tunakwenda kumbebesha majukumu mazito huyu bwana mdogo haliyakuwa huko anakotoka hakuwa fundi kama neymar yule wa santos au frank ribery yule wa olympique marseille na uthibitisho wa hilo ni hizo takwimu zake na video zake kwa wale ambao hatujawahi kumuona dakika 90 zinatuonyesha ni mchezaji wa aina gani kwa kutumia macho yetu dhaifu.

kwangu mimi namuona daniel james ni species ile ile iliotuzalishia wright phillips, theo walcott na oxlade chamberlain (wazee wa harakati nyingi kama pimbi). klabu ilipaswa kwanza itafute winga ambaye ameshauthibitishia ulimwengu kiubora ndipo baadae tumtumie daniel james kama ni nyongeza kwenye kikosi kama ilivyo manchester city wanavyomtumia phil foden au liverpool wanavyomtumia shaqiri.

kama daniel james ataniaibisha mbele ya jamii kwa kuonyesha kiwango bora basi tutakuwa tumeramba dume na nitakuja kuomba radhi humu ndani kama nilivyofanya kwa ole gunnar solskjaer, si hivyo tu atakuwa ni mchezaji wa pili kuniaibisha baada ya zoran tosic.

lakini ikiwa kinyume chake tutakuwa tumekula hasara kwa sababu itatulazimu tena kuendelea kumtumia juan mata na jesse lingard upande wa kulia ambao wamekwisha feli kwa muda mrefu na jambo hili sitaki kuliona likitokezea tena.

alichokosea bwana ole ni kumweka daniel james kama ni kipaombele chake cha kwanza kwenye usajili ndio maana si ajabu kumuona bwana ed woodward amemkimbilia huyo kijana kwa sababu ni rahisi kumpata.

ni rahisi sana kulipa paundi millioni 50 kwa mchezaji baadae ukalipa tena paundi millioni 15 kwa mchezaji anayecheza nafasi ile ile.
ni rahisi sana kulipa paundi millioni 15 kwa mchezaji lakini ni vigumu sana kulipa tena paundi millioni 50 kwa mchezaji mwengine anayecheza nafasi ile ile.
===========================================================================================

hivi ni nani anayemdanganya ole gunnar solskjaer kama atapewa muda mrefu wa kujenga timu kwa kutumia wachezaji ambao ni underdog kama alivyo yeye na CV yake ya ukocha?

ni nani aliyemwaminisha bwana ole ya kwamba wachezaji wa kiingereza ndio pekee wenye haki miliki ya kuzipigania timu (wazalendo)?
 
Man u siwaelewi kabisa wanatafuta nini
simchukii daniel james kwa asili yake alipozaliwa bali ni kwa kiwango chake cha wastani alichonacho kinachongezwa udambwi udambwi na media za kiingereza wakiongozwa na legend ryan giggs, binadamu tunatofautiana sana kiuelewa inawezekana wenzangu mumenizidi mno hivyo basi pengine mtazamo wangu juu ya daniel james ni dhaifu.

kwa mujibu wa situation ilivyo ndani ya manchester united uwezekano wa kusajili winga mpya haupo hivyo basi tunakwenda kumbebesha majukumu mazito huyu bwana mdogo haliyakuwa huko anakotoka hakuwa fundi kama neymar yule wa santos au frank ribery yule wa olympique marseille na uthibitisho wa hilo ni hizo takwimu zake na video zake kwa wale ambao hatujawahi kumuona dakika 90 zinatuonyesha ni mchezaji wa aina gani kwa kutumia macho yetu dhaifu.

kwangu mimi namuona daniel james ni species ile ile iliotuzalishia wright phillips, theo walcott na oxlade chamberlain (wazee wa harakati nyingi kama pimbi). klabu ilipaswa kwanza itafute winga ambaye ameshauthibitishia ulimwengu kiubora ndipo baadae tumtumie daniel james kama ni nyongeza kwenye kikosi kama ilivyo manchester city wanavyomtumia phil foden au liverpool wanavyomtumia shaqiri.

kama daniel james ataniaibisha mbele ya jamii kwa kuonyesha kiwango bora basi tutakuwa tumeramba dume na nitakuja kuomba radhi humu ndani kama nilivyofanya kwa ole gunnar solskjaer, si hivyo tu atakuwa ni mchezaji wa pili kuniaibisha baada ya zoran tosic.

lakini ikiwa kinyume chake tutakuwa tumekula hasara kwa sababu itatulazimu tena kuendelea kumtumia juan mata na jesse lingard upande wa kulia ambao wamekwisha feli kwa muda mrefu na jambo hili sitaki kuliona likitokezea tena.

alichokosea bwana ole ni kumweka daniel james kama ni kipaombele chake cha kwanza kwenye usajili ndio maana si ajabu kumuona bwana ed woodward amemkimbilia huyo kijana kwa sababu ni rahisi kumpata.

ni rahisi sana kulipa paundi millioni 50 kwa mchezaji baadae ukalipa tena paundi millioni 15 kwa mchezaji anayecheza nafasi ile ile.
ni rahisi sana kulipa paundi millioni 15 kwa mchezaji lakini ni vigumu sana kulipa tena paundi millioni 50 kwa mchezaji mwengine anayecheza nafasi ile ile.
View attachment 1148508

hivi ni nani anayemdanganya ole gunnar solskjaer kama atapewa muda mrefu wa kujenga timu kwa kutumia wachezaji ambao ni underdog kama alivyo yeye na CV yake ya ukocha?

ni nani aliyemwaminisha bwana ole ya kwamba wachezaji wa kiingereza ndio pekee wenye haki miliki ya kuzipigania timu (wazalendo)?


Manchester United 'preparing bid for Longstaff'
United are reportedly preparing a bid for the Newcastle midfielder Sean Longstaff.
However, Sky Sports say Newcastle will demand a fee in excess of £50million for the 21-year-old.
Longstaff’s current deal at St James’ Park runs until 2022.
 
Man u siwaelewi kabisa wanatafuta nini
simchukii daniel james kwa asili yake alipozaliwa bali ni kwa kiwango chake cha wastani alichonacho kinachongezwa udambwi udambwi na media za kiingereza wakiongozwa na legend ryan giggs, binadamu tunatofautiana sana kiuelewa inawezekana wenzangu mumenizidi mno hivyo basi pengine mtazamo wangu juu ya daniel james ni dhaifu.

kwa mujibu wa situation ilivyo ndani ya manchester united uwezekano wa kusajili winga mpya haupo hivyo basi tunakwenda kumbebesha majukumu mazito huyu bwana mdogo haliyakuwa huko anakotoka hakuwa fundi kama neymar yule wa santos au frank ribery yule wa olympique marseille na uthibitisho wa hilo ni hizo takwimu zake na video zake kwa wale ambao hatujawahi kumuona dakika 90 zinatuonyesha ni mchezaji wa aina gani kwa kutumia macho yetu dhaifu.

kwangu mimi namuona daniel james ni species ile ile iliotuzalishia wright phillips, theo walcott na oxlade chamberlain (wazee wa harakati nyingi kama pimbi). klabu ilipaswa kwanza itafute winga ambaye ameshauthibitishia ulimwengu kiubora ndipo baadae tumtumie daniel james kama ni nyongeza kwenye kikosi kama ilivyo manchester city wanavyomtumia phil foden au liverpool wanavyomtumia shaqiri.

kama daniel james ataniaibisha mbele ya jamii kwa kuonyesha kiwango bora basi tutakuwa tumeramba dume na nitakuja kuomba radhi humu ndani kama nilivyofanya kwa ole gunnar solskjaer, si hivyo tu atakuwa ni mchezaji wa pili kuniaibisha baada ya zoran tosic.

lakini ikiwa kinyume chake tutakuwa tumekula hasara kwa sababu itatulazimu tena kuendelea kumtumia juan mata na jesse lingard upande wa kulia ambao wamekwisha feli kwa muda mrefu na jambo hili sitaki kuliona likitokezea tena.

alichokosea bwana ole ni kumweka daniel james kama ni kipaombele chake cha kwanza kwenye usajili ndio maana si ajabu kumuona bwana ed woodward amemkimbilia huyo kijana kwa sababu ni rahisi kumpata.

ni rahisi sana kulipa paundi millioni 50 kwa mchezaji baadae ukalipa tena paundi millioni 15 kwa mchezaji anayecheza nafasi ile ile.
ni rahisi sana kulipa paundi millioni 15 kwa mchezaji lakini ni vigumu sana kulipa tena paundi millioni 50 kwa mchezaji mwengine anayecheza nafasi ile ile.
View attachment 1148508

hivi ni nani anayemdanganya ole gunnar solskjaer kama atapewa muda mrefu wa kujenga timu kwa kutumia wachezaji ambao ni underdog kama alivyo yeye na CV yake ya ukocha?

ni nani aliyemwaminisha bwana ole ya kwamba wachezaji wa kiingereza ndio pekee wenye haki miliki ya kuzipigania timu (wazalendo)?


Manchester United 'preparing bid for Longstaff'
United are reportedly preparing a bid for the Newcastle midfielder Sean Longstaff.
However, Sky Sports say Newcastle will demand a fee in excess of £50million for the 21-year-old.
Longstaff’s current deal at St James’ Park runs until 2022.
 
Man u siwaelewi kabisa wanatafuta nini
tatizo letu la kwanza tumekuwa na tabia ya kuwavumilia wachezaji wabovu kwa muda mrefu na hii tabia ilikuwepo tokea zamani na tumeshindwa kuiacha.

  • huu ni mwaka wa nane tunaendelea kumtumia phil jones asiye na uwezo wa kumweka nje lenglet wa barcelona, bado tuna matumaini mjinga yule atakuwa kwenye ubora
  • huu ni mwaka wa nane tunaendelea kumtumia cris smalling asiye na uwezo wa kumweka nje varane wa real madrid
  • tumemvumilia luke shaw kwa takribani miaka mitatu bila ya kutafuta mbadala wake na mpaka muda huu luke shaw ameanza kurudisha thamani yake pia hatujawa na fikra ya kumtafuta mchezaji mwengine atakayemletea changamoto.
  • tutaendelea kufanya kazi na jesse lingard mpaka atakapofikisha miaka 50 haijalishi kiwango chake ni kidogo
  • tuatendelea kufanya kazi na marcus rashford mpaka atakapotimiza miaka 40 haijalishi kiwango chake ni kidogo
  • hata kama itatokezea msimu huu diogo dalot na wan bissaka wakashindwa kuonyesha kiwango kikubwa pia tutaendelea kuwavumilia miaka mengine 30 mpaka wawe na kiwango kikubwa
mfumo huu umebaki manchester united peke yake, hata hao arsenal kwa sasa wameshaanzisha kampeni ya kusafisha nyumba yao.
 
Man u siwaelewi kabisa wanatafuta nini
tatizo la pili tumekuwa wazito sana kununua wachezaji kwa muda muafaka na pia tumekuwa wazito sana kuuza wachezaji wetu na hili limechangiwa zaidi na matokeo mabovu tunayoyapata kwa miaka ya karibuni.

real madrid ndani ya miezi wamefanya usajili wa wachezaji takribani watano kwa sababu wana mfumo mzuri wa kutafuta target unaojengwa na watu wanaojuwa biashara haramu ya kununua wachezaji wakiongozwa na florentino perez

real madrid ndani ya mwezi mmoja wameshauza wachezaji takribani wanne kwa bei nzuri na wengine wapo njiani kuondoka, licha ya madrid kufanya vibaya msimu uliopita lakini wachezaji wao kwa kiasi kikubwa sana wanauzika sokoni.

matteo kovasic, theo hernandez, raul de tomas, james rodriguez, marcos llorente, isco alcaron, gareth bale, vasquez wote hawa wapo sokoni.

ukija kiupande wetu asilimia kubwa ya wachezaji wetu hawahitajiki sokoni ndio maana hatusikii tetesi za kutakiwa kwao hivyo basi tutaendelea kuwa nao msimu unaofuta na itakayofuata.
 
Man u siwaelewi kabisa wanatafuta nini
usajili wa kweli unapaswa uanzie kwa huyo bwana bruno fernandez.
kama tungelikuwa ni waumini wa pressing style basi huyo swala james angelitufaa sana

hivi hawa vilaza wetu kama vile matteo darmian, ashley young, phil jones, marcos rojo, jesse lingard, mata, alex sanchez tutamuuzia nani?

wenzetu liverpool wameshasafisha mtaro wao kwa kumuondoa daniel sturridge na albert moreno, danny ings pia huenda wakamuuza nathaniel clyne
 
Back
Top Bottom