D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
wamekata moto ghafla, martial msimu wake wa kwanza alikua mfungaji bora(Martial), (Rashford) kuhusu hawa makinda sidhani kama kuna mtu anataka kusikia habari zao.
wamekata moto ghafla, martial msimu wake wa kwanza alikua mfungaji bora(Martial), (Rashford) kuhusu hawa makinda sidhani kama kuna mtu anataka kusikia habari zao.
Salford City are promoted to the English Football League for the first time, beating AFC Fylde at Wembley.Salford wana ishu gani anaejua anijuze please
Umemsahau Louis Nani.LVG aliuza Hernandez, RVP, Falcao loan ilivyoisha akapiga chini, badala yake akamtegemea big Fella as a pin striker.
alienda hovyo kwenye baadhi ya maamuzi yake
Rafael
Kagawa
Di Maria
sajili bora
Herrera
Romero
Shaw
(Martial), (Rashford) kuhusu hawa makinda sidhani kama kuna mtu anataka kusikia habari zao.
huyu unaweza kusema sawa tu sababu hata huko alipoenda hakuwa na maajabu tena Valencia, Lazio (loan)Umemsahau Louis Nani.
tuseme juventus wamechanganyikiwa na kipigo cha AJAX mpaka leo?
Italian sources claim Manchester United and Juventus are prepared to make a swap deal involving Alexis Sanchez and Paulo Dybala.
Inasemekana spurs wanamtazama kama mrithi wa Ericksenliverpool wamekuwa wakimnyemelea kwa mujibu wa magazeti ya kiingereza
Alimuuza pia Rafael na KeaneAjabu ni kuwa Jony Evans alikuwa Manchester United akauzwa na LVG.
Inasemekana spurs wanamtazama kama mrithi wa Ericksen
Sijui mkuu, kama mpaka sisi huku Nanjilinji tunawaonaSisi scout wet huwa wanafanyia kazi maeneo gani,au hawapo siku hizi?
Hizi rumours zingekuwa kweli Zidane angekuwa kocha wa United,kina Bale,Varane wangekuwa wachezaji wa Unitedtuseme juventus wamechanganyikiwa na kipigo cha AJAX mpaka leo?
Italian sources claim Manchester United and Juventus are prepared to make a swap deal involving Alexis Sanchez and Paulo Dybala.
tuombe iwe hivyo na si kinyume.Inasemekana spurs wanamtazama kama mrithi wa Ericksen
kuondoka kwa sanchez pengine na paul pogba kutamlazimu sheikh ed woodward atafute mchezaji mwengine atakayekuwa na nguvu ya ushawishi kwenye biashara za klabu, sishangai kuona tetesi za dyabala zimekithiri kipindi hiki.Hizi rumours zingekuwa kweli Zidane angekuwa kocha wa United,kina Bale,Varane wangekuwa wachezaji wa United
Since CR7 amekuja Dybala anapigwa benchi,Juventus wameamua kumuuza Dybala ni bora wapate £80m-£120m kuliko aendelee kukaa benchi
Talking about history. Even the late Mubutu was once the president of ZaireWin EPL 20 tmes and then come back
Yesterday was your 7th EPL title
You truly are noisy neighbour
hahahaha nakuona MAN U halisi
Umenena vyema mkuuKwenye psychology Kuna principle inaitwa "Consistency"
Kuna wakati hata wewe, hata mimi huwa tunafanya maamuzi ya hovyo lakini ili tuoneshe/tuonekane tulifanya maamuzi sahihi, tunaendelea nayo japo tuna ugulia maumivu
Kupitia hii principle Ed hawezi kumfukuza OGS kirahisi, na safari hii akimfukuza, yeye anaweza kuonekana pia ni tatizo, na yeye atafukuzwa