Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa wigan season zote huwa wanakuwa kwenye relegation zone lakini wanakuja kuibuka match 5 za mwisho na hawashuki. Nilitegemea kitu cha namna hii kutokea baada ya zile sub
 
Angekuwa yule refa wao webb wangepewa panalty 4 dhidi ya wigan.Yaani anavyoipenda man u yule refa yupo radhi hata afukuzwe urefa man washinde.Arsenal kama kawa kama dawa mziki unachezeka
 
Kama sio sisi kuwapigia city sijui ingekuwaje!?

Tatizo mna kiherehere cha kufanya kazi isiyowahusu, kazi ya kumshughulikia Man City tuachieni sisi wenyewe tunajua tutakachomfanya April 30, na ndo tunapotangazia ubingwa
 
Tatizo mna kiherehere cha kufanya kazi isiyowahusu, kazi ya kumshughulikia Man City tuachieni sisi wenyewe tunajua tutakachomfanya April 30, na ndo tunapotangazia ubingwa

Mfarisayo bana, hahaha....

Nyie Man U yale matokeo ya jana ndio TBS ya timu yenu msimu huu,
mkishinda basi utake usitake % kubwa inakuwa mmechangiwa na maamuzi
ya refaree ambao wengi ni ManUre fans & supporters...

Haya, kazeni buti basi..msijekuwa kama Madrid bure...walikuwa 10pts clear,
sasa wakijikwaa tu Barca haooo...

Mimi msimu huu nawatakia nyie Ubingwa, ManCiteh wakome kuchukua wachezaji
Arsenal.
 
mboni unajihami ndugu its a football bwana..

mkuu!wakati game linaendelea nilikuwa natoa comment mwenyewe na kujijibu mwenyewe utadhani jamaa flani anaitwa Ndetichia ktk thread anayoimiliki mwenyewe ya katimu flani kanaitwa man city!tulipofungwa nikajua mtajaa tu hapa!teh!teh!teh!
 
Mfarisayo bana, hahaha....

Nyie Man U yale matokeo ya jana ndio TBS ya timu yenu msimu huu,
mkishinda basi utake usitake % kubwa inakuwa mmechangiwa na maamuzi
ya refaree ambao wengi ni ManUre fans & supporters...

Haya, kazeni buti basi..msijekuwa kama Madrid bure...walikuwa 10pts clear,
sasa wakijikwaa tu Barca haooo...

Mimi msimu huu nawatakia nyie Ubingwa, ManCiteh wakome kuchukua wachezaji
Arsenal.
Mbu bana,utasema hata zile 8 tulibebwa.Mafanikio yetu yanachangiwa na wengi Arsenal,Swansea,Norwich,Chelsea,Newcastle
Hii issue ya kubebwa nasema kila siku kila timu inabebebwa,juzi Chelsea wamebebwa hakuna aliyeongea
 
Penalty zimekua mingi sana.............. namna hii lazima mtakua Mabingwa...
 
Back
Top Bottom