D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
ujinga na upumbavu wetu ndio unaanzia hapo, mwanzo nilidhani timu yetu haina utofauti mkubwa sana na manchester city kwa kufanya mlinganisho wa wachezaji.Hivi bosi.
City ipo vzr na pep kapewa £200m
Utd na majanga ayo kapewa kiasi iko iko.
Sielewe vzr wanaposema utd ni timu kubwa na yenye mkwanja.
kwa sasa nimejifunza ya kwamba timu yetu muda si mrefu itazidiwa hata na arsenal kwa kuangalia uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.
real madrid wameweka takribani euro millioni 500 kwa ajili ya usajili msimu huu, kiupande wetu tumeweka paundi millioni 200.
hii pesa ingelitosha kama bwana OGS angelimaliza msimu akiwa tayari ameshajenga msingi mkuu wa timu kiuchezaji.