Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daaah...! Sawa, so unadhani nini kifanyike ss hv ili kuinusuru Man Utd kuzidi kupoteza ubora wake
Kitu cha kwanza ni bodi yenyewe kujitathimini kama wamekubali man u iwe hivyo.

Pili, wachezaji pia wajiulize kama wana thamani ya kuchezwa pale OT.

Tatu, Kocha atafutwe mwenye uzoefu/tamaa ya mafanikio, Potchetino anaweza kufaa zaidi.
 
Kitu cha kwanza ni bodi yenyewe kujitathimini kama wamekubali man u iwe hivyo.

Pili, wachezaji pia wajiulize kama wana thamani ya kuchezwa pale OT.

Tatu, Kocha atafutwe mwenye uzoefu/tamaa ya mafanikio, Potchetino anaweza kufaa zaidi.
Hapo kwenye bodi nimekuelewa sana Chifu na ndilo jipu linaoitafuna hata timu yangu Chelsea nikiwa Mshabiki wake mahiri kabisa.

Mfano binafsi sidhani kama Ed Woodward anazo hata chembe chembe kdg za kuwiwa maumivu na mwenendo mbovu wa timu toka rohoni mwake zaidi ya kuangalia maslahi yake binafsi tu.
 
Tukirudi kwa Wachezaji kiukweli Pogba, Sanchez, Young, Rashford, Evans, Lingard, Lukaku na hata Matic wanastahili kuichezea Man Utd coz wamekaa Kizee zee na utoto mwingi sana kiasi kunahitajika mabadiliko yao vyovyote iwezekanavyo.
Kitu cha kwanza ni bodi yenyewe kujitathimini kama wamekubali man u iwe hivyo.

Pili, wachezaji pia wajiulize kama wana thamani ya kuchezwa pale OT.

Tatu, Kocha atafutwe mwenye uzoefu/tamaa ya mafanikio, Potchetino anaweza kufaa zaidi.
 
Kocha Pochetinho kama yuko tayari mchukueni lkn kama hayuko tayari inabidi mumvumilie taratibu mkiangalia makocha kama wa Wolves na Ajax wanaweza kuwafaa kulingana na philosophy ya Man Utd.
Kitu cha kwanza ni bodi yenyewe kujitathimini kama wamekubali man u iwe hivyo.

Pili, wachezaji pia wajiulize kama wana thamani ya kuchezwa pale OT.

Tatu, Kocha atafutwe mwenye uzoefu/tamaa ya mafanikio, Potchetino anaweza kufaa zaidi.
 
Tukirudi kwa Wachezaji kiukweli Pogba, Sanchez, Young, Rashford, Evans, Lingard, Lukaku na hata Matic hawastahili kuichezea Man Utd coz wamekaa Kizee zee na utoto mwingi sana kiasi kunahitajika mabadiliko yao vyovyote iwezekanavyo.
Kitu cha kwanza ni bodi yenyewe kujitathimini kama wamekubali man u iwe hivyo.

Pili, wachezaji pia wajiulize kama wana thamani ya kuchezwa pale OT.

Tatu, Kocha atafutwe mwenye uzoefu/tamaa ya mafanikio, Potchetino anaweza kufaa zaidi.
 
Kweli kabisa, nilikosea kuandika wanastahili badala ya "hawastahili" ndiyomaana nimerudia tena kutuma hiyo sms.

Lukaku akipata wanaojua kutengeneza final assists kama Sesc Fabrigass ni Forward m1 mzuri sana lkn tatizo pale Man Utd bado hapajawa na Watu kama hao zaidi ya Pogba pekee ila tatizo Pogba mwenyewe naye ni mzito sana ktk mipira ya counter attacks.
B

Binafsi naona hawastahili isipokuwa Lukaku.
 
Majirani,poleni sana yaani sijaiona man mbovu kama hii.Ila mlikuwa mnatucheka tulifikaje miaka 15 bila kuchukua EPL,ila jibu mnalo,huyu mmasai wenu atawalaza na panadol msimu 2019/2020.
 
Dah aiseee hii man utd yangu naichekiiii nacheka tu nasema hiiiiiiiiiiiii
 
Tukirudi kwa Wachezaji kiukweli Pogba, Sanchez, Young, Rashford, Evans, Lingard, Lukaku na hata Matic wanastahili kuichezea Man Utd coz wamekaa Kizee zee na utoto mwingi sana kiasi kunahitajika mabadiliko yao vyovyote iwezekanavyo.
Evans gani unayemzungumzia ww mkuu?au wa CARDIFFCITY2-MANURE0?
 
Mpira ni mchezo usio na adabu hata kidogo hivi huyu OGS mliyekuwa mnamuimba kwa mapambio ya kila aina baada ya game ya PSG leo mnatiririshia maneno ya shombo hivi?

Zahera anawafaa nyinyi
 
Back
Top Bottom