Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Patience inakuwepo ukiwa unaokoteza hata hivi vikombe vya mbuzi.
Spurs,na liver wajapata hata hivyo vikombe vya mbuzi misimu mi5 iliyopita.........

Ila Spurs wamefanya bonge moja ya project pale London, ya Kama 3billion yaani ule uwanja wao mpya ambao Ni wa kisasa England yote,una pitch 2(inaslid inatoka,inakuja ingine) Ni sehemu TU ya project hiyo......

Liverpool,nao si haba Mafanikio wanayoyapata uwanjani soon watawaletea kikombe EPL/EUFA, project Yao soon itaanza kuwalipa vizuri sana,maana wana washabiki wengi kuliko hata City.....
 
Manchester united wanahitaji kubadili falsafa ya uchezaji [Legacy yao ya Ferguson] na kuingia kwenye pressing style!

Modern football iko hivyo!
Tunapaswa kujipa muda zaidi kuulea mtindo huu mpya Wa kucheza!

Sioni kama tatizo liko kwa wachezaji!
Blueprint ya Ferguson inaitafuna klabu! Tubadili kabisa falsafa ya kucheza, nafikiri Liverpool, Manchester city, Asernal wanaweza kuwa somo kubwa sana kwetu.

Tuache kulaumu wachezaji wetu
 
Manchester united wanahitaji kubadili falsafa ya uchezaji [Legacy yao ya Ferguson] na kuingia kwenye pressing style!

Modern football iko hivyo!
Tunapaswa kujipa muda zaidi kuulea mtindo huu mpya Wa kucheza!

Sioni kama tatizo liko kwa wachezaji!
Blueprint ya Ferguson inaitafuna klabu! Tubadili kabisa falsafa ya kucheza, nafikiri Liverpool, Manchester city, Asernal wanaweza kuwa somo kubwa sana kwetu.

Tuache kulaumu wachezaji wetu
Umesema kweli ,Man u kwa sasa hajulikani playing style ipi anatumia.

Kinachotakiwa ni waamue style gani wanataka tumia, then wafanye recruitment. Kuanzia coaches mpaka players wanaoendana na style wanayotaka kutumia.
Sio unasajiri wachezaji halafu ndio uamue style unayotaka kucheza .
 
Nakuunga mkono sana Mkuu!
Tukiweza kubadili hayo, recruitment ya maana na kupanda mfumo sahihi!
Kwa ukubwa wetu lazima tutarudi kwa kishindo!
Umesema kweli ,Man u kwa sasa hajulikani playing style ipi anatumia.

Kinachotakiwa ni waamue style gani wanataka tumia, then wafanye recruitment. Kuanzia coaches mpaka players wanaoendana na style wanayotaka kutumia.
Sio unasajiri wachezaji halafu ndio uamue style unayotaka kucheza .
 
Mkuu kui rebuild utd itachukua no less than 3yrs.......Kama ulivyo ainisha hapo juu

Year 1;cleanse and recruit real good players

Yerar 2; strengthen the squad, recruit top class payers

Year3; contend and win titles....

Note: pep na klopp wote huu ndo msimu wao wa 3,
Tukitaka Mafanikio ya haraka kwa msimu ujao au ule mwingine Ni ngumu Sana labda ma bosi wakubali KU sprung 1bilion + (Messi,mbappe, oblac, Erikson, etc all best players)
Utd wafanye wazungushe kitu inaitwa 'an offer u can't refuse' (Kama utd wababe kweli)
Mbona Chelsea anabeba bila kupitia huko?
 
Manchester united wanahitaji kubadili falsafa ya uchezaji [Legacy yao ya Ferguson] na kuingia kwenye pressing style!

Modern football iko hivyo!
Tunapaswa kujipa muda zaidi kuulea mtindo huu mpya Wa kucheza!

Sioni kama tatizo liko kwa wachezaji!
Blueprint ya Ferguson inaitafuna klabu! Tubadili kabisa falsafa ya kucheza, nafikiri Liverpool, Manchester city, Asernal wanaweza kuwa somo kubwa sana kwetu.

Tuache kulaumu wachezaji wetu
Mkuu ni Jambo zuri but je Madrid wanacheza Kama Barça au man city na je tothenham anachezaje Kama Liverpool.... Mimi naimani Hatujapata combination ya wachezaji wenye work rate nzuri maana fergie style lazima mchezaji awe fit kwelikweli sio kubahatisha na mwili wa jaba kama lukaku...... Trust me give us 2 years tukisajili vizuri wachezaji wepesi 6 tu tutasumbua sana bro...... Yani hizi timu za pasi nyingi UEFA zinateseka sana tu mkuu
 
Nuno Espirito Santo
Pochettino
Laurent Blanc
Arsene Wenger
Rafa Benitez
Javier Garcia
Walter Mazzarri
Former AS Roma manager
Mkuu hao wote hakuna kocha , Tafuta world class managers mkuu, niseme tu ukweli, watu wamempigia chapuo pochetno ila kwangu mim hawez....kocha wa kuweza kusuka kikosi ni Anceloti, Eniruque,konte, yule jamaa aliyeipa bayern Uefa 2013. hao kidog wapo vyema..United haiwez kuvumilia kocha wa aina ya klop, ambaye inamchukuaisimu mitatu ya kuregroup kikosi, haiwez...
 
Mkuu hao wote hakuna kocha , Tafuta world class managers mkuu, niseme tu ukweli, watu wamempigia chapuo pochetno ila kwangu mim hawez....kocha wa kuweza kusuka kikosi ni Anceloti, Eniruque,konte, yule jamaa aliyeipa bayern Uefa 2013. hao kidog wapo vyema..United haiwez kuvumilia kocha wa aina ya klop, ambaye inamchukuaisimu mitatu ya kuregroup kikosi, haiwez...

Sasa kama mlimchukua Moyes na Ole Gunnar itakuwa Klopp
 
Mkuu ni Jambo zuri but je Madrid wanacheza Kama Barça au man city na je tothenham anachezaje Kama Liverpool.... Mimi naimani Hatujapata combination ya wachezaji wenye work rate nzuri maana fergie style lazima mchezaji awe fit kwelikweli sio kubahatisha na mwili wa jaba kama lukaku...... Trust me give us 2 years tukisajili vizuri wachezaji wepesi 6 tu tutasumbua sana bro...... Yani hizi timu za pasi nyingi UEFA zinateseka sana tu mkuu
England Ni timu 5 walau zenye huo mfumo, ukiondoa Manchester!

Madrid wanapossess sana mpira ukiwatazama! Na kuna wakati wanapressing ya hali ya juu!

Kwa nini tunakuwa underdog hata kwenye umiliki mpira tunapokutana na timu zinazofanya pressing?

Nafikiri unahoja nzuri Mkuu! Lakini mfumo Wa sasa umesha pitwa na wakati
 
Hivi hawa wachezaji wa man u wanayo spirit ya kupambana hiviiiii?

Hovyo man u,naacha kuishabikia
Hata km kuna baadhi wanaweza ila kocha wa zamani wa cardiff panga pangua hata waharibu vipi au wasipaform vzuri ni young,lingard,smalling,jones na rashford wengine hawana maana na sahv anakuja na scot mctominay
 
Dakika za mwisho mashabiki wa 'The Red Devil' mumekuwa wapole sana munaitaji kuonewa huruma sana...

Baada ya Ole kupewa timu kwa Muda kabla ya kupewa Mkataba wa Kudumu na kuwa 'At the wheel' walikuwa Wakishinda wakafikia Kjitangazia kutaka nafasi ya Pili EPL na kutaka CL.

Lakini leo hawatamani hata kuimaliza hiyo mechi moja iliyobakia.
 
Back
Top Bottom