Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 22,323
- 33,711
Nilaangalia Jana mechi mbili ambazo Tahith Chong alikuwa anacheza so aggressive and so creative sasa kumletea huyu swala itambana tu .[emoji3][emoji3] Eti swala
Mkuu bado unapenda usajili wa Galacticos
Chong anahitaji angalau msimu 1 au 2 aende mkopo japo hata akibaki klabuni na kupata mechi kadhaa sio mbaya
Mbona Barcelona walimwamini Messi akiwa 17 tu ?