Mkuu hii Mambo ya Mafanikio na biashara bila moteo uwanjani........ Tumeshai jadiri Sana humu ndani.........
Hata wamiliki wa city sio wajinga,
City timu ikiendela na Moto huu watakuja kufanya Sana biashara mbeleni,....
Utd ikiendelea na mkwamo huu bishara zitayumba Sana mbeleni....
Fact
 
Baada ya Ferdinand, sasa ni Fletcher... Rumors, Rumors, Rumors,
Screenshot_20190513-220632.jpeg
 
Kwa man u ,city kweli hataweza kuipindua kwenye upande wa mashabiki. Ni ngumu hususan pale England...
World wide it will take more than 5 years kukaribia.
Hata world wide, sio miaka 5 TU....... Utd Ina zaidi ya fans 60million china peke yake........
 
zimebaki siku mbili kabla dirisha la usajili kufunguliwa ligi kuu England. United bado haina head of recruitment.
wakati huo huo ED Woodward kuna kipindi alikaririwa akisema hatafanya makosa aliyofanya kwa Sanchez, ila bado anarudia yale yale naweza sema anakula matapishi yake kwa huyu Pogba. Kuna vyanzo vinasema Solskjaer amemwambia mtendaji mkuu wa United kama Pogba anataka kwenda amuache aende lakini yeye anamuangalia Pogba kwenye mambo ya biashara na anataka kumuongezea mkataba hili ni KOSA alilosema hatalirudia.
wakati huo huo, wachezaji wa United wamepewa likizo mpaka july na kocha amewaambia kila mtu achukue kila kitu chake wasiache hata kimoja kwa maana baadhi ya wachezaji hawatarudi tena pale AON complex.
 
zimebaki siku mbili kabla dirisha la usajili kufunguliwa ligi kuu England. United bado haina head of recruitment.
wakati huo huo ED Woodward kuna kipindi alikaririwa akisema hatafanya makosa aliyofanya kwa Sanchez, ila bado anarudia yale yale naweza sema anakula matapishi yake kwa huyu Pogba. Kuna vyanzo vinasema Solskjaer amemwambia mtendaji mkuu wa United kama Pogba anataka kwenda amuache aende lakini yeye anamuangalia Pogba kwenye mambo ya biashara na anataka kumuongezea mkataba hili ni KOSA alilosema hatalirudia.
wakati huo huo, wachezaji wa United wamepewa likizo mpaka july na kocha amewaambia kila mtu achukue kila kitu chake wasiache hata kimoja kwa maana baadhi ya wachezaji hawatarudi tena pale AON complex.

Tatizo la man utd linaanza na pogba halafu sosha na waingereza wake.
Yaani klabu yangu inatia huruma.
 
Naona Griezman kaweka wazi kua msimu ujao hatakuwepo Atletco de Madrid.
Ghafla tu utaona united wanajikosha hlf at the end, no signing.
Griezman kuja united ni impossible japo ilikaribia kidg tu kipind cha nyuma. Ana harufu ya camp nou hiv.
Barca ni kama vile hataonekana kivile...sadly to Cotn
 
Linapokuja suala la Wachezaji wa Kiengereza hapa Kwa Man United na Liverpool basi ushauri wa pekee kwenye Bench lenu la ufundi basi asiwepo Muengereza hata mmoja ndiyo mutafanikiwa...

Lakini kosa la kuweka Malengend kina OGS, Rio au Legend wenu yeyote basi mutalia kama tulivyolia sisi.

Nakumbuka kipindi kidogo tu alichokaa Hodgson na Dalglish kwenye timu yetu basi yalitukuta ya waingereza karibia wore kwenye kikosi. (Carragher, Flanagan, Johnson, Charlie Adam, Henderson, Downing, Carroll, Lambart, Gerrard, Sturridge, Wisdom, Ibe, n.k.

Hawa makocha Malegend au Wenye asili ya GB wanashida sana hata kana ni Legend.

Na ndiyomana naomba kila Siku Gerrard asijekuwa kocha wa Liverpool
 
Linapokuja suala la Wachezaji wa Kiengereza hapa Kwa Man United na Liverpool basi ushauri wa pekee kwenye Bench lenu la ufundi basi asiwepo Muengereza hata mmoja ndiyo mutafanikiwa...

Lakini kosa la kuweka Malengend kina OGS, Rio au Legend wenu yeyote basi mutalia kama tulivyolia sisi.

Nakumbuka kipindi kidogo tu alichokaa Hodgson na Dalglish kwenye timu yetu basi yalitukuta ya waingereza karibia wore kwenye kikosi. (Carragher, Flanagan, Johnson, Charlie Adam, Henderson, Downing, Carroll, Lambart, Gerrard, Sturridge, Wisdom, Ibe, n.k.

Hawa makocha Malegend au Wenye asili ya GB wanashida sana hata kana ni Legend.

Na ndiyomana naomba kila Siku Gerrard asijekuwa kocha wa Liverpool
Naam.
 
Back
Top Bottom