severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,397
Kuna tetesi zinaendelea kwamba agent kiungo Savic Wa Lazio anafanya mazungumzo na Man U. So kama angepatikana BF + Savic ingekuwa Bonge la usajiliPogba angepigwa bei mapema maana mimi naona hata akibaki msimi ujao atacheza kwa kujisikia tu...
Daka Bruno Fernandez,then tafuta decent holding midfielder..kazi kwisha
Hatuwezi kuwa na wachezaji ambao akili zao zipo valuvalu...