Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,524
- 5,782
Kwahio huyo robertson ndo anafaaa? Hao wachezaji uliwataja hawajawaahi kufika fainali champions league?
De light nasikia mlisema mwanzoni kwamba atakuja kua mnene tipwatipwa tetema..leo anatakiwa na klabu kubwa duniani..
Man utd bora inunuliwe tu ipate mwekezaji mwenye akili kama shekhe mansour na kocha anayejielewa kama pep
De light nasikia mlisema mwanzoni kwamba atakuja kua mnene tipwatipwa tetema..leo anatakiwa na klabu kubwa duniani..
Man utd bora inunuliwe tu ipate mwekezaji mwenye akili kama shekhe mansour na kocha anayejielewa kama pep
Robertson alisajiliwa kutokea Hull City leo hii anacheza Champions league tena fainal mbili mfululizo, unataka nikuambie kitu kuhusu Gini wa Liverpool??
Man United ilishasajili Di Maria kutoka Madrid, Pogba kutoka Juve, Ibrahimovic kutoka PSG, Schwensteiger kutoka Bayern, je wameifanyia nini United??