Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yani hadi sasa hatujasajili mchezaji hata mmoja, halafu tuaambiwa eti kuna rebuild inafanyika.

Msimu ujao tusipo maliza nafasi ya kumi ni bahati.
Hata tukichukua makombe yote bado United inaudhi sana siku hizi.

Siifurahii kama wakati ule SAF alikuwepo.

Mambo yanaendeshwa kifala sana.
 

Hakuna uhusuiano wowote wa wa position ya CEO na kujua mpira.

Hakuna uhusiano wowote wa CEO na vipaji vya wachezaji kupanda au kushuka.

Hakuna uhusiano wowote wa CEO na Benchi la ufundi.

CEO wa Liverpool ni Peter Moore hakuwahi Kucheza mpira, kuujua mpira, wala hakuwahi kujishughulisha na Chochote kinachohusu mpira kabla ya kuteuliwa CEO na Liverpool mwaka 2017.
Ni mfanya biashara tu na si vyenginevyo! Kutokujua kwake mpira hakuhusiani na Vipaji vya Kina Mane, Salah, VVD and co.
Kwa historia Yake fupi unaweza hata ukapitia hapa → https://en.m.wikipedia.org/wiki/Peter_Moore_(businessman)

Na hawa CEO wa timu nyingi huteuliwa/Huajiriwa kwa taaluma za Kibiashara na si kwa kujua mpira kwani Mpira ni biashara, na cheo cha CEO ni cha kibiashara kusimamia mapato ya timu.

Narudia tena kuboronga/Kuporoka Vipaji kwa Wachezaji ni Poor coaching and Management kwa kocha.

Ni jambo la ajabu kumlaumu Woodward na kusema hajui mpira kwa Kushuka kiwango Martial au Pogba!! Ed anahusikaje na vipaji vya wachezaji? Is he Coach? Psychologist?

Huwezi kusema Ed hajui mpira wakati yeye ni Mfanya biashara! Hata kama ataondoshwa leo hii, basi mwengine atakayepewa nafasi si Cantons wala Dwight Yorke bali ni Mfanya biashara mwengine mwenye uwezo wa kumanage Business in best way kuingiza more profits, na si kuajiri mjuzi wa Mpira.

Sawala la kutoa hela za kunulia Wachezaje ni Chairman ndiye anayehusika kwa 100% na si only Ed kama watu wanavyojiaminisha.

Hivi Chairman/Mmiliki atenge Budget ya £300m kwa ajili ya Wachezaji then Ed anaoubavu wa kusema hatozitoa? Aende nazo wapi?

Sasa Kama Chairman/Mmiliki katoa £150m kwa ajili ya usajili, Ed afanyeje unadhani? Atatumia alichopewa.

Lazima watu wafahamu na kueka mipaka majukumu ya CEO na Technical Staffs.
 
Neymar tatizo lake ni kuendelea kuwa mtoto japo alishavuka hiyo hatua
nidhamu ya soka inamuharibia Neymar future yake..... Majeruhi ya wachezaji wakati mwengine yanahusishwa na anasa na kutozingatia mazoezi na kuwa psychological unfit....Neymar bata sana zinafanya mwili ushindwe kurespond ipasavyo ndo maana unaambiwa wachezaji wakubwa inabidi wacontrol Sana maisha na nyenendo zao
 
Hakuna uhusuiano wowote wa wa position ya CEO na kujua mpira.

Hakuna uhusiano wowote wa CEO na vipaji vya wachezaji kupanda au kushuka.

Hakuna uhusiano wowote wa CEO na Benchi la ufundi.

CEO wa Liverpool ni Peter Moore hakuwahi Kucheza mpira, kuujua mpira, wala hakuwahi kujishughulisha na Chochote kinachohusu mpira kabla ya kuteuliwa CEO na Liverpool mwaka 2017.
Ni mfanya biashara tu na si vyenginevyo! Kutokujua kwake mpira hakuhusiani na Vipaji vya Kina Mane, Salah, VVD and co.
Kwa historia Yake fupi unaweza hata ukapitia hapa → https://en.m.wikipedia.org/wiki/Peter_Moore_(businessman)

Na hawa CEO wa timu nyingi huteuliwa/Huajiriwa kwa taaluma za Kibiashara na si kwa kujua mpira kwani Mpira ni biashara, na cheo cha CEO ni cha kibiashara kusimamia mapato ya timu.

Narudia tena kuboronga/Kuporoka Vipaji kwa Wachezaji ni Poor coaching and Management kwa kocha.

Ni jambo la ajabu kumlaumu Woodward na kusema hajui mpira kwa Kushuka kiwango Martial au Pogba!! Ed anahusikaje na vipaji vya wachezaji? Is he Coach? Psychologist?

Huwezi kusema Ed hajui mpira wakati yeye ni Mfanya biashara! Hata kama ataondoshwa leo hii, basi mwengine atakayepewa nafasi si Cantons wala Dwight Yorke bali ni Mfanya biashara mwengine mwenye uwezo wa kumanage Business in best way kuingiza more profits, na si kuajiri mjuzi wa Mpira.

Sawala la kutoa hela za kunulia Wachezaje ni Chairman ndiye anayehusika kwa 100% na si only Ed kama watu wanavyojiaminisha.

Hivi Chairman/Mmiliki atenge Budget ya £300m kwa ajili ya Wachezaji then Ed anaoubavu wa kusema hatozitoa? Aende nazo wapi?

Sasa Kama Chairman/Mmiliki katoa £150m kwa ajili ya usajili, Ed afanyeje unadhani? Atatumia alichopewa.

Lazima watu wafahamu na kueka mipaka majukumu ya CEO na Technical Staffs.
Nani yupo mbele kwenye kuajiri technical staff??
 
Ni kweli dogo soka lake litateketea kizembe kwa sababu hana ndoto za kuwa mkubwa bali anaamini alishaufikia huo ukubwa
nidhamu ya soka inamuharibia Neymar future yake..... Majeruhi ya wachezaji wakati mwengine yanahusishwa na anasa na kutozingatia mazoezi na kuwa psychological unfit....Neymar bata sana zinafanya mwili ushindwe kurespond ipasavyo ndo maana unaambiwa wachezaji wakubwa inabidi wacontrol Sana maisha na nyenendo zao
 
King Ngwaba kwenye andiko lako hapo juu kwa nini hujamtaja michael edwards anayehudumu nafasi ya sporting director wa liverpool.

je wajua ya kwamba man utd hawana sporting director/ director of football na mchakato wa kumtafuta director of football umeshachukua takribani miezi 8 na bado hajapatikana DOF?

tafsiri yake ni kwamba kazi zote zinazoihusu klabu upande wa sekta ya fedha na hata sera na mikakati ya uwanjani msimamizi mkuu ni ed woodward tofauti na liverpool na tatizo ndio lipo hapo kwa sasa.

zamani tulikuwa na david gill kama CEO ambaye hakucheza soka lakini tulikuwa na manager mwenye nguvu na anayefahamu anachokifanya kwenye marketing hatimaye kazi kubwa ya david gill ikabaki kwenye ishu za ndani za uendeshaji wa klabu.

naamini huwezi kuzungumzia mafanikio ya liverpool bila ya kumtaja michael edward, liverpool katikati ya msimu mumefanya biashara nzuri ya kumuuza solanke kwa paundi millioni 19, coutinho kwa zaidi ya paundi millioni 90, juzi mumeamua kuachana na daniel sturridge na alberto moreno.

kuna mchezaji yeyote muliyemsajili miaka ya karibuni akashindwa kuendana na falsafa na misingi ilioanzishwa na klopp klabuni kwenu?

kwa manchester united hali ni tofauti bwana CEO anamuondoa louis van gaal muumini wa total football anamleta jose mourinho muumini wa kuweka ukuta. hii ina maana ya kwamba kila kocha anayewasili huasisi mfumo mpya wa kiuchezaji anaouamini yeye huku misingi ya man utd iliojengwa kwa miaka 26 ikizikwa rasmi kwa kufanya panic transfers baadhi ya nyakati.

bwana X anamsajili fellaini hatimaye bwana Y akija anasema fellaini hanifai.
bwana X anamsajili memphis depay hatimaye bwana W anamuondoa.
bwana Y anamsajili lukaku hatimaye bwana Z akija anasema rashford ni bora kuliko lukaku.
bwana X anamtaka perisic bwana CEO anasema perisic simuhitaji kwa sababu hana mvuto ni bora sanchez
bwana Z anasema martial hanifai bwana mwenyekiti anasema martial ndiye pele wetu mweusi.
bwana W anahitaji mlinzi wa kati hatimaye bwana CEO anamleta kwanza fred the red.

1119493
 
Hakuna uhusuiano wowote wa wa position ya CEO na kujua mpira.

Hakuna uhusiano wowote wa CEO na vipaji vya wachezaji kupanda au kushuka.

Hakuna uhusiano wowote wa CEO na Benchi la ufundi.

CEO wa Liverpool ni Peter Moore hakuwahi Kucheza mpira, kuujua mpira, wala hakuwahi kujishughulisha na Chochote kinachohusu mpira kabla ya kuteuliwa CEO na Liverpool mwaka 2017.
Ni mfanya biashara tu na si vyenginevyo! Kutokujua kwake mpira hakuhusiani na Vipaji vya Kina Mane, Salah, VVD and co.
Kwa historia Yake fupi unaweza hata ukapitia hapa → https://en.m.wikipedia.org/wiki/Peter_Moore_(businessman)

Na hawa CEO wa timu nyingi huteuliwa/Huajiriwa kwa taaluma za Kibiashara na si kwa kujua mpira kwani Mpira ni biashara, na cheo cha CEO ni cha kibiashara kusimamia mapato ya timu.

Narudia tena kuboronga/Kuporoka Vipaji kwa Wachezaji ni Poor coaching and Management kwa kocha.

Ni jambo la ajabu kumlaumu Woodward na kusema hajui mpira kwa Kushuka kiwango Martial au Pogba!! Ed anahusikaje na vipaji vya wachezaji? Is he Coach? Psychologist?

Huwezi kusema Ed hajui mpira wakati yeye ni Mfanya biashara! Hata kama ataondoshwa leo hii, basi mwengine atakayepewa nafasi si Cantons wala Dwight Yorke bali ni Mfanya biashara mwengine mwenye uwezo wa kumanage Business in best way kuingiza more profits, na si kuajiri mjuzi wa Mpira.

Sawala la kutoa hela za kunulia Wachezaje ni Chairman ndiye anayehusika kwa 100% na si only Ed kama watu wanavyojiaminisha.

Hivi Chairman/Mmiliki atenge Budget ya £300m kwa ajili ya Wachezaji then Ed anaoubavu wa kusema hatozitoa? Aende nazo wapi?

Sasa Kama Chairman/Mmiliki katoa £150m kwa ajili ya usajili, Ed afanyeje unadhani? Atatumia alichopewa.

Lazima watu wafahamu na kueka mipaka majukumu ya CEO na Technical Staffs.
CEO ana nguvu sana katika mafanikio ya soka ya timu husika na ni muhimu sana kuwa mtu wa mpira (sijasema mchezaji wa zamani wa mpira)

Mfano wako wa CEO wa Liverpool ni exceptional case, na hata hivyo si kwamba Liverpool amekuwa ana mafanikio kiasi hicho kama, Madrid, Barca au Ajax kwa miaka ya karibuni (kombe moja ndani ya miaka minga?) , kwa hiyo mfano ulioutoa naona kama katika context hii hauusiki.

Pia kwa United hakuna Sporting Director au structure inayofanya hiyo kazi, je Liverpool hawana Sporting director au Structure inayowajibika kusajili n.k?

Kuhusu mchango wa CEO kwenye kutoa hela ya usajili ni mkubwa sana, CEO ingekuwa ni shule basi yeye ni Second Master kwa mkuu wa shule, ingekuwa ni wizarani basi yeye ni Katibu Mkuu kwa waziri, kwa hiyo huwezi kudharau influence ya CEO kwenye kumshawishi tajiri atoe mpunga mrefu au mfupi kwa ajili ya usajili.

Kwa kuwa CEO interest yake kubwa ni biashara (possibly hata utendaji wake wa kazi unapimwa kwa kile club inachoingiza) ni lazima ata entartain kubana matumizi, na hapa ndio Sporting Director (na meneja kwa kiasi fulani) anapoingia ili ku balance Sporting issues na business issues

Ed anafeli kwa sababu inaonesha hata huko nyuma alikuwa hapendi kuwa na Sporting Director, obvious power yake itapungua, pengine ku share power na Sporting Director ndio chanzo cha kutopenda kuwa na hiyo figure klabuni
 
King Ngwaba kwenye andiko lako hapo juu kwa nini hujamtaja michael edwards anayehudumu nafasi ya sporting director wa liverpool.

je wajua ya kwamba man utd hawana sporting director/ director of football na mchakato wa kumtafuta director of football umeshachukua takribani miezi 8 na bado hajapatikana DOF?

tafsiri yake ni kwamba kazi zote zinazoihusu klabu upande wa sekta ya fedha na hata sera na mikakati ya uwanjani msimamizi mkuu ni ed woodward tofauti na liverpool na tatizo ndio lipo hapo kwa sasa.

zamani tulikuwa na david gill kama CEO ambaye hakucheza soka lakini tulikuwa na manager mwenye nguvu na anayefahamu anachokifanya kwenye marketing hatimaye kazi kubwa ya david gill ikabaki kwenye ishu za ndani za uendeshaji wa klabu.

naamini huwezi kuzungumzia mafanikio ya liverpool bila ya kumtaja michael edward, liverpool katikati ya msimu mumefanya biashara nzuri ya kumuuza solanke kwa paundi millioni 19, coutinho kwa zaidi ya paundi millioni 90, juzi mumeamua kuachana na daniel sturridge na alberto moreno.

kuna mchezaji yeyote muliyemsajili miaka ya karibuni akashindwa kuendana na falsafa na misingi ilioanzishwa na klopp klabuni kwenu?

kwa manchester united hali ni tofauti bwana CEO anamuondoa louis van gaal muumini wa total football anamleta jose mourinho muumini wa kuweka ukuta. hii ina maana ya kwamba kila kocha anayewasili huasisi mfumo mpya wa kiuchezaji anaouamini yeye huku misingi ya man utd iliojengwa kwa miaka 26 ikizikwa rasmi kwa kufanya panic transfers baadhi ya nyakati.

bwana X anamsajili fellaini hatimaye bwana Y akija anasema fellaini hanifai.
bwana X anamsajili memphis depay hatimaye bwana W anamuondoa.
bwana Y anamsajili lukaku hatimaye bwana Z akija anasema rashford ni bora kuliko lukaku.
bwana X anamtaka perisic bwana CEO anasema perisic simuhitaji kwa sababu hana mvuto ni bora sanchez
bwana Z anasema martial hanifai bwana mwenyekiti anasema martial ndiye pele wetu mweusi.
bwana W anahitaji mlinzi wa kati hatimaye bwana CEO anamleta kwanza fred the red.

View attachment 1119493
Aisee nilikuwa nataka kumjibu nikasema ngoja nipitie comment ili nione kama kuna mtu amejibu au wote wameridhika na uchambuz wake,umemjibu vile vile ambavyo nilitaka kumjibu, tatizo la Edwoord ni kufanya kazi zinazohtaji professional ya mpira, inyaoumia in coaching management, mana ndo inatakuwa kutoa endproduct, kocha anaangalia uwanjani yeye CEO anaangalia business, mtu wa kulink hvi vitu ni Sporting director ambaye hayupo,Ila CEO ndo anafanya kaz hyo wakat ni zero kwenye football, kwa vyovyote vile lazma kocha uchengane na gari la mshahara,.....
 
Back
Top Bottom