Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,585
Nilaangalia Jana mechi mbili ambazo Tahith Chong alikuwa anacheza so aggressive and so creative sasa kumletea huyu swala itambana tu .Eti swala
Mkuu bado unapenda usajili wa Galacticos
Chong anahitaji angalau msimu 1 au 2 aende mkopo japo hata akibaki klabuni na kupata mechi kadhaa sio mbaya
Mbona Barcelona walimwamini Messi akiwa 17 tu ?