DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
FactMkuu hii Mambo ya Mafanikio na biashara bila moteo uwanjani........ Tumeshai jadiri Sana humu ndani.........
Hata wamiliki wa city sio wajinga,
City timu ikiendela na Moto huu watakuja kufanya Sana biashara mbeleni,....
Utd ikiendelea na mkwamo huu bishara zitayumba Sana mbeleni....