Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester united wanahitaji kubadili falsafa ya uchezaji [Legacy yao ya Ferguson] na kuingia kwenye pressing style!

Modern football iko hivyo!
Tunapaswa kujipa muda zaidi kuulea mtindo huu mpya Wa kucheza!

Sioni kama tatizo liko kwa wachezaji!
Blueprint ya Ferguson inaitafuna klabu! Tubadili kabisa falsafa ya kucheza, nafikiri Liverpool, Manchester city, Asernal wanaweza kuwa somo kubwa sana kwetu.

Tuache kulaumu wachezaji wetu
Style ya OGS ni pressing na counter attack mkuu

Ndio maana anapenda wachechaji wenye ile mentality ya "kufia timu"

Amemkopi SAF mambo mengi lakini pia anatumia hiyo style ya ku press wakati timu haina mpira

Pressing style huwa ina force timu pinzani kufanya makosa

Nitakupa mifano kadhaa. Magoli 2 ya kwanza tuliyopata dhidi ya PSG kule Paris ni matokeo ya pressing. Dakika 10 au 15 za kwanza kule Nou Camp kwenye robo fainali tulianza kwa pressing ya hatari.

Lakini unawezaje kucheza hiyo style kwa timu ambayo kwenye preason haikuandaliwa kucheza style hiyo. Kumbuka kabla ya kuja OGS, timu yetu ilikuwa ya pili au ya kwanza kwa timu zilizokimbia kilometa cache (timu wavivu) kwenye EPL

Kwa miezi hii michache, ameshindwa kutumia hiyo style ipasavyo sababu kucheza kwa ile style unahitaji proper pre season mkuu, inahitaji a real fit physicality
 
Rufaa yako imekataliwa

Misimu 2 ya usajili hautasajili

Hazard anaondoka

Odoi anaondoka

Cahil anaondoka

Timu isiposhuka daraja nitawapongeza

Wewe unapaswa kuwa mpole kuliko shabiki wa United
Hawawezi waachia hao wachezaji hata iweje.
 
Hawawezi waachia hao wachezaji hata iweje.
Hazard ana miaka 28/29 anajua pengine asipoenda Madrid mwaka huu, hatapata tena fursa ya kuja kucheza Madrid..... Maana akiwa na miaka 30 msimu ujao hatawavutia tena.

Kwenye mkataba wake amebakiza mwaka mmoja akigoma kusaini mkataba mpya kama njia ya kulazimisha kwenda Madrid, msimu ujao anaondoka bure na dirisha hili wakiamua kumuuza wana uhakika wa kuingiza si chini ya £80 milion. Bora aondoke mwakani bure au waingize £80milion+

Cahil ameshatibuana na Sari, juzi kamchana live, kasema Sari haeshimu watu waliofanya makubwa pale Chelsea. Isitoshe mkataba wake unaisha June 30 mwaka huu

Odoi yupo determine kuondoka na ana mwaka mmoja kwenye mkataba wake uliobaki. Katika wote hao, huyu ndio mwenye angalau ka uwezekana ka kubaki
 
Style ya OGS ni pressing na counter attack mkuu

Ndio maana anapenda wachechaji wenye ile mentality ya "kufia timu"

Amemkopi SAF mambo mengi lakini pia anatumia hiyo style ya ku press wakati timu haina mpira

Pressing style huwa ina force timu pinzani kufanya makosa

Nitakupa mifano kadhaa. Magoli 2 ya kwanza tuliyopata dhidi ya PSG kule Paris ni matokeo ya pressing. Dakika 10 au 15 za kwanza kule Nou Camp kwenye robo fainali tulianza kwa pressing ya hatari.

Lakini unawezaje kucheza hiyo style kwa timu ambayo kwenye preason haikuandaliwa kucheza style hiyo. Kumbuka kabla ya kuja OGS, timu yetu ilikuwa ya pili au ya kwanza kwa timu zilizokimbia kilometa cache (timu wavivu) kwenye EPL

Kwa miezi hii michache, ameshindwa kutumia hiyo style ipasavyo sababu kucheza kwa ile style unahitaji proper pre season mkuu, inahitaji a real fit physicality
Umeeleweka sana! Nakumbuka maneno yake aliyowaambia wachezaji wetu

Attack!!!
Attack!!!
Attack!!!
Tusubiri tuone usajili utakavyokuwa!
 
Mkuu hao wote hakuna kocha , Tafuta world class managers mkuu, niseme tu ukweli, watu wamempigia chapuo pochetno ila kwangu mim hawez....kocha wa kuweza kusuka kikosi ni Anceloti, Eniruque,konte, yule jamaa aliyeipa bayern Uefa 2013. hao kidog wapo vyema..United haiwez kuvumilia kocha wa aina ya klop, ambaye inamchukuaisimu mitatu ya kuregroup kikosi, haiwez...
Anceloti sawa lakini na yeye anapenda kuspend sana kama Mourinho tu
 
Style ya OGS ni pressing na counter attack mkuu

Ndio maana anapenda wachechaji wenye ile mentality ya "kufia timu"

Amemkopi SAF mambo mengi lakini pia anatumia hiyo style ya ku press wakati timu haina mpira

Pressing style huwa ina force timu pinzani kufanya makosa

Nitakupa mifano kadhaa. Magoli 2 ya kwanza tuliyopata dhidi ya PSG kule Paris ni matokeo ya pressing. Dakika 10 au 15 za kwanza kule Nou Camp kwenye robo fainali tulianza kwa pressing ya hatari.

Lakini unawezaje kucheza hiyo style kwa timu ambayo kwenye preason haikuandaliwa kucheza style hiyo. Kumbuka kabla ya kuja OGS, timu yetu ilikuwa ya pili au ya kwanza kwa timu zilizokimbia kilometa cache (timu wavivu) kwenye EPL

Kwa miezi hii michache, ameshindwa kutumia hiyo style ipasavyo sababu kucheza kwa ile style unahitaji proper pre season mkuu, inahitaji a real fit physicality
Hata akiwa kule Molde alikuwa akitumia pressing style hadi ikampa ubingwa na kuingia UEFA
 
Mkuu hao wote hakuna kocha , Tafuta world class managers mkuu, niseme tu ukweli, watu wamempigia chapuo pochetno ila kwangu mim hawez....kocha wa kuweza kusuka kikosi ni Anceloti, Eniruque,konte, yule jamaa aliyeipa bayern Uefa 2013. hao kidog wapo vyema..United haiwez kuvumilia kocha wa aina ya klop, ambaye inamchukuaisimu mitatu ya kuregroup kikosi, haiwez...
Katika orodha hiyo,binafsi namkubali Enrique.
 
For Poch, so far, top 4 is his best achievement ever. Trophyless manager.
FYI
Enrique alifundisha ROMA akaenda Celta Vigo hakuna kombe aliloshinda makombe alienda kushinda Barca ambayo hata wewe ukiwa kocha sidhani kama utashindwa kuchukua kama Pep anastuggle EPL sidhani kama Enrique anaweza maliza top 4 na timu yetu Poch kafundisha Espanyol,Saints na Spurs na kumbuka Spurs msimu huu hawajasajili mchezaji hata mmoja still wamemaliza top 4 plus UCL final

Kingine Manchester United kwa sasa inahitaji stability hakuna kocha atakeyeipa ubingwa ndani ya miaka 3 so kocha ambaye atajenga foundation angalau kumaliza top 4 kwa misimu 3 kwanza
 
Anamaanisha wangepaki bus? That's pragmatism
Screenshot_20190509-104428.jpeg
 
Hazard ana miaka 28/29 anajua pengine asipoenda Madrid mwaka huu, hatapata tena fursa ya kuja kucheza Madrid..... Maana akiwa na miaka 30 msimu ujao hatawavutia tena.

Kwenye mkataba wake amebakiza mwaka mmoja akigoma kusaini mkataba mpya kama njia ya kulazimisha kwenda Madrid, msimu ujao anaondoka bure na dirisha hili wakiamua kumuuza wana uhakika wa kuingiza si chini ya £80 milion. Bora aondoke mwakani bure au waingize £80milion+

Cahil ameshatibuana na Sari, juzi kamchana live, kasema Sari haeshimu watu waliofanya makubwa pale Chelsea. Isitoshe mkataba wake unaisha June 30 mwaka huu

Odoi yupo determine kuondoka na ana mwaka mmoja kwenye mkataba wake uliobaki. Katika wote hao, huyu ndio mwenye angalau ka uwezekana ka kubaki
Mkuu Hazard kuondoka sawa lakini Odoi apo uwongo ..halafu ni madirisha mawili ya usajili sio misimu miwili mkuu..

Dirisha la mwezi wa saba na wa pili apo..

Bado tuna imani rufaa yetu itakubaliwa tu..

Hata isipofanikiwa tunaeza fanya maajabu tu ..mbna Spurs ajafanya usajili wowote ule lakini yupo fainali uefa!?

Kikosi tulichonacho kinaweza finish timu mali ..cheki leo kitu namfanya uyo Frankfurt ...anakula tatu kavu!!!
 
Hawawezi waachia hao wachezaji hata iweje.
Hazard Kuna uwezekano wa kuondoka japo hakuna mazungumzo ya kueleweka kati ya Chelsea na Madrid mpaka sasa..

Odoi kuondoka ni uwongo ...

Ngoja tubebe Europa kwanza mengine yanazungumzika.
 
Why Enrique not Poch ?
Enrique come to a team with Mesi, Xavier, Iniesta and other incredible talents

Poch come to a team with academy kid Kane, former MK Done kid Dele and the like

How many times have Enrique's Barca reach UCL final? I think a single time. How many have Poch's Spurs reach UCL final, once

With which standards are we comparing the two?

If we use the principle of COST EFFECTIVE ANALYSIS, Poch is thousands miles better than Enrique

By the way, how was Enrique's club fairing before coming to Barca. How is he fairing with his current role (Spanish National Team).... Last time I saw Spain play, their match with small Norwegian National Team was tough for them
 
Mkuu Hazard kuondoka sawa lakini Odoi apo uwongo ..halafu ni madirisha mawili ya usajili sio misimu miwili mkuu..

Dirisha la mwezi wa saba na wa pili apo..

Bado tuna imani rufaa yetu itakubaliwa tu..

Hata isipofanikiwa tunaeza fanya maajabu tu ..mbna Spurs ajafanya usajili wowote ule lakini yupo fainali uefa!?

Kikosi tulichonacho kinaweza finish timu mali ..cheki leo kitu namfanya uyo Frankfurt ...anakula tatu kavu!!!
Mkuu Kuna sehemu nimesema mmefungiwa Misimu miwili?

Misimu miwili ni tofauti na kusema Misimu miwili ya Usajili
 
Back
Top Bottom