D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
upo sahihi na hiyo hali wengine tumeshaizowea kwa muda mrefu.Uvumi mwingi magazetini kuihusu man united si wa kweli unatengenezwa kukuza soko la wachezaji tu.
umemuonaje huyu kijana?
ok hatuna uwezo wa kumn'goa eriksen basi mpaka huyu atushinde kama tunamuhitaji kweli.
overhaul ya waingereza wengi itatuangusha na mapema sana kabla ya ligi haijaanza.
tusije tukafanya mchezo huo.