Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuvunja mkataba wa OGS ungekua unavunjika kirahis, bas wake ungevunjwa mapema sana
Kwenye psychology Kuna principle inaitwa "Consistency"

Kuna wakati hata wewe, hata mimi huwa tunafanya maamuzi ya hovyo lakini ili tuoneshe/tuonekane tulifanya maamuzi sahihi, tunaendelea nayo japo tuna ugulia maumivu

Kupitia hii principle Ed hawezi kumfukuza OGS kirahisi, na safari hii akimfukuza, yeye anaweza kuonekana pia ni tatizo, na yeye atafukuzwa
 
Ole naye ni kama hajui analolifanya..

Tuzoee tu maumivu next season

Mimi nilisema mtu anayeweka matumaini kwa Ole ana mtindio wa ubongo, Ole huyu huyu aongoze wordclass football club kama Man u kweli, hata kama akipewa billion moja still hataifikisha popote timu, hana mbinu..Mafanikio yake yatakuwa kuchukua FA, Capital na kuingia top 4,...
 
wasiojuwa mpira hii habari watajifanya hawaioni.
LCFC's James Maddison was the only player to create 100 goalscoring chances in the Premier League this season & was the first English player to create 100+ in a single Premier League campaign since Leighton Baines in 2012-13 (116).
1095762
 
Partly you are right mkuu, partly you are not

Liverpool is Man Utd fiercest rival. This is the order, Liverpool, City, Leeds, Chelsea, Arsenal (according to polls/research)

Man Utd and Liverpool are very close in terms of success, in terms of trophies won, that is different with Man City, that's why even Sir Alex once regard City as just noisy neighbour

It would be 19th times, just one less, should Liverpool become champion yesterday. City was crowned 7th times. United is 20 times champion, who do you think threaten more their record?

Then I agree with you that, for United fan it hurt to chearing City to win title but you can't compare it with Liverpool

It is very true that now, we are in shameful state, we hope it is temporary

But Liverpool are in tricky situation, you are on high, but you don't win trophies..... That is much bigger problem, because you should take your chance when you have the opportunity. Remember not all all years will be rosy, this was your time..... But you fail to do what should be done

Tulikuwa Vizuri lakini tumekutana na timu iliyoviziri zaidi yetu, ni Si rahisi kushinda EPL ahead of City hata Msimu mjao.

Kwani Anaweza Akatupa £200m nyengine kwenye Next Window jambo ambalo Liverpool hatuwezi kufanya kwa Just one Window.

Kwasasa Hakuna Mwenye uwezo wa Kushindana na Oil Money
 
Mimi nilisema mtu anayeweka matumaini kwa Ole ana mtindio wa ubongo, Ole huyu huyu aongoze wordclass football club kama Man u kweli, hata kama akipewa billion moja still hataifikisha popote timu, hana mbinu..Mafanikio yake yatakuwa kuchukua FA, Capital na kuingia top 4,...
Eti mpaka mechi ya mwisho ambayo haina impact yoyote kwenye league table ameendelea kuwachezesha akina young na smalling badala ya kuwachezesha makinda ya academy matupu jana.
 
Tulikuwa Vizuri lakini tumekutana na timu iliyoviziri zaidi yetu, ni Si rahisi kushinda EPL ahead of City hata Msimu mjao.

Kwani Anaweza Akatupa £200m nyengine kwenye Next Window jambo ambalo Liverpool hatuwezi kufanya kwa Just one Window.

Kwasasa Hakuna Mwenye uwezo wa Kushindana na Oil Money
FFP rules zikiwa fully applied, oil money haitosaidia kitu. Tatizo UEFA ipo corrupt!
 
wasiojuwa mpira hii habari watajifanya hawaioni.
LCFC's James Maddison was the only player to create 100 goalscoring chances in the Premier League this season & was the first English player to create 100+ in a single Premier League campaign since Leighton Baines in 2012-13 (116).
View attachment 1095762
Madison huwa namkubali sana,sidhani kama msimu ujao ataendelea kuwepo leicester,dogo anajua sana. Lakini unashangaa leicester wana huyu dogo halafu sisi tunae lingard. Kweli tumepatikana.
 
Ni Chelsea tu ndiye aliyekutwa na Hatia kwasababu Boss wake ni Russian hated by all Europeans including UK.

Lakini Man City na PSG wanaendelea Kupeta na kila Siku chunguzi zao Zinafeli.
Man city na PSG wamepeta kwa msaada wa UEFA (infantino amehusika). Juzi kati hapo ishu zimevuja na wamedai kuwa watafanya tena uchunguzi.

Wanachofanya hwa jamaa ni ku overprice deals zao ili ku cover deficit. Na hii issue wamefundishwa na UEFA wenyewe.
 
wasiojuwa mpira hii habari watajifanya hawaioni.
LCFC's James Maddison was the only player to create 100 goalscoring chances in the Premier League this season & was the first English player to create 100+ in a single Premier League campaign since Leighton Baines in 2012-13 (116).
View attachment 1095762
Huyu wa kumreplace Lingard kabisa pale Man u
 
upo sahihi yule mzee hakumtendea haki kabisa, jonny evans hata kama amezungukwa na maadui watatu humkuti akibutua mipira ovyo.
ndio maana msimu uliopita guardiola alimuhitaji sana lakini dau lilikuwa kubwa ukilingansha na umri wa johnny evans
LVG aliuza Hernandez, RVP, Falcao loan ilivyoisha akapiga chini, badala yake akamtegemea big Fella as a pin striker.

alienda hovyo kwenye baadhi ya maamuzi yake
Rafael
Kagawa
Di Maria

sajili bora
Herrera
Romero
Shaw
(Martial), (Rashford) kuhusu hawa makinda sidhani kama kuna mtu anataka kusikia habari zao.
 
Matokeo yanaumiza sana.... alfu huyu ole asipoangalia anaenda fukuzwa mapema sana kwa ujinga waleo anadai waliocheza wamecheza vizuri. Timu itachezaje vizuri alfu ifungwe na Cardiff iliyoshuka daraja?? ......mara last months anajichekesha et we won't sign 7 players or 6 we will add 2 or 3 signings, mpaka anaudhi huyu mnorway gan mzembe hv........ tunakoelekea anaenda kutuumiza zaidi na itamcost kazi yake kabla hata ya december.....nlitegemea ole atupe matumaini ila yeye ndo anajifanya philosopher et huwezi sajili wachezaji 7 shenz kabisa.....so tutaendelea kumwagilia maji ukuta wa Jones na smalling wanazingua kila mda tu jamaa anaenda Feli sababu ya upole uliopitiliza.....

Hii sio timu kabisa na wachezaji naona wanamgomo pale and baadhi ya taarifa zaleo znadai bonus za Sanchez na Pogba ndiyo chanzo, sasa timu itakaaje na wachezaji ambao wanaangalia bonus badala ya kuangalia uwezo wao na uwezo wa timu..... Sanchez akibaki Old Trafford itakuwa kaburi letu kuelekea msimu ujao.... Pogba anauwezo kiasi lakini kucheza na pogba ni sawa na timu icheze na wachezaji 10 uwanjani....anachojisikia ndo anafanya..... Ole aache upumbavu na i wish inter and Madrid waje wawachukue Sanchez na pogba waondoke nao hao jamaa wanaleta sana hasira.....Utozi mwingi na dance video nyingi uwanjani 0, pumbavu kabisa huyo lingard sio level hata ya trossard wa Genk na bado tu ole anachezesha hili jinga linalowaza kudance tu.....

Sijui Manchester united inaelejea wapi maana sioni mabadiliko yoyote... Ferguson ndo katuu mara ya 2 kwa Ole....tungeweza subiri hadi mwisho Wa msimu huu, huenda tungepata kocha wa kueleweka
I feel you bro
 
Back
Top Bottom