Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Liverpool FC wamethibitisha kuondoka kwa alberto moreno pamoja na daniel sturridge ifikapo mwishoni mwa mwezi huu.

picha hii haina uhusiano wowote na taarifa ya hapo juu
1117849
 
Liverpool FC wamethibitisha kuondoka kwa alberto moreno pamoja na daniel sturridge ifikapo mwishoni mwa mwezi huu.

picha hii haina uhusiano wowote na taarifa ya hapo juu
View attachment 1117849
hahahaha mkuu nikipitiaga mawazo yako natamanigi kama niache kushabikia soka nihamie kwenye rugby tu.... Also Jovic to Madrid for Mil 70 is a done deal pending to medical hapo Madrid wametumia paun mil 120 kwa wachezaji wawili tu.... Edee militao kutoka Porto na Jovic bado hazard maybe bado naamini one midfielder hapo sisi tunatoa macho tu....big up bro....

Tungekuwa na foitball director tungekuwa tunamatumaini kidogo ila toka mwaka jana mpaka leo huyo director hajapatikana na sidhan kama atapatikana

Let us cheer up our selves labda deals zetu zitakamilika tarehe 17 mwezi huu baada ya game za league of nations kuchua break fupi
 
hahahaha mkuu nikipitiaga mawazo yako natamanigi kama niache kushabikia soka nihamie kwenye rugby tu.... Also Jovic to Madrid for Mil 70 is a done deal pending to medical hapo Madrid wametumia paun mil 120 kwa wachezaji wawili tu.... Edee militao kutoka Porto na Jovic bado hazard maybe bado naamini one midfielder hapo sisi tunatoa macho tu....big up bro....

Tungekuwa na foitball director tungekuwa tunamatumaini kidogo ila toka mwaka jana mpaka leo huyo director hajapatikana na sidhan kama atapatikana

Let us cheer up our selves labda deals zetu zitakamilika tarehe 17 mwezi huu baada ya game za league of nations kuchua break fupi
Tanayzer umemaliza kila kitu ,andiko lako limebeba dhima ya comment yangu hapo juu.

liverpool wanavunja rasmi mahusiano na daniel sturridge ambaye msimu uliopita amecheza mechi 18 za ligi kuu ya uingereza huku kwetu man utd wanampa mkataba mpya phil jones ambaye msimu uliopita amecheza mechi 18 za ligi kuu ya uingereza.

tatizo si mechi sawa walizocheza bali jones na daniel sturridge ni ndugu wawili wasiojuana (majeruhi ya mara kwa mara kila msimu).
tofauti yao kubwa ni kwamba mmoja ameajiriwa sehemu ambayo uongozi wake una dhamira ya dhati kurudisha ubora wa taasisi yao na mmoja ameajiriwa ofisi ambayo uongozi wake bado unaamini kwa kutumia mbinu zile zile za kizamani licha ya kuelekea kushindwa wana uwezo wa kuirudisha kwenye kilele cha ubora taasisi yao.

timu inayombembeleza juan mata asaini mkataba mpya imepoteza muelekeo, arsenal wameachana aron ramsey, danny welbeck.
timu inayotumia wiki tatu kwa ajili ya kubembeleza usajili wa mchezaji mmoja wa daraja la kwanza imepoteza muelekeo.
timu inayomaliza msimu wa ligi kuu bila ya kuwa na target za uhakika imepoteza muelekeo.

hivi ulishawahi kusikia real madrid, man city, barcelona, bayern munich, juventus, psg kuvumishiwa kuwahitaji wachezaji takribani 60 kwa dirisha moja la usajili?
kama hoja ni umaarufu wa man utd unatumiwa vibaya na media ili kutengeza faida kupitia biashara zao hivi hao wengineo si maarufu?

madrid wamemdhamiria eder militao wamefanikiwa kumsajili katikati ya msimu, cha ajabu eder militao alivumishiwa kwanza kutakiwa na manchester united
madrid wamemdhamiria jovic wamefanikiwa kumsajili.
madrid wanaelekea kukamilisha usajili wa hazard muda wowote.
natamani madrid muda huu wamgeukie bruno fernandez badala ya pogba naamini watamsajili kuliko sisi.

man utd ndio timu inayoongoza kushindwa kufanikisha usajili wa target lengwa (target A) za kocha mkuu ndio maana kila kocha aliyeondoka ametoa malalamiko ya uendeshwaji mbovu wa klabu.
 
Manchester [United] need a coach, I’m the man to do it,” he told FourFourTwo.

“I know they sell lots of shirts around the world, but they need to win trophies, too. I can do that for them.”


“With United I liked Ander Herrera. Paul Pogba? Doesn’t work hard enough," he said.

By Maradona
 
Tanayzer umemaliza kila kitu ,andiko lako limebeba dhima ya comment yangu hapo juu.

liverpool wanavunja rasmi mahusiano na daniel sturridge ambaye msimu uliopita amecheza mechi 18 za ligi kuu ya uingereza huku kwetu man utd wanampa mkataba mpya phil jones ambaye msimu uliopita amecheza mechi 18 za ligi kuu ya uingereza.

tatizo si mechi sawa walizocheza bali jones na daniel sturridge ni ndugu wawili wasiojuana (majeruhi ya mara kwa mara kila msimu).
tofauti yao kubwa ni kwamba mmoja ameajiriwa sehemu ambayo uongozi wake una dhamira ya dhati kurudisha ubora wa taasisi yao na mmoja ameajiriwa ofisi ambayo uongozi wake bado unaamini kwa kutumia mbinu zile zile za kizamani licha ya kuelekea kushindwa wana uwezo wa kuirudisha kwenye kilele cha ubora taasisi yao.

timu inayombembeleza juan mata asaini mkataba mpya imepoteza muelekeo, arsenal wameachana aron ramsey, danny welbeck.
timu inayotumia wiki tatu kwa ajili ya kubembeleza usajili wa mchezaji mmoja wa daraja la kwanza imepoteza muelekeo.
timu inayomaliza msimu wa ligi kuu bila ya kuwa na target za uhakika imepoteza muelekeo.

hivi ulishawahi kusikia real madrid, man city, barcelona, bayern munich, juventus, psg kuvumishiwa kuwahitaji wachezaji takribani 60 kwa dirisha moja la usajili?
kama hoja ni umaarufu wa man utd unatumiwa vibaya na media ili kutengeza faida kupitia biashara zao hivi hao wengineo si maarufu?

madrid wamemdhamiria eder militao wamefanikiwa kumsajili katikati ya msimu, cha ajabu eder militao alivumishiwa kwanza kutakiwa na manchester united
madrid wamemdhamiria jovic wamefanikiwa kumsajili.
madrid wanaelekea kukamilisha usajili wa hazard muda wowote.
natamani madrid muda huu wamgeukie bruno fernandez badala ya pogba naamini watamsajili kuliko sisi.

man utd ndio timu inayoongoza kushindwa kufanikisha usajili wa target lengwa (target A) za kocha mkuu ndio maana kila kocha aliyeondoka ametoa malalamiko ya uendeshwaji mbovu wa klabu.
Sasa kama wachezaji hawaitaki united unataka wafanyaje.. Hivi kwa akili yako mtu kama hazard anaweza kuacha kwenda Madrid ili aje united??... Anaweza kuja ila ni lazima mvunje pochi .. Hicho ndicho kimemfanya Herrera aondoke.. Alihitaji Pesa nono kwenye new contract ...



Ni rahisi sana kuongea
 
Man united haina mvuto tena kwa talented players zaidi ya kuwa kituo cha kupokelea mafao tu ndiyo maana mpaka sasa wanahangaika kufanya usajili bila mafanikio.

Inatia simanzi sana ukiyaangalia mahitaji ya timu na hakuna dalili yoyote inayoonyesha uhitaji wa kupata wachezaji.

Kadri disrisha la usajili linavyopamba moto ndivyo wachezaji wanavyopanda dau na timu zitatukazia kwa sababu ya kugundua tuko desperate kuziba mashimo.

Ndani ya wiki mbili Man united imehusishwa na wachezaji karibia 65 na hakuna hata mmoja ambaye kuna uelekeo wa kuja man united.

Jana kwa Mara ya kwanza tumehusishwa kumhitaji James Madison wa Leicester city sijui kama yatakuwa ni ya kweli haya.

Pale united wale flops wote hakuna hata mmoja anayehitajiwa na team yoyote hii maana yake wataendelea kuwepo klabuni wakila pesa za klabu bila kupiga kazi.

Uongozi wa klabu umefanya mabadiliko ya coaching staff three times lakini hakuna mabadiliko yoyote ni wakati sasa wa uongozi wenyewe kujitafakari kama bado una uwezo wa kuwa uongozi wa united .
 
hahahaha mkuu nikipitiaga mawazo yako natamanigi kama niache kushabikia soka nihamie kwenye rugby tu.... Also Jovic to Madrid for Mil 70 is a done deal pending to medical hapo Madrid wametumia paun mil 120 kwa wachezaji wawili tu.... Edee militao kutoka Porto na Jovic bado hazard maybe bado naamini one midfielder hapo sisi tunatoa macho tu....big up bro....

Tungekuwa na foitball director tungekuwa tunamatumaini kidogo ila toka mwaka jana mpaka leo huyo director hajapatikana na sidhan kama atapatikana

Let us cheer up our selves labda deals zetu zitakamilika tarehe 17 mwezi huu baada ya game za league of nations kuchua break fupi
Nafikiri man united imekosa futibol director ambaye Woodward anamtaka

Kama wamekosa huko Europe aje na afrika huenda akaridhishwa na CV ya Sunday Kayuni au Amy Ninje
 
*Maradona🔈: I'm the Man to Bring Trophies to Man Utd♦️*

Diego Maradona says he is the man to fix Manchester United, with the Argentine legend claiming that he could lead the club back to its former glory.

Maradona is currently managing Dorados in Mexico's second division, having fallen just short of promotion in two successive campaigns.

Manchester United, meanwhile, are currently managed by Ole Gunnar Solskjaer, who replaced Jose Mourinho on an interim basis mid-season before being given the job permanently.

But Maradona says he believes that he is the one who could bring trophies back to Old Trafford if given the chance to manage Manchester United.

“If Manchester [United] need a coach, I’m the man to do it,” he told FourFourTwo.

“I know they sell lots of shirts around the world, but they need to win trophies, too. I can do that for them.”

“With United I liked Ander Herrera. Paul Pogba? Doesn’t work hard enough," he said.

“I played at Old Trafford [in the 1983/84 Cup Winners’ Cup quarter-final]. What noise, like La Bombonera.”

While he's angling for the Man Utd job, Maradona did admit that he has become a fan of Manchester City, a club led by his former son-in-law.
 
Sasa kama wachezaji hawaitaki united unataka wafanyaje.. Hivi kwa akili yako mtu kama hazard anaweza kuacha kwenda Madrid ili aje united??... Anaweza kuja ila ni lazima mvunje pochi .. Hicho ndicho kimemfanya Herrera aondoke.. Alihitaji Pesa nono kwenye new contract ...



Ni rahisi sana kuongea
Mkuu kuna watu wakazi sana wapo sehem ambayo man united ikienda hawawezi kataa ila je united inaprohect nzuri? Shida inaanzia hpa tunakosa wachezaji sababu ya project yetu mbaya na hatuwezi badilisha hyo project mpaka tuwapate watu sahihi katika vitengo sahihi (Football director na technical director) Au mpaka siku timu ionekane inapambana kushiriki Europa maana champions league itakuwa imeishaenda mbali na uwezo wetu.....
 
Back
Top Bottom